Mnara wa Babeli na historia ya kutisha

Mnara wa Babeli na historia ya kutisha

Ila mimi bado najiuliza huko mbinguni ni wapi ki location yaani? Ni huko tunapotazama jua ama? Au ni nje ya ulimwenguu huu labda..
Maana Yesu Kristo alipokua akipaa kwenda mbinguni alipaa kwenda juu uelekeo wa jua kwa mujibu wa maandiko. Lakini zama hizi sayansi imeweza kutoka nje ya dunia na kuona umbali wa ma bilion ya km mbele, sasa hio mishale ya nimrodi ilirushwa kwa style ya namna gani mpaka kufika huko aliko Mungu?
Sambamba na hilo ikiwa wana sayansi wameweza kuona umbali ambao ukitaka kwenda itakuchukua miaka bilion kufika tena kwa speed ya mwanga, na mpaka hapo mbingu hawajaiona huenda iko mbele zaidi. Sasa Yesu aliepaa tuchukue alikua na speed ya mwanga mara 1000 huenda mpaka leo hajafika bado, zingatia mwanga husafiri km 300000 kwa sekunde?
1. Kuhusu mishale ya Nimrod ni kwamba haikutoka dunia hadi mbinguni kupitia space hapana geti lilifunguka kwahiyo ilikuwa mishale inatoka directly kwenye mnara kwenda mbinguni maana walishakuwa wameivuta karibu kama sniper vile akitaka kushoot!!! Hivyo waliipunguza distance ya mbingu hadi duniani kiasi kwamba hata mshale unaosafiri kwa spidi ya kuongea kwa Lowassa bado ilifika haraka tu maana mbingu ilishavutwa mpaka mita chache tu kutoka kwenye mnara

2.Kuhusu location ya mbingu or at least sehemu walioenda waliotenda mema baada ya kufa zamani ilikuwepo duniani physically ila baada ya Yesu kwenda kuzimu na kuhubiria watu.... Alifufuka nao na kupaa nao kwenda huko mbingu ya Saba ambayo ipo somewhere nje ya galaxy yetu sababu nakumbuka kwenye Book of Enoch (watchers) pamoja na book of giants kuna muda Nabii Enoch alikuwa akitoka mbinguni kurudi duniani alikuwa anapishana na Malaika aliotupwa semyaza na kumuonya asipae karibu sana na jua meaning mbingu ilikuwa somewhere in the galaxies ila mbele kidogo na dunia/galaxy yetu.

3.Ushahidi mwingine Zamani hata wachawi walikuwa na nguvu ya kumuita mtu aliyekufa na kwenda mbinguni arudi duniani kuongea na ndugu au yeyote aliyemuhitaji ila kwa sasa sababu hawapo duniani tena hakuna mganga ana huo ubavu wa kurudisha roho ya mtakatifu duniani.... Ila zamani waliweza sababu mbingu ilikuwa hapahapa duniani

So conclusion yangu ni kwamba mbingu ipo kiroho zaidi ila haipo duniani iko somewhere nje ya milkway galaxy maana dunia biblia inasema utakunjwa na kutupwa kwenye moto sasa sioni vp mbingu iwepo duniani ilihali atakuja kuiteketeza kwa moto huko mbeleni..... Kuhusu speed ya kufika nafkiri immortal beings wana uwezo wa kusafiri kuliko hta spidi ya mwanga au at least kutengeneza GETI ili wapunguze distance ya hapa na mbingu labda wajuvi watusaidie

Kudo900 Mshana Jr impongo Mchawi Mkuu Palantir Malcom Lumumba hearly
Elungata Mchawi Mkuu
 
1. Kuhusu mishale ya Nimrod ni kwamba haikutoka dunia hadi mbinguni kupitia space hapana geti lilifunguka kwahiyo ilikuwa mishale inatoka directly kwenye mnara kwenda mbinguni maana walishakuwa wameivuta karibu kama sniper vile akitaka kushoot!!! Hivyo waliipunguza distance ya mbingu hadi duniani kiasi kwamba hata mshale unaosafiri kwa spidi ya kuongea kwa Lowassa bado ilifika haraka tu maana mbingu ilishavutwa mpaka mita chache tu kutoka kwenye mnara

2.Kuhusu location ya mbingu or at least sehemu walioenda waliotenda mema baada ya kufa zamani ilikuwepo duniani physically ila baada ya Yesu kwenda kuzimu na kuhubiria watu.... Alifufuka nao na kupaa nao kwenda huko mbingu ya Saba ambayo ipo somewhere nje ya galaxy yetu sababu nakumbuka kwenye Book of Enoch (watchers) pamoja na book of giants kuna muda Nabii Enoch alikuwa akitoka mbinguni kurudi duniani alikuwa anapishana na Malaika aliotupwa semyaza na kumuonya asipae karibu sana na jua meaning mbingu ilikuwa somewhere in the galaxies ila mbele kidogo na dunia/galaxy yetu.

3.Ushahidi mwingine Zamani hata wachawi walikuwa na nguvu ya kumuita mtu aliyekufa na kwenda mbinguni arudi duniani kuongea na ndugu au yeyote aliyemuhitaji ila kwa sasa sababu hawapo duniani tena hakuna mganga ana huo ubavu wa kurudisha roho ya mtakatifu duniani.... Ila zamani waliweza sababu mbingu ilikuwa hapahapa duniani

So conclusion yangu ni kwamba mbingu ipo kiroho zaidi ila haipo duniani iko somewhere nje ya milkway galaxy maana dunia biblia inasema utakunjwa na kutupwa kwenye moto sasa sioni vp mbingu iwepo duniani ilihali atakuja kuiteketeza kwa moto huko mbeleni..... Kuhusu speed ya kufika nafkiri immortal beings wana uwezo wa kusafiri kuliko hta spidi ya mwanga au at least kutengeneza GETI ili wapunguze distance ya hapa na mbingu labda wajuvi watusaidie

Kudo900 Mshana Jr impongo Mchawi Mkuu Palantir Malcom Lumumba hearly
Elungata Mchawi Mkuu
Namba 1 nimekubaliana nawe mkuu kwamba ni kiroho zaidi ndio maana baadhi ya vitu walivyokua walifanya walifika mbali zaidi.

Hii namba 2 nina mashaka kidogo labda ni vile ulivyosema mbingu ipo kiroho zaidi, maana kwa mujibu wa wanasayansi nje ya galaxy yetu yaani milkway si mbali sana pia kuna galaxy ilio karibu na yakwetu tena zinakaribia kuungana inaitwa madhani andromeda, kama kuna sehemu mbingu ipo si ingeonekana hata kivuli chake.

Lakini pia mbingu yalipo makao makuu ya Mungu alieumba ulimwengu ambao una galaxy nyingi sana milk way ni kama kipunje kidogo cha mchanga kwenye bahari kweli mbingu iwe karibu hivyo mkuu?
Au labda tunaweza kusema dodoma ni ndogo sana hapa tanzania lakini ndio makao makuu labda iwe hovyo.

Lakini mimi naona swala la mbingu ilopo ki location bado ni tata sana maana hapa tunapoangalia juu ya utosi wetu bado sidhani kama ni location ya mbingu ni dhana tuu tumekua nayo. Maana dunia inavuta vitu vyote chini na sayari nyingine inavuta kinyume hapo mbingu kuijua ilipo bado ni kitendawili kikuu
Labda nikubaliane na wewe kwa majibu yako yaliofuata kwa kuhitimisha mbingi iko kiroho zaidi, shukrani mkuu kwa jibu safi lenye kuleta challenge ya akili.
 
1. Kuhusu mishale ya Nimrod ni kwamba haikutoka dunia hadi mbinguni kupitia space hapana geti lilifunguka kwahiyo ilikuwa mishale inatoka directly kwenye mnara kwenda mbinguni maana walishakuwa wameivuta karibu kama sniper vile akitaka kushoot!!! Hivyo waliipunguza distance ya mbingu hadi duniani kiasi kwamba hata mshale unaosafiri kwa spidi ya kuongea kwa Lowassa bado ilifika haraka tu maana mbingu ilishavutwa mpaka mita chache tu kutoka kwenye mnara

2.Kuhusu location ya mbingu or at least sehemu walioenda waliotenda mema baada ya kufa zamani ilikuwepo duniani physically ila baada ya Yesu kwenda kuzimu na kuhubiria watu.... Alifufuka nao na kupaa nao kwenda huko mbingu ya Saba ambayo ipo somewhere nje ya galaxy yetu sababu nakumbuka kwenye Book of Enoch (watchers) pamoja na book of giants kuna muda Nabii Enoch alikuwa akitoka mbinguni kurudi duniani alikuwa anapishana na Malaika aliotupwa semyaza na kumuonya asipae karibu sana na jua meaning mbingu ilikuwa somewhere in the galaxies ila mbele kidogo na dunia/galaxy yetu.

3.Ushahidi mwingine Zamani hata wachawi walikuwa na nguvu ya kumuita mtu aliyekufa na kwenda mbinguni arudi duniani kuongea na ndugu au yeyote aliyemuhitaji ila kwa sasa sababu hawapo duniani tena hakuna mganga ana huo ubavu wa kurudisha roho ya mtakatifu duniani.... Ila zamani waliweza sababu mbingu ilikuwa hapahapa duniani

So conclusion yangu ni kwamba mbingu ipo kiroho zaidi ila haipo duniani iko somewhere nje ya milkway galaxy maana dunia biblia inasema utakunjwa na kutupwa kwenye moto sasa sioni vp mbingu iwepo duniani ilihali atakuja kuiteketeza kwa moto huko mbeleni..... Kuhusu speed ya kufika nafkiri immortal beings wana uwezo wa kusafiri kuliko hta spidi ya mwanga au at least kutengeneza GETI ili wapunguze distance ya hapa na mbingu labda wajuvi watusaidie

Kudo900 Mshana Jr impongo Mchawi Mkuu Palantir Malcom Lumumba hearly
Elungata Mchawi Mkuu
Kati ya posts za huu Uzi, hii nimerudia kuisoma zaidi ya Mara mbili
 
Mkuu Hongera kwa kuleta mada nzuri hivi ila kitu kimoja tunakiruka ni kuwa Nimrod hakujenga mnara mkubwa kma tunavyofikiria kwamba ulitaka ufike mawinguni la hasha alitengeneza pyramid ya kawaida tu kama zile za misri na ushahidi huo upo sana tu ila kma angekuwa amejenga mrefu zaidi ya pale hata msingi au mabaki yangekuwepo ila mpaka leo hakuna ushahidi wa uwepo wa mnara mrefuuuuuuu hivo kma bulj khalifa!!

Ila kinachosisitizwa ni kuwa Nimrod akishirikiana na mwanaye Mardon walikuwa na nguvu za kiroho kubwa sana na katika wakati wao ndio walitawala koo zote za shem ham na japhet maana yeye ndio alikuwa mrithi wa VAZI la Adam ambalo yeyote anayelivaa ndio anakuwa na nguvu za ajabu za kurithi toka kwa Adam na yye alilipata kupitia babaye Ham ambaye aliliiba kutoka kwa Nuhu baada ya gharika .... Hivyo walitaka kufika mbinguni kiroho zaidi kwa kutengeneza GETI la kuwafanya waende mbinguni..... So kikubwa hapa ni kwamba walifanya matambiko makubwa sana na kutumia sayansi ya hali ya juu ya kutengeneza GETI litakalowafanya wafike mbinguni na kumuua huyo Mungu na ndio maana geti lilipoanza kutokea walirusha mishale ambayo ilirudi na damu!!! na ndio Mungu hapo hapo akashuka na kuwatawanya ili wasiendelee na nia yao ya kufika mbinguni.

Hivyo tunapowaza mnara tuwaze kuwa walijenga kiroho ila kimwili ulikuwa mnara mkubwa ila wa kawaida tu kma ile tunayoona Misri au Azteca ila kikubwa hapa ni MATAMBIKO na SAYANSI waliyotumia ndio ilimshtua Mungu hadi akaona wana NIA (sio uwezo) wa kumfikia!!! Akaona awatawanye

Shukrani kwa mada nzuri mkuu
Hivi ndivyo ninavyoelewa
 
Historia ya mnara wa Babeli inaelezwa kwa undani kwenye biblia katika kitabu cha Mwanzo 11 katika mistari michache tu.Hii ni stori fupi tu ya mnara wa babeli unaweza kusoma kwa undani katika mistari au maandiko hapo chini ili kujua zaidi juu ya babeli na maana yake katika biblia.

Kizazi cha Nuhu kilikuwa kinaishi katika Mesopotamia ndani ya Babeli na kuchagua kuishi katika nchi ya Shina.Kizazi chao kikazidi kukuwa huku wakiwa wanongea lugha moja wote.Mda ulivyozidi kwenda watu wa Babeli wakaaamua kujenga mnara mkubwa kama alama ya nchi yao na kujionesha kwa mataifa mengine ukuu wa nchi yao ya Babeli.Watu wa babeli walitaka kujenga mnala ambao uneweza kufika mpaka mbinguni,ili wawe kama mungu na wasimuhitaji tena mungu kwenye maisha yao ndipo hapo wakaanza ujenzi wa mnara huo na kuuita mnara wa babeli.

Babeli ni mji maarufu sana ndani ya mesopotamia ambako kwa miaka ya sasa mji huu unapatikana maili 59 iraq kusini magharibi mwa Baghdad ambao ni mji mkuu wa Iraq.

Jina hili linatokana na lugha ya ki-akkadian (Bav-ill) lenye maana mlango wa mungu 'Gate of God'.

Historia ya biblia inatuonesha maeneo mbalimbali ya mabadiliko ya dunia mfano Uumbaji,anguko na gharika la NUHU.Kwa kufuatilia mfululizo mzuri wa matkio ya kibiblia ambayo yalishawahi kutokea na ni ya kweli tunaweza tukaelewa asili ya maisha yetu na kuachana na mambo ya EVOLUTION OF MAN.Babeli ndiyo ulikuwa mwanzo wa mgawanyo wa mataifa na mkanganyko w lugha ulimwenguni.


Baada ya Nuhu na familia yake kushuka kwenye safina katika milima ya arafati, Mungu aliwaagiza waende kuzaana na kutawanyika mbele ya uso wa nchi. (\mwanzo9:1) ,wao wakaamua kuishi Babeli nchi iliyokuwa chini ya Nimrodi (Mpinga kristo) ambapo hapo ndipo ujenzi wa mnara wa babeli ulipoanzia. (Baadae tutaona ni kwanini Nimrodi alikuwa mpinga kristo). Mnara huu wa Babeli ndio uliokuja kuwa makutano ya kuabudia miungu na sio Mungu muumbaji.

KWANINI MUNGU ALIAMUA KUANGAMIZA BABELI?

Katika utawala wa Nimrodi,miaka mingi baada ya uumbaji kukamilika,Ndipo ujenzi wa mnara wa babeli ulipoanza,Ikumbukwe mpaka muda huu nchi ilikuwa sehemu moja.Baada ya gharika kutokea na Nuhu na familia yake kusalimika,ulimwengu mzima ulikuwa sehemu moja kwa sababu dunia/nchi haikuwa na watu wengi na ndio maan Mungu alimwagiza Nuhu baada ya gharika kuisha kuwa waende wakaijaze nchi.

[https://1]


Hapo ndipo Nimrodi na wenzake walipoamua kujenga mnara mkubwa sana kwa malengo makubwa mawili.
1.Kujitafutia jina wao wenyewe juu ya nchi
2.Kufika mbinguni

Nimrodi akaanza kujenga mnara ambao ulikuwa mkubwa sana mpaka hapo mungu aliposhuka chni na kuamua kuuangamiza huo mnara kwa kuwachafulia lugha zao.

Mungu hakuiangamiza babeli kwa sababu aliwaogopa wanadamu au labda aliona kuwa wanadamu wanaweza kufika mbinguni,hapana.Dunia sasa hivi ina maghorofa makubwa sana hata tunaona ndege zikienda hewani lakini hakuna ambayo imeshawahi kufika mbinguni ambako mungu yupo,kwa hiyo mungu hakuwahofia wanadamu kabisa ila kulikuwa na sababu za msingi zilizofanya mungu afanye vile.

Mungu hakupendezwa na kiburi na kutokutii kwa wanadamu.Ikumbukwe kuwa dhambii hii hii ya kiburi ndiyo kwanza ilimuangusha shetani kutoka mbingu mpaka nchi,pia dhambi hiyo hiyo ilimuangusha adamu ndani ya Edeni na dhambi hiyo hiyo iliangusha babeli kuu ya Nemrodi.

Watu wa babeli walitaka wakae sehemu moja kinyume na matakwa ya mungu.Ikumbukwe mungu alimuagiza Nuhu waende wakatawanyike mbele ya uso wa nchi,lakini wao wakaamua kufanya kinyume na amri ya mungu ili wajitwalie utukufu wao wenyewe (KIBURI).

Dhambi kubwa iliyofanya mungu awachafulie usemi wao ilikuwa "Na tujifanyie jina wenyewe",Je wakati huo kulikuwa nchi ambayo walikuwa wanataka kushindana nayo?je walitaka nani awasifu?kulikuwa na nchi ya jirani? ila walikuwa wanashindana na Mungu mwenyewe.

Nimrodi alikuwa na makundi matatu
1.Kundi la kwanza lilikuwa kwa ajiri ya kumuua mungu
2.kundi la pili walikuwa na kazi ya kutengeneza mishalie kwa ajiri ya kumuua mungu
3.Kundi la mwisho kwa ajiri ya ujenzi wa babeli
Tembelea (skiba 2012) kwa mapitia .

Hapo ndipo utakapogundua kuwa Nimrodi alitaka kwenda kukaa kwenye kiti cha enzi cha mungu.

Hayo yote ndiyo yaliyomchukiza mungu na kuamua kuwachafulia usemi wao ili wapate kujifunza na kuwalazimisha kugawanyika mbele ya uso wa mungu

HII INAENDA SAMBAMBA KABISA NA ANGUKO LA SHETANI KWA KUTAKA KUWA KWENYE KITI CHA ENZI CHA MUNGU

TEMBELE
www.tzworships.blogspot.comView attachment 757831
asante kwa elimu hii
 
Mkuu Hongera kwa kuleta mada nzuri hivi ila kitu kimoja tunakiruka ni kuwa Nimrod hakujenga mnara mkubwa kma tunavyofikiria kwamba ulitaka ufike mawinguni la hasha alitengeneza pyramid ya kawaida tu kama zile za misri na ushahidi huo upo sana tu ila kma angekuwa amejenga mrefu zaidi ya pale hata msingi au mabaki yangekuwepo ila mpaka leo hakuna ushahidi wa uwepo wa mnara mrefuuuuuuu hivo kma bulj khalifa!!

Ila kinachosisitizwa ni kuwa Nimrod akishirikiana na mwanaye Mardon walikuwa na nguvu za kiroho kubwa sana na katika wakati wao ndio walitawala koo zote za shem ham na japhet maana yeye ndio alikuwa mrithi wa VAZI la Adam ambalo yeyote anayelivaa ndio anakuwa na nguvu za ajabu za kurithi toka kwa Adam na yye alilipata kupitia babaye Ham ambaye aliliiba kutoka kwa Nuhu baada ya gharika .... Hivyo walitaka kufika mbinguni kiroho zaidi kwa kutengeneza GETI la kuwafanya waende mbinguni..... So kikubwa hapa ni kwamba walifanya matambiko makubwa sana na kutumia sayansi ya hali ya juu ya kutengeneza GETI litakalowafanya wafike mbinguni na kumuua huyo Mungu na ndio maana geti lilipoanza kutokea walirusha mishale ambayo ilirudi na damu!!! na ndio Mungu hapo hapo akashuka na kuwatawanya ili wasiendelee na nia yao ya kufika mbinguni.

Hivyo tunapowaza mnara tuwaze kuwa walijenga kiroho ila kimwili ulikuwa mnara mkubwa ila wa kawaida tu kma ile tunayoona Misri au Azteca ila kikubwa hapa ni MATAMBIKO na SAYANSI waliyotumia ndio ilimshtua Mungu hadi akaona wana NIA (sio uwezo) wa kumfikia!!! Akaona awatawanye

Shukrani kwa mada nzuri mkuu
Hizi ni hadith za watoto.... yani mishale impate mungu
 
Mkuu shida ya hao wanadamu walifkiri Mungu ni limtu flani hivi ambalo ni libinadam hivyo wanaweza pambana tu kivita wakammaliza ndio maana walipoona geti la kumfikia limefunguka walianza kurusha mishale ambayo ilirudi na damu

ila kwa maoni yangu mishale kurudi na damu haina maana yeyote sababu Mungu hana mwili wa damu na nyama so hizo damu zitoke wapi ila kwa maoni yangu nahisi Mungu aliamua kuwakejeli tu kuwa mishale yao imempata ili aone watafanya nni ssa baada ya kuwa wamemuua Mungu?? Alitaka kupima ukomo wa fikra na maarifa yao na ndio maana alipoona HAWANA JIPYA zaidi ya mbwembwe tu akawachafua lugha tu kidogo mchezo ukaisha hapo hapo wakashindwa hata kutamka kwa ufasaha maneno yao ya kufukiza matambiko (mgogo wa ipagala atamke neno la kiingereza CIRCUMSTANCE kwa ufasaha?? ) mwisho wa siku geti likafungika na mchezo ukaisha hapo
Ila hizi ni hadith za hekaya
 
Ila hizi ni hadith za hekaya
Zina historical evidence huko Akkad na Eridu hadi eneo zima la mesopotamia yaani Iraq ya ssa huo mnara upo sana tu na ukisoma tablet za wasumeria wanaeleza jinsi hicho kisa kilivyotokea mwanzo mwisho then ukija vitabu vya dini na simulizi za wamisri zinatambua visa hivi vya Namruth ama Nimrod ama Enmekar ama Amraphel call it whatever ila hivi visa vimewahi tokea mkuu kwenye antediluvian period
 
Mkuu nafkiri Mungu alitaka kuwadhihaki tu sababu haiwezekani damu ziwe za Mungu ilihali hana nyama kama sisi ila inawezekana alitaka kupima fikra zao kwamba kama wataona anatoka damu imiaanisha wamemuua Mungu watafanyeje ?? So alitaka kuona WALITAKA NINI HASA WAKISHAMUUA au KUMPINDUA ndio maana mishale yao ikarudi ikiwa na damu

Nafkiri walishangilia sana na wakaona wameshinda ila baadae wakaavurugwa na kufuatiwa na tetemeko kubwa lililovuruga mnara ule na baadae anguko la Nimrod huko mbele alipokuja kuuawa na Esau
Upo vizuri kwa kweli nimependa sana maelezo yako
 
Mkuu Hongera kwa kuleta mada nzuri hivi ila kitu kimoja tunakiruka ni kuwa Nimrod hakujenga mnara mkubwa kma tunavyofikiria kwamba ulitaka ufike mawinguni la hasha alitengeneza pyramid ya kawaida tu kama zile za misri na ushahidi huo upo sana tu ila kma angekuwa amejenga mrefu zaidi ya pale hata msingi au mabaki yangekuwepo ila mpaka leo hakuna ushahidi wa uwepo wa mnara mrefuuuuuuu hivo kma bulj khalifa!!

Ila kinachosisitizwa ni kuwa Nimrod akishirikiana na mwanaye Mardon walikuwa na nguvu za kiroho kubwa sana na katika wakati wao ndio walitawala koo zote za shem ham na japhet maana yeye ndio alikuwa mrithi wa VAZI la Adam ambalo yeyote anayelivaa ndio anakuwa na nguvu za ajabu za kurithi toka kwa Adam na yye alilipata kupitia babaye Ham ambaye aliliiba kutoka kwa Nuhu baada ya gharika .... Hivyo walitaka kufika mbinguni kiroho zaidi kwa kutengeneza GETI la kuwafanya waende mbinguni..... So kikubwa hapa ni kwamba walifanya matambiko makubwa sana na kutumia sayansi ya hali ya juu ya kutengeneza GETI litakalowafanya wafike mbinguni na kumuua huyo Mungu na ndio maana geti lilipoanza kutokea walirusha mishale ambayo ilirudi na damu!!! na ndio Mungu hapo hapo akashuka na kuwatawanya ili wasiendelee na nia yao ya kufika mbinguni.

Hivyo tunapowaza mnara tuwaze kuwa walijenga kiroho ila kimwili ulikuwa mnara mkubwa ila wa kawaida tu kma ile tunayoona Misri au Azteca ila kikubwa hapa ni MATAMBIKO na SAYANSI waliyotumia ndio ilimshtua Mungu hadi akaona wana NIA (sio uwezo) wa kumfikia!!! Akaona awatawanye

Shukrani kwa mada nzuri mkuu

Ahsante kwa mawazo yako murua ila kuna baadhi ya mambo tutatofautiana kuhusu Nimrud ibn Kanan. Huyu jamaa aliishi kipindi cha nabii Ibrahim a.s alikuwa ni mfalme mwenye ufalme usiokuwa na kifani kwa nyakati zake. Alifikia pahala akaona anayoyafanya Mungu basi naye anayaweza na hii yote ni kutokana na ujabali wa ufalme wake. Ibrahim a.s alimhabarisha kuhusu Mungu na utukufu wake akamwambia Mimi Ibrahim Mungu wangu anahuisha na kufisha. Nimrudi akaona mbona hill ni jambo dogo tu, akaamuru watu 2 waletwe mbele yake wakaletwa akasema mmoja auliwe na mwengine aachwe hai. Askari wakatii amri yake kisha akamgeukia Ibrahim a.s na kumwambia anayoyafanya Mungu nami nayafanya vilevile, huyu nimemfisha huyu nimempa uhai.

Nabii Ibrahim a.s akatabasamu akamwambia Mungu wangu analitoa Jua mashariki na kulipeleka magharibi. Nimrud hiyo ilimchukiza sana kwamba ameshindwa katika hilo mbele ya watu wake. Akaamuru jeshi lake kubwa waandae mishale halafu waielekeze juu Mbinguni huku akimwambia Mungu wa Ibrahim, natangaza challenge kati yangu na wewe Mungu wa ibrahim. Kilichompata ni maafa
 
Dah walikuwa na akili mkubwa we jiulize hata majengo yao yamedumu zaidi ya miaka 10,000 si mchezo kabisa au angalia hata pyramids zile zimejengwa kwa sayansi kubwa sana ambayo kwa miaka ile hakuna machine kma za sasa unajiuliza waliwezaje !!!! Walikuwa na akili kubwa pia kuishi miaka mingi kuliwasaidia sababu wanafanya utafiti na wanasayansi wanacombine akili kwa muda mrefu yaani mfano Newton na enstein na hawakings wangeishi miaka 1000 unategemea nini hapo?? Lazma wangegundua mambo mazito zaidi

Kuhusu CERN wenyewe wanadai wanatumia sayansi kufanikisha hayo ila hawa kina nimrod uchawi wa voodooo ulihusika kidogo maana Mungu ni Roho hivyo kma unataka upambane naye lazima uwe kiroho sio kimwili kma hao CERN

Mkuu zito, habari yako. Unaposema kupambana na Mungu tafsiri yake hii ikoje maana nisije nikatafsiri vinginevyo kabisa.
 
Ila ukweli ukijifunza kwa undani kuhusu babeli siyo mnara ni nguvu ya kiroho ilitumika kumfikia Mungu na jamaa walifanikiwa kwa kiasi kikubwa Mungu angeacha kuwatawanya mwezi mmoja wangemfikia.
Maana hakuna mnara wa kufika kwa Mungu hapa inabaki ni nadharia lakini ukweli ni mlango wa kiroho
Mheshimiwa, umfikie Mungu umfikie wapi? Kwake yeye Mungu hakidhuru chochote unachojua na usichokijua. Hata nguvu za kiroho unazozingumza hata ziwe za namna gani haziwezi kumdhuru kamwe. Unafahamu history ya uchawi wa kwenye hii Dunia umetokea wapi? Na ndizo hizo nguvu ambazo Nimrud ibn Kanan alizitumia. Utukufu wa Mungu na Nguvu zake zipo juu ya ufahamu wetu, tusimkadirie.
 
Ahsante kwa mawazo yako murua ila kuna baadhi ya mambo tutatofautiana kuhusu Nimrud ibn Kanan. Huyu jamaa aliishi kipindi cha nabii Ibrahim a.s alikuwa ni mfalme mwenye ufalme usiokuwa na kifani kwa nyakati zake. Alifikia pahala akaona anayoyafanya Mungu basi naye anayaweza na hii yote ni kutokana na ujabali wa ufalme wake. Ibrahim a.s alimhabarisha kuhusu Mungu na utukufu wake akamwambia Mimi Ibrahim Mungu wangu anahuisha na kufisha. Nimrudi akaona mbona hill ni jambo dogo tu, akaamuru watu 2 waletwe mbele yake wakaletwa akasema mmoja auliwe na mwengine aachwe hai. Askari wakatii amri yake kisha akamgeukia Ibrahim a.s na kumwambia anayoyafanya Mungu nami nayafanya vilevile, huyu nimemfisha huyu nimempa uhai.

Nabii Ibrahim a.s akatabasamu akamwambia Mungu wangu analitoa Jua mashariki na kulipeleka magharibi. Nimrud hiyo ilimchukiza sana kwamba ameshindwa katika hilo mbele ya watu wake. Akaamuru jeshi lake kubwa waandae mishale halafu waielekeze juu Mbinguni huku akimwambia Mungu Ibrahim, natangaza challenge kati yangu na wewe Mungu wa ibrahim. Kilichompata ni maafa
Ahsante kwa darasa lako mkuu wangu Maalim Hammaz hivi hii encounter ndio ile inayoishia kwa Nimrod kuuawa na wadudu??? Maana kuna hadeeth moja nlisoma nafkiri ya Tabari ile.... Anaeleza kwamba baada ya Namruth kukutana na Abraham alimwambia kwamba ana nguvu na majeshi yenye uwezo kupigana na Allah then kama sikosei Abraham akamwambia Allah atakumaliza kwa silaha ndogo kabisa ambayo hukutegemea ndio hapo wakatoa nzige/nyuki ama wadudu wa kufanana wakamuingia Namruth Ibn Canaan puani mdomoni na masikioni wakapenya hadi kwenye viungo vya ndani na kummaliza uhai wake!!

Sijui ndio kisa hiki hiki kimoja au hii nayo tofauti
 
Back
Top Bottom