Mnara wa Babeli na historia ya kutisha

Mnara wa Babeli na historia ya kutisha

Hebu pitieni na hii wakuu (ZITTO JUNIOR NA HAMMAZ) kuhusu kifo Cha Nimrodi.
Mkuu nashukuru kwa maarifa ingawa nimewahi soma hichi kitabu cha Yasheri lakini controversy inaanzia sehemu moja hapa...... Kuna source credible ya Flavius Josephus kwenye kitabu chake cha Antiquities of the jews anaandika kuwa Shem ndie alimuua Nimrod na kuugawa mwili wake vipande vipande ilihali Book of jasher inasema Esau ndio alimuua Nimrod na kumuibia vazi lake la maajabu.

Shida inaanzia hapa Nimrod alizaliwa na cush mjukuu wa Nuhu lakini Esau ni kizazi cha 10 toka Nimrod azaliwe so unaweza ona hamna uhalisia sana wa Esau kumkuta nimrod akiwa hai maana sources nyingi zinadai nimrod alifariki akiwa na miaka 300+ ilihali gap kati ya Nimrod kuzaliwa mpaka Esau kuzaliwa ni miaka 400 ikimaanisha Esau akizaliwa Nimrod alikuwa ameshakufa!!!

Huu mkanganyiko unaweza fanya tuamini kuwa Nimrod original aliuawa na shem kwa sababu moja kuu..... Baada ya Nimrod kuuawa alimuacha mkewe semiramis akiwa na mimba na alipozaa yule mtoto (Tammuz) ambaye sherehe yake ni 25 December..... Aliitwa NIMROD pia na wafalme wote wa huko Erech na Akkad (mesopotamia) waliotokana na damu ya Nimrod original walipotawala wote waliendelea kuitwa jina la Nimrod hivyo inawezekana Esau alikuja kumuua mmoja wa hawa kina NIMROD warithi ila original Nimrod probability kubwa ni kwamba aliuawa na shem na hii inaleta maana kidogo maana nimrod ni sawa na mjukuu kwa Shem tofauti kabisa na gap la miaka kati ya Nimrod na Esau ambalo haliko na uhalisia kabisa

Hayo ndio maoni yangu kwa upande wa source za wayahudi yaani Jasher na Flavius Josephus.
 
Mkuu zitto junior nakuelewa sana,ila ukipata wasaa hebu tupe hiki kisa mkasa cha Huu Utatu ...Nimrod + Semiramis [ Mkewe ] + Tamuz [ mtoto ] ,maana naambiwa napo kuna hadithi yake , umegusia tarehe ya kuzaliwa kwa Tamuz hapo

Tena hiyo siku utakayoleta hy Mada nitamuomba Mkuu Eiyer awepo nae aweke neno
Mkuu nashukuru kwa maarifa ingawa nimewahi soma hichi kitabu cha Yasheri lakini controversy inaanzia sehemu moja hapa...... Kuna source credible ya Flavius Josephus kwenye kitabu chake cha Antiquities of the jews anaandika kuwa Shem ndie alimuua Nimrod na kuugawa mwili wake vipande vipande ilihali Book of jasher inasema Esau ndio alimuua Nimrod na kumuibia vazi lake la maajabu.

Shida inaanzia hapa Nimrod alizaliwa na cush mjukuu wa Nuhu lakini Esau ni kizazi cha 10 toka Nimrod azaliwe so unaweza ona hamna uhalisia sana wa Esau kumkuta nimrod akiwa hai maana sources nyingi zinadai nimrod alifariki akiwa na miaka 300+ ilihali gap kati ya Nimrod kuzaliwa mpaka Esau kuzaliwa ni miaka 400 ikimaanisha Esau akizaliwa Nimrod alikuwa ameshakufa!!!

Huu mkanganyiko unaweza fanya tuamini kuwa Nimrod original aliuawa na shem kwa sababu moja kuu..... Baada ya Nimrod kuuawa alimuacha mkewe semiramis akiwa na mimba na alipozaa yule mtoto (Tammuz) ambaye sherehe yake ni 25 December..... Aliitwa NIMROD pia na wafalme wote wa huko Erech na Akkad (mesopotamia) waliotokana na damu ya Nimrod original walipotawala wote waliendelea kuitwa jina la Nimrod hivyo inawezekana Esau alikuja kumuua mmoja wa hawa kina NIMROD warithi ila original Nimrod probability kubwa ni kwamba aliuawa na Esau na hii inaleta maana kidogo maana nimrod ni sawa na mjukuu kwa Shem tofauti kabisa na gap la miaka kati ya Nimrod na Esau ambalo haliko na uhalisia kabisa

Hayo ndio maoni yangu kwa upande wa source za wayahudi yaani Jasher na Flavius Josephus.
 
Mkuu zitto junior nakuelewa sana,ila ukipata wasaa hebu tupe hiki kisa mkasa cha Huu Utatu ...Nimrod + Semiramis [ Mkewe ] + Tamuz [ mtoto ] ,maana naambiwa napo kuna hadithi yake , umegusia tarehe ya kuzaliwa kwa Tamuz hapo

Tena hiyo siku utakayoleta hy Mada nitamuomba Mkuu Eiyer awepo nae aweke neno
Pamoja sana mkuu tuombeane uzima tu tuweze kubadilishana maarifa humu.... Huyo Eiyer ni kisima cha maarifa sema siku hizi naona ameadimika sana jukwaani.
 
Mkuu nani kasema Mungu anaishi mawinguni?? Walijenga mnara wa kiroho sio kimwili ni sawa na mtu afanye tambiko bagamoyo la kumfanya ajisafirishe hadi marekani bila kutumia ndege wala usafiri wowote ndio walivofanya kina nimrod, semiramis na mardon walijenga GETI linalowafikisha mbinguni ambalo walifanikiwa ila walisambaratishwa kabla ya kuiona mbingu yenyewe
Wa kiroho kivipi wakati mnara unaonekana kimwili? Akili zao ndogo ziliishia pale.
Wazee wa zamani walizani Mbinguni (kama neno linavyo jieleza) ni juu ya mawingu.
Walikuwa na akili ya wanyama bado tusiwashangae bado
 
Hawakuwa na mashine lakini walijenga Yale mapiramidi hapo ndo ujiulize ni Akili gani walikuwa wanazitumia??? Sio hawakuwa na akili ila walikuwa na akili za ziadaa na uwezo mkubwa...
Do you think leo yale hayajengeki?

Hata leo huwa tunashangaa tukimuona mbwa anaelewa lugha ya mwanadamu, au paka aliefunzwa kucheza wimbo wa binadamu coz wana hali na akili za wanyama.

Huwa tunashangaa jinsi wanadamu wenye akili ndogo wa mwaka 110 AC huko walivyoweza kujenga mapiramidi yale kwa mikono yao wenyewe na si mashine. Unakuta jiwe la tani Mbili limepangwa kwenye kingo za ujenzi ndipo tunashangaa.
Walikuwa wanatumia minguvu zaidi akili kidonge, ndio maana mchangiaji mmoja hapo juu ameeleza kisa cha mama mjamzito kujifungua na kumlazimisha aendelee na kazi.

Akili nyingi siku zote hurahisisha kazi, leo tunajenga mambo makubwa yasiyofikilika kwa kutumia nguvu kidogo tu ila akili nyingi na msaada wa mashine ambazo ni matunda ya akili zetu.
 
Mkuu nashukuru kwa maarifa ingawa nimewahi soma hichi kitabu cha Yasheri lakini controversy inaanzia sehemu moja hapa...... Kuna source credible ya Flavius Josephus kwenye kitabu chake cha Antiquities of the jews anaandika kuwa Shem ndie alimuua Nimrod na kuugawa mwili wake vipande vipande ilihali Book of jasher inasema Esau ndio alimuua Nimrod na kumuibia vazi lake la maajabu.

Shida inaanzia hapa Nimrod alizaliwa na cush mjukuu wa Nuhu lakini Esau ni kizazi cha 10 toka Nimrod azaliwe so unaweza ona hamna uhalisia sana wa Esau kumkuta nimrod akiwa hai maana sources nyingi zinadai nimrod alifariki akiwa na miaka 300+ ilihali gap kati ya Nimrod kuzaliwa mpaka Esau kuzaliwa ni miaka 400 ikimaanisha Esau akizaliwa Nimrod alikuwa ameshakufa!!!

Huu mkanganyiko unaweza fanya tuamini kuwa Nimrod original aliuawa na shem kwa sababu moja kuu..... Baada ya Nimrod kuuawa alimuacha mkewe semiramis akiwa na mimba na alipozaa yule mtoto (Tammuz) ambaye sherehe yake ni 25 December..... Aliitwa NIMROD pia na wafalme wote wa huko Erech na Akkad (mesopotamia) waliotokana na damu ya Nimrod original walipotawala wote waliendelea kuitwa jina la Nimrod hivyo inawezekana Esau alikuja kumuua mmoja wa hawa kina NIMROD warithi ila original Nimrod probability kubwa ni kwamba aliuawa na shem na hii inaleta maana kidogo maana nimrod ni sawa na mjukuu kwa Shem tofauti kabisa na gap la miaka kati ya Nimrod na Esau ambalo haliko na uhalisia kabisa

Hayo ndio maoni yangu kwa upande wa source za wayahudi yaani Jasher na Flavius Josephus.
Shukrani Sana mkuu.Nazidi kupata maarifa.
 
Mkuu hakuna mahala nimesema Mungu alipigwa mishale ila ni kwamba geti lilifunguka walirusha mishale that's all..... Alafu mkuu kwanini mkipewa simulizi za culture zingine mnaona wazimu ila ingeandikwa na Bible au Quran usingesema ni wazimu mfano Bible inaandika Mungu alipigana usiku usiku na Yakobo na Yakobo alishinda sasa kwanini hushangai mwanadamu kumrushia makonde mungu na kumpiga knock out ila unashangaa mtu kurusha mishale!!

Tuache double standards
Kuna wachangiaji wengine wamesema hivyo.
Kuhusu hizo story za kwenye Quran, Bible zibaki kama story nothing serious.
Tuzisome na tuzielewe, ni mafunzo na vichekesho mababu zetu waliyaweka kwenye maandishi yawaongoze watu wao.
Ukweli utabaki kuna Super Power iliyosimamia,kupangilia na hata kutengeneza huu ulimwengu tuliopo. Lakini haijahusika/haihusiki kwa namna yeyote na utaratibu wa maisha yetu kila ya siku. Story za Bibble,Quran na madini mengine duniani yalichomekwa chomekwa kusaidia watu wengine kutawala na kuishi kwa raha.
 
Wa kiroho kivipi wakati mnara unaonekana kimwili? Akili zao ndogo ziliishia pale.
Wazee wa zamani walizani Mbinguni (kama neno linavyo jieleza) ni juu ya mawingu.
Walikuwa na akili ya wanyama bado tusiwashangae bado
Sasa mkuu nikuulize swali.... Kama mnara ulikuwa wa kufika mawinguni ina maana Mungu anaishi mawinguni hadi waseme wafike mbinguni na Mungu naye akashtuka kweli akaamua kuwamaliza?

Pia kama ni mawinguni haya physically mbona kuna majengo kibao tu leo hii marefu sana na kuna mandege yanaenda juu ya mawingu na nje ya dunia ila Sijasikia Mungu akiwatawanya lugha if at all jengo kufika mawinguni was a big deal to God???

Kuhusu akili walikuwa nazo sana mkuu tofali moja tu la pyramid za hizi El ziggurat huko mesopotamia ni kama makontena mawili combined na mpaka leo wanasayansi wanajiuliza waliwezaje kuyabeba na hakukuwa na mawinchi kama leo, na kuyapangilia vile na yamedumu kwa miaka maelfu maelfu then unasema ni vilaza?? Just ask yourself hawakuwa na mashine za kwenda nje ya dunia ila waliweza jua solar system nzima na kuichora kwenye kuta zao bila kusahau waliweza kuchora ramani ya dunia na maeneo yao ilihali hawakuwa na ndege za kupiga picha kutokea juu

Mkuu hao jamaa ni extraordinary
 
Kuna wachangiaji wengine wamesema hivyo.
Kuhusu hizo story za kwenye Quran, Bible zibaki kama story nothing serious.
Tuzisome na tuzielewe, ni mafunzo na vichekesho mababu zetu waliyaweka kwenye maandishi yawaongoze watu wao.
Ukweli utabaki kuna Super Power iliyosimamia,kupangilia na hata kutengeneza huu ulimwengu tuliopo. Lakini haijahusika/haihusiki kwa namna yeyote na utaratibu wa maisha yetu kila ya siku. Story za Bibble,Quran na madini mengine duniani yalichomekwa chomekwa kusaidia watu wengine kutawala na kuishi kwa raha.
Nimekusoma mkuu naona umeamua kuwa free thinker... Big up sana
 
Kwa akili yako walikuwa wanabeba yale mawe makubwa vile kwa Mikonoo????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Acha kijanaa haya mambo ni mazito wazungu wenyewe wameshindwa kuelewa Jamaa walitumia technology gani coz ITS IMPOSSIBLE KUBEBA YALE MAWE KWA MIKONO...
Do you think leo yale hayajengeki?
Hata leo huwa tunashangaa tukimuona mbwa anaelewa lugha ya mwanadamu, au paka aliefunzwa kucheza wimbo wa binadamu coz wana hali na akili za wanyama.
Huwa tunashangaa jinsi wanadamu wenye akili ndogo wa mwaka 110 AC huko walivyoweza kujenga mapiramidi yale kwa mikono yao wenyewe na si mashine. Unakuta jiwe la tani Mbili limepangwa kwenye kingo za ujenzi ndipo tunashangaa.
Walikuwa wanatumia minguvu zaidi akili kidonge, ndio maana mchangiaji mmoja hapo juu ameeleza kisa cha mama mjamzito kujifungua na kumlazimisha aendelee na kazi.
Akili nyingi siku zote hurahisisha kazi, leo tunajenga mambo makubwa yasiyofikilika kwa kutumia nguvu kidogo tu ila akili nyingi na msaada wa mashine ambazo ni matunda ya akili zetu.
 
Kwa akili yako walikuwa wanabeba yale mawe makubwa vile kwa Mikonoo????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Acha kijanaa haya mambo ni mazito wazungu wenyewe wameshindwa kuelewa Jamaa walitumia technology gani coz ITS IMPOSSIBLE KUBEBA YALE MAWE KWA MIKONO...
Walibeba kwa mikono au kushirikiana na wanyama wenzao. Walitumia sana watumwa kukamilisha hayo.
Kilichofanyika kilitumia nguvu kubwa sana while kwa akili ndogo tu ya Binadamu wa sasa wangekikamilisha.
Ndio maana leo tuna minara na majengo marefu kuliko yale yao, tukitumia matofari mepesi tu.
 
Kuna wachangiaji wengine wamesema hivyo.
Kuhusu hizo story za kwenye Quran, Bible zibaki kama story nothing serious.
Tuzisome na tuzielewe, ni mafunzo na vichekesho mababu zetu waliyaweka kwenye maandishi yawaongoze watu wao.
Ukweli utabaki kuna Super Power iliyosimamia,kupangilia na hata kutengeneza huu ulimwengu tuliopo. Lakini haijahusika/haihusiki kwa namna yeyote na utaratibu wa maisha yetu kila ya siku. Story za Bibble,Quran na madini mengine duniani yalichomekwa chomekwa kusaidia watu wengine kutawala na kuishi kwa raha.

Kaka je na wewe unaweza kutunga hata story moja mfano wa hizo zilizo kuwemo katika hivyo vitabu ?
 
si kama safina ilikuja kusafisha waovu,kwa sababu ili umalize uovu duniani Inabidi umuondoe shetani...na gharika halikumuondoa shetani..
Mungu ameacha kuondoa mzizi wa tatizo (shetani), anadeal na matokeo yake. Si bora angeacha tu?

Mimi naamini kuna namna waandishi wanafikisha visivyo habari za Mungu. Si bure.. Mungu gani ana akili kisoda hivi?
 
Yes.... Mifumo yote ya utawala ujenzi jeshi elimu rasmi sheria n.k vilianzia kwa Nimrod sababu kabla ya hapo watu walikuwa wanaongozwa na Mungu ila baada ya gharika Nimrod ndio alipingana na hilo na akataka wanadamu wajitawale wenyewe hivo jiji la kwanza yaani babylon alilijenga yeye na kuanzia hapo utawala wake ndio ukaweka misingi ya kila kitu vinavyotumika hadi sahivi kuanzia serikali hadi mahakama na sheria!!!

Hatari sana huyu mtu

Basi huyu Nimrod alikuwa ana akili sana. Naona hata Mungu baadaye ikabidi akubaliane naye tu ndio maana akasema tusiache kuzitii mamlaka zetu za duniani.

Mchizi alikuwa game changer.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom