Mnara wa Babeli na historia ya kutisha

Mnara wa Babeli na historia ya kutisha

Ahsante kwa mawazo yako murua ila kuna baadhi ya mambo tutatofautiana kuhusu Nimrud ibn Kanan. Huyu jamaa aliishi kipindi cha nabii Ibrahim a.s alikuwa ni mfalme mwenye ufalme usiokuwa na kifani kwa nyakati zake. Alifikia pahala akaona anayoyafanya Mungu basi naye anayaweza na hii yote ni kutokana na ujabali wa ufalme wake. Ibrahim a.s alimhabarisha kuhusu Mungu na utukufu wake akamwambia Mimi Ibrahim Mungu wangu anahuisha na kufisha. Nimrudi akaona mbona hill ni jambo dogo tu, akaamuru watu 2 waletwe mbele yake wakaletwa akasema mmoja auliwe na mwengine aachwe hai. Askari wakatii amri yake kisha akamgeukia Ibrahim a.s na kumwambia anayoyafanya Mungu nami nayafanya vilevile, huyu nimemfisha huyu nimempa uhai.

Nabii Ibrahim a.s akatabasamu akamwambia Mungu wangu analitoa Jua mashariki na kulipeleka magharibi. Nimrud hiyo ilimchukiza sana kwamba ameshindwa katika hilo mbele ya watu wake. Akaamuru jeshi lake kubwa waandae mishale halafu waielekeze juu Mbinguni huku akimwambia Mungu Ibrahim, natangaza challenge kati yangu na wewe Mungu wa ibrahim. Kilichompata ni maafa
Mungu wa Ibrahim alipata Maafa gani Mkuu
 
Ahsante kwa darasa lako mkuu wangu Maalim Hammaz hivi hii encounter ndio ile inayoishia kwa Nimrod kuuawa na wadudu??? Maana kuna hadeeth moja nlisoma nafkiri ya Tabari ile.... Anaeleza kwamba baada ya Namruth kukutana na Abraham alimwambia kwamba ana nguvu na majeshi yenye uwezo kupigana na Allah then kama sikosei Abraham akamwambia Allah atakumaliza kwa silaha ndogo kabisa ambayo hukutegemea ndio hapo wakatoa nzige/nyuki ama wadudu wa kufanana wakamuingia Namruth Ibn Canaan puani mdomoni na masikioni wakapenya hadi kwenye viungo vya ndani na kummaliza uhai wake!!

Sijui ndio kisa hiki hiki kimoja au hii nayo tofauti
Kifo cha huyu King Nimrod mbn utata?wengine wanasema alikatwa katwa vipande vipande na baba yake
 
Ahsante kwa darasa lako mkuu wangu Maalim Hammaz hivi hii encounter ndio ile inayoishia kwa Nimrod kuuawa na wadudu??? Maana kuna hadeeth moja nlisoma nafkiri ya Tabari ile.... Anaeleza kwamba baada ya Namruth kukutana na Abraham alimwambia kwamba ana nguvu na majeshi yenye uwezo kupigana na Allah then kama sikosei Abraham akamwambia Allah atakumaliza kwa silaha ndogo kabisa ambayo hukutegemea ndio hapo wakatoa nzige/nyuki ama wadudu wa kufanana wakamuingia Namruth Ibn Canaan puani mdomoni na masikioni wakapenya hadi kwenye viungo vya ndani na kummaliza uhai wake!!

Sijui ndio kisa hiki hiki kimoja au hii nayo tofauti
Swadqta ndicho hiki hiki, ni mbu si nyuki. Tena huyo Mbu aliingia kwenye tundu yake ya pua akapitiliza mpaka kwenye ubongo kisha yule Mbu akaanza kuudunga ubongo wa Nimrudi kwa sindano yake ya kufyonzea damu.
 
Mkuu zito, habari yako. Unaposema kupambana na Mungu tafsiri yake hii ikoje maana nisije nikatafsiri vinginevyo kabisa.
Tafsiri ya kupambana na Mungu ni pale unapotaka kushindana na nguvu za Mungu au kuona kwamba ww binafsi unauwezo kumzidi aliyeasisi ULIMWENGU na UHAI.

Hivyo Nimrod namuweka kundi hili maana kipindi dunia imetoka kwenye gharika (wayahudi na wakristo na sumeria) wanaamini dunia ikaanza upya watu wote wakiongozwa na Mungu kma ilivokuwa enzi za Adam ila alipozaliwa Nimrod ndio akaanzisha utawala wa kibinadam wa kwanza yaani utawala wa mwanadamu juu ya mwanadamu mwenzake..... Mahakama jeshi serikali ndio zikaanzia hapa hivyo kwa namna moja ama nyingine alichukua nafasi iliyokuwa ya Mungu hapo mwanzo hicho kitendo pekee kinamqualify kuwa alipambana na Mungu

Pia yye ndio alianzisha secret society za kwanza ikiwemo freemasons na jamii yake na hta dini za kipagani nyingi zilipata nguvu chini ya utawala wake kiasi dunia nzima ilikuwa inakuja kufanya matambiko huko babylon kma ambavyo watu mamilion wanaenda kuhiji huko saudia kwa miaka ya ssa..... Hivyo kutengeneza sanamu lake kuabudiwa tayari ilimfanya kuchukua nafasi ya Mungu ambaye alisema yye pekee ndio wakuabudiwa ikimaanisha alipambana na MUNGU

Hyo ndio definition yangu ya kupambana na MUNGU kwa context ya Nimrod.... karibu unisahihishe
 
Kifo cha huyu King Nimrod mbn utata?wengine wanasema alikatwa katwa vipande vipande na baba yake
Unajua sources ni tofauti kwenye vitabu vya dini tofauti..... Hiyo ya kukatwa vipande ina mashiko sababu watoto wote wa nimrod waliorithi ufalme wake baada ya kufa nao waliitwa Nimrod na hapa ndipo mkanganyiko ulipoanzia hivyo Nimrod wapo wengi baada ya original Nimrod hivyo waandishi wanaweza ongelea nimrod mjukuu au kitukuu wakifkiri wanarelate na Nimrod original na ndio maana kifo chake bado utata sana.
 
Swadqta ndicho hiki hiki, ni mbu si nyuki. Tena huyo Mbu aliingia kwenye tundu yake ya pua akapitiliza mpaka kwenye ubongo kisha yule Mbu akaanza kuudunga ubongo wa Nimrudi kwa sindano yake ya kufyonzea damu.
Duh kweli Allah ni Allah tu huwezi kushindana naye.... Ssa jitu lenye manguvu hivo na mbabe wa dunia afe kwa MBU?? nani angetegemea
 
Tafsiri ya kupambana na Mungu ni pale unapotaka kushindana na nguvu za Mungu au kuona kwamba ww binafsi unauwezo kumzidi aliyeasisi ULIMWENGU na UHAI.

Hivyo Nimrod namuweka kundi hili maana kipindi dunia imetoka kwenye gharika (wayahudi na wakristo na sumeria) wanaamini dunia ikaanza upya watu wote wakiongozwa na Mungu kma ilivokuwa enzi za Adam ila alipozaliwa Nimrod ndio akaanzisha utawala wa kibinadam wa kwanza yaani utawala wa mwanadamu juu ya mwanadamu mwenzake..... Mahakama jeshi serikali ndio zikaanzia hapa hivyo kwa namna moja ama nyingine alichukua nafasi iliyokuwa ya Mungu hapo mwanzo hicho kitendo pekee kinamqualify kuwa alipambana na Mungu

Pia yye ndio alianzisha secret society za kwanza ikiwemo freemasons na jamii yake na hta dini za kipagani nyingi zilipata nguvu chini ya utawala wake kiasi dunia nzima ilikuwa inakuja kufanya matambiko huko babylon kma ambavyo watu mamilion wanaenda kuhiji huko saudia kwa miaka ya ssa..... Hivyo kutengeneza sanamu lake kuabudiwa tayari ilimfanya kuchukua nafasi ya Mungu ambaye alisema yye pekee ndio wakuabudiwa ikimaanisha alipambana na MUNGU

Hyo ndio definition yangu ya kupambana na MUNGU kwa context ya Nimrod.... karibu unisahihishe
Mheshimiwa Zitto una maarifa na elimu kubwa sana. Izidi kuitendea haki utuelimishe zaidi. Mungu akutunze.
 
Wakuu, mimi nilijua gharika iliangamiza watu wote duniani isipokua Nuhu na wenzie waliokua kwenye safina.

Sasa huyu Nimrod na wenzake walitokea wapi?

Pia mleta mada anasema Nimrod na wenzie walitaka kujenga mnara mrefu ili wajifanyie jina kwa majirani zao.

Hao majirani zao nao walitoka wapi?

Je, ni kweli kwamba gharika haikuangamiza dunia nzima?
Nimrod ni mjukuu wa Nuhu...hivyo ni vizazi baada ya Nuhu
 
Duh kweli Allah ni Allah tu huwezi kushindana naye.... Ssa jitu lenye manguvu hivo na mbabe wa dunia afe kwa MBU?? nani angetegemea
Katika uislamu tunaamini chochote tunachokiona katika huu ulimwengu tunachokijua na tusichokijua Mungu anauwezo wa kukiamrisha na kutii akitaka yeye mwenyewe Mungu kifanye kama anavyotaka. Imma kikubali au kikatae lazima kitafuatwa tu. Na anauwezo wa kuongea na ambavyo kwa ufahamu wetu binadamu tunaona havizungumziki.

Mathalani katika Qur'an kuhusu uumbaji wa Mbingu na sayari nyenginezo ama Space kwa ujumla wake, katika Qur'an Mungu anasema ziliungana zilikuwa single unit. Baadae akazitenganisha kwa kuziambia imma mkubali ama mkatae mnatengana. Zikatengana.
 
Zina historical evidence huko Akkad na Eridu hadi eneo zima la mesopotamia yaani Iraq ya ssa huo mnara upo sana tu na ukisoma tablet za wasumeria wanaeleza jinsi hicho kisa kilivyotokea mwanzo mwisho then ukija vitabu vya dini na simulizi za wamisri zinatambua visa hivi vya Namruth ama Nimrod ama Enmekar ama Amraphel call it whatever ila hivi visa vimewahi tokea mkuu kwenye antediluvian period
Hivi nikuulize kitu Hao akkad walikua Wanaamini miungu wengine na wakina Noah Mungu mwengine Sasa huo mnara ulikua unamlenga Mungu yupi
 
Hivi nikuulize kitu Hao akkad walikua Wanaamini miungu wengine na wakina Noah Mungu mwengine Sasa huo mnara ulikua unamlenga Mungu yupi
Nmekuelewa mkuu ila kilichopo ni kwamba yale mahekalu walitumia watu wa huko Akkad ama Erek na babylon nzima kwa ajili ya matambiko kwa miungu yao kma ulivyosema LAKINI wakasikia habari za MUNGU wa kina NOAH ambaye wakaambiwa na NOAH ndio alileta gharika hivyo baada ya hawa jamaa kusikia hivyo walipatwa na hasira sana juu ya huyo MUNGU aliyeangamiza mababu zao so wakapanga revenge

Kwenye hyo revenge ndio wakapanga watengeneze GETI ili waende mbinguni wakamnyooshe huyo mtu waliosikia alileta gharika the rest is history......

I hope nimeeleweka so ni kweli miungu walikuwa wawili tofauti kma ulivyosema ila wao hawakutaka kufikia miungu yao ya SUMERIA hapana walitaka kufikia mungu wa NOAH
 
Zitto Junior naomba nisaidie kunijuza hiyo mishale waliyokuwa wanamrushia Mungu na kurudi ikiwa na damu ilikuwa ikimlenga nani??? na ilimchoma nani??? na kama ilimchoma mtu au malaika nini ilikuwa madhara yake??
Nadhani kabla ya ilo swali tujiulize kwanza kwanini iyo Mishale ilirudi? Mshale kwa kawaida haupigi kona kama risasi ya Aquirin
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom