sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,034
Kibongo bongo hapa wengi wetu huwa tuna laini mbili, hivyo kuwa na simu yenye laini 2 hupunguza mzigo wa kubeba simu ya ziada.
Binafsi kigezo cha kwanza kabisa kwenye kununua simu yangu huwa inabdi ijitosheleze kwenye suala la kuwa na laini mbili.
Simu zenye laini mbili si kama wengi wanavyofikiri kwamba ni za kichina tu, makampuni makubwa kama samsung, sony, iphone, n.k. nayo yana matoleo yenye laini mbili.
Sasa huwa naona wapo ambao sijui wana kiburi, ama kukosa maarifa ama fashion, mtu unakuta anatembea na simu mbili mbili, hii huwa naona ni kama mzigo.
Kwanini msirahisishe mambo kutembea na simu ina laini 2.
Binafsi kigezo cha kwanza kabisa kwenye kununua simu yangu huwa inabdi ijitosheleze kwenye suala la kuwa na laini mbili.
Simu zenye laini mbili si kama wengi wanavyofikiri kwamba ni za kichina tu, makampuni makubwa kama samsung, sony, iphone, n.k. nayo yana matoleo yenye laini mbili.
Sasa huwa naona wapo ambao sijui wana kiburi, ama kukosa maarifa ama fashion, mtu unakuta anatembea na simu mbili mbili, hii huwa naona ni kama mzigo.
Kwanini msirahisishe mambo kutembea na simu ina laini 2.