Hard disks ni teknolojia ya zama za kale, zina uwezo mdogo wa kufanya kazi kwenye computer / Laptops, weka SSD kwa bei rahisi speed ya radi

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,033
Teknolojia ya vifaa vya kushikilia data imekuwa kubwa sana ni ajabu naona bado Tanzania tunaendelea kutumia Hard Disks.

Hard Disks huwa zinasoma data kwa vifaa kuzunguka ndani yako, Zipo slow sana, hata ukiweka ram kubwa ama uwe na processor nzuri, itakuwa na msaada kidogo, ni sawa na mtu mwenye akili nyingi lakini ana speed ndogo ya kusoma na kuandika.

SSD tangu nimeanza kuzirumia 2016 japo na mimi nilichelewa sijawahi kuangalia tena nyuma, Ssd zina speed kubwa sana, Window inayotumia dakika 4 ku load kwenye hdd ili kila kitu kiwe fresh uanze kuitumia, kwenye ssd ssd inaload ndani ya sekunde 48 tu unaanza kazi zako.

Mimi binafsi kwa sasa naendelea kutumia Sata Ssd kwenye desktop na Ngff kwenye laptop, ila speed sio ya kitoto, Rafiki yangu kazini anayo hio yenye Nvme ni moto wa kuotea mbali kwenye kuread na kuwrite.

Tuzijue aina ya ssd.

Sata ssd, Ngff ssd na Msata zinafanana speed ( kusoma takribani 600 MB kwa sekunde na writing 300 MB kwa sekunde)

1. Sata ssd

1700339837832.png


hizi ni umbo kubwa kama wa hard disk za laptop na zinaingiliana unaweza kuchomoa Hard disk ya laptop ukaweka hii, Kwenye Desktop unaweza kuiongezea utumie na hard disk ama utumie zote (kwenye sata unaweka window na softwares, hdd unatunza mafaili kama muvi, series, n.k.)

2. SATA M.2 SSD
MZ-N6E250BW_001_100318.jpg


kuna laptops huwa zina tundu la ziada la Kuweka hizi ssd, unaweza kutumia hii pekee ama ukaiwekea window alafu hard disk kutunzia mafaili mengine)

3. Msata ssd

img.jpg


Laptops zenye tundu la kuingiza hizi ssd zipo chache ni za zamani kidogo, hata madukani kuzikuta aina hizi za ssd hapa kwetu ni nadra, unaweza kutumia msata pekee ama ukaiwekea window alafu hard disk kutunzia mafaili mengine)

4. NVMe M.2 SSD

MZ-N6E250BW_001_100318.jpg


Hizi ndio toleo la kisasa, hizi zina speed kubwa zaidi ( kusoma takribani 5 GB kwa sekunde na writing 2 GB kwa sekunde) hizi zipo compatible zaidi na laptop za mpya za kisasa zaidi.

Bei
'

Kwa bei nilizozikuta mtandaoni kwa Sata, Ngff na Nvme ni hizi (Msata zinatumika laptops chache sijaziona), sijajua wanatumia vigezo gani maana Ngff na Sata ilibidi ziwe bei ya chini kuzidi Nvme

128GB-60,000/=
256GB-90,000/=
512GB-170,000/=
 
Chief, mbona unaandika kama vile umeiba simu ya mtu ukalogin na kuanzisha thread chap chap kabla mwenye simu hajatokea?

Tulia, tueleze SSD ni nini? Tofauti yake na HDD ni nini? Faida na hasara zake ni zipi? Inatumika mazingira gani? Weka na picha zake.
 
Teknolojia ya vifaa vya kushikilia data imekuwa kubwa sana ni ajabu naona bado Tanzania tunaendelea kutumia Hard Disks.

Hard Disks huwa zinasoma data kwa vifaa kuzunguka ndani yako, Zipo slow sana, hata ukiweka ram kubwa ama uwe na processor nzuri, itakuwa na msaada kidogo, ni sawa na mtu mwenye akili nyingi lakini ana speed ndogo ya kusoma na kuandika.

SSD tangu nimeanza kuzirumia 2016 japo na mimi nilichelewa sijawahi kuangalia tena nyuma, Ssd zina speed kubwa sana, Window inayotumia dakika 4 ku load kwenye hdd ili kila kitu kiwe fresh uanze kuitumia, kwenye ssd ssd inaload ndani ya sekunde 48 tu unaanza kazi zako.

Mimi binafsi kwa sasa naendelea kutumia Sata Ssd kwenye desktop na Ngff kwenye laptop, ila speed sio ya kitoto, Rafiki yangu kazini anayo hio yenye Nvme ni moto wa kuotea mbali kwenye kuread na kuwrite.

Tuzijue aina ya ssd.

Sata ssd, Ngff ssd na Msata zinafanana speed ( kusoma takribani 600 MB kwa sekunde na writing 300 MB kwa sekunde)

1. Sata ssd

View attachment 2818290

hizi ni umbo kubwa kama wa hard disk za laptop na zinaingiliana unaweza kuchomoa Hard disk ya laptop ukaweka hii, Kwenye Desktop unaweza kuiongezea utumie na hard disk ama utumie zote (kwenye sata unaweka window na softwares, hdd unatunza mafaili kama muvi, series, n.k.)

Ngff ssd (M2 SSD)
View attachment 2818287

kuna laptops huwa zina tundu la ziada la Kuweka hizi ssd, unaweza kutumia hii pekee ama ukaiwekea window alafu hard disk kutunzia mafaili mengine)

Msata ssd

View attachment 2818288

ni mbadala wa tundu la Ngff kama halipo, unaweza kutumia hii pekee ama ukaiwekea window alafu hard disk kutunzia mafaili mengine)

NVME ssd,

View attachment 2818289

Hizi ndio toleo la kisasa, hizi zina speed kubwa zaidi ( kusoma takribani 5 GB kwa sekunde na writing 2 GB kwa sekunde) hizi zipo compatible zaidi na laptop za mpya za kisasa zaidi.

Bei
'

Kwa bei nilizozikuta mtandaoni kwa Sata, Ngff na Nvme ni hizi (Msata zinatumika laptops chache sijaziona), sijajua wanatumia vigezo gani maana Ngff na Sata ilibidi ziwe bei ya chini kuzidi Nvme

128GB-60,000/=
256GB-90,000/=
512GB-170,000/=
Mkuu hiyo 170K si bei ya 2TB.
 
Mkuu hiyo 170K si bei ya 2TB.
INtaegeana sasa, Mimi binafsi majuzi kuna dogo yupo chuoni nilimnunulia 256 Gb ya hizo SATA M2 SSD siliambiwa elf 65 ila mwishoe nikatoa elf 40, uzoefu wako nao unaweza kukubeba maana wafanyabiashara wananunua kwa bei za juu hizo nvme kuzidi SATA M2 ila sokoni wanakuja kuuza bei sawa.

ila 170K kwa Nvme sidhani kama utapata 2 TB
 
INtaegeana sasa, Mimi binafsi majuzi kuna dogo yupo chuoni nilimnunulia 256 Gb ya hizo SATA M2 SSD siliambiwa elf 65 ila mwishoe nikatoa elf 40, uzoefu wako nao unaweza kukubeba maana wafanyabiashara wananunua kwa bei za juu hizo nvme kuzidi SATA M2 ila sokoni wanakuja kuuza bei sawa.

ila 170K kwa Nvme sidhani kama utapata 2 TB
Sure sio exactly hio ila ukiongezea kidogo kama 40K hivi unapata 2TB NVME.
 
Teknolojia ya vifaa vya kushikilia data imekuwa kubwa sana ni ajabu naona bado Tanzania tunaendelea kutumia Hard Disks.

Hard Disks huwa zinasoma data kwa vifaa kuzunguka ndani yako, Zipo slow sana, hata ukiweka ram kubwa ama uwe na processor nzuri, itakuwa na msaada kidogo, ni sawa na mtu mwenye akili nyingi lakini ana speed ndogo ya kusoma na kuandika.

SSD tangu nimeanza kuzirumia 2016 japo na mimi nilichelewa sijawahi kuangalia tena nyuma, Ssd zina speed kubwa sana, Window inayotumia dakika 4 ku load kwenye hdd ili kila kitu kiwe fresh uanze kuitumia, kwenye ssd ssd inaload ndani ya sekunde 48 tu unaanza kazi zako.

Mimi binafsi kwa sasa naendelea kutumia Sata Ssd kwenye desktop na Ngff kwenye laptop, ila speed sio ya kitoto, Rafiki yangu kazini anayo hio yenye Nvme ni moto wa kuotea mbali kwenye kuread na kuwrite.

Tuzijue aina ya ssd.

Sata ssd, Ngff ssd na Msata zinafanana speed ( kusoma takribani 600 MB kwa sekunde na writing 300 MB kwa sekunde)

1. Sata ssd

View attachment 2818290

hizi ni umbo kubwa kama wa hard disk za laptop na zinaingiliana unaweza kuchomoa Hard disk ya laptop ukaweka hii, Kwenye Desktop unaweza kuiongezea utumie na hard disk ama utumie zote (kwenye sata unaweka window na softwares, hdd unatunza mafaili kama muvi, series, n.k.)

2. SATA M.2 SSD
View attachment 2818287

kuna laptops huwa zina tundu la ziada la Kuweka hizi ssd, unaweza kutumia hii pekee ama ukaiwekea window alafu hard disk kutunzia mafaili mengine)

3. Msata ssd

View attachment 2818288

Laptops zenye tundu la kuingiza hizi ssd zipo chache ni za zamani kidogo, hata madukani kuzikuta aina hizi za ssd hapa kwetu ni nadra, unaweza kutumia msata pekee ama ukaiwekea window alafu hard disk kutunzia mafaili mengine)

4. NVMe M.2 SSD

View attachment 2818289

Hizi ndio toleo la kisasa, hizi zina speed kubwa zaidi ( kusoma takribani 5 GB kwa sekunde na writing 2 GB kwa sekunde) hizi zipo compatible zaidi na laptop za mpya za kisasa zaidi.

Bei
'

Kwa bei nilizozikuta mtandaoni kwa Sata, Ngff na Nvme ni hizi (Msata zinatumika laptops chache sijaziona), sijajua wanatumia vigezo gani maana Ngff na Sata ilibidi ziwe bei ya chini kuzidi Nvme

128GB-60,000/=
256GB-90,000/=
512GB-170,000/=

Kwaiyo hap una conclude ni ssd gani ilo bora zaidi n inaweza survive ili zingine zinapokuja zikukute hii yako bado ipo juu sawa na zitakokuja.
 
Back
Top Bottom