HOLY BLINDFOLD
JF-Expert Member
- Jun 13, 2024
- 3,690
- 6,375
Na Ni Ngumu Sana Kumla Samaki Mtamuu Na Aliyenona Upande Mmoja,,Raha Yake Ni Kutafuna Pande Zote....Kwa Ufundi Na Utamaradadi Uliotukuka....
Sbr aje kuzalia nyumbani mwanawe ndo atajuaMueleweshane sasa
Halafu kuna wahuni wanamgeuza bure ,watu wajinga unawaacha .Kwa huo Ujinga wao, hata Mimi nisingemuoa huyo binti
Nimeshaghairi kuoa huko kabisa, yaani hadi Samaki hawataki tule tukimgeuza.
Si itakuwa Matumizi mabaya ya mboga hayo 😜
Sambaani zipo tele ,hakuna ujinga labda wageni ndio wameharibu ...Yaani wewe ongea na wazee hata vijijini vya mikoa yote zipo ...Zenji kumeharibiwa na wabara wengi kule ,sehemu ndogo na tabia za hovyo zinaenea kwa sana.Nalo neno, lakini bikra hizo za mwendo kasi usiziamini sana, hizo zinauzwa na zinanunuliwa!
Watu wanaishi na mahawara zao kinyumba, lakini wewe ukitaka kumuoa utamkuta bikra!
Hata aliyezaa akitaka kukuchezea akili zako waweza kumkuta bikra na 'harusi ikasema', wee endelea kukariri mambo hivyo hivyo.
Kule wanageuzwa wanaumeGuys ninaandika haraka haraka maana nampepea bwana harusi mtarajiwa amezimia baada ya kukataliwa kuoa binti mzuri wa kizanzibar,
Huyu jamaa baada ya kuposa na kulipa mahari yote akapata mualiko maalum wa kuonana na familia ya wakwe zake watarajiwa na kupata chakula cha mchana pamoja, nilimwambia kua akipewa samaki ale kiduchu tu ila chonde chonde asimgeuze,
Basi bwana na mie nilikua mmoja wa wapambe wa bwana harusi mtarajiwa kama mjuavyo tamaduni ni kua wanawake hukaa sehemu yao na wanaume hukaa sehemu yao lakini wakati tunaachana akakae upande wa wanaume nikamkumbusha tena "huku Zenji ukiwa ukweni samaki hagaezwi" akasema nisikonde "chill, i got this...." hayo ndio maneno ya mwisho kunambia kabla hajazimia 😭😭😭😭
Huyu bwana akapewa bonge la samaki unajua samaki wa kupaka weweeee, jamaa akapagawa akasahau onyo nililompa akaanza kumgegedua samaki upande wa kwanza ukaisha akamgeuza na kuendelea kumfakamia kwa fujo huku akijiramba vidole daah!🥺 hapo hapo baba wa bibi harusi akasimama kwa hasira na kuanza kumfokea sana kwanini kamgeuza yule samaki, akasema ndoa haipo tena mahari yake amtume mshenga wake akaifate kesho asubuhi sana na kuondoka huku akirusha rusha mikono, taharuki ikatokea jamaa tunamuuliza vipi hajajibu akadondoka na kuzimia......
Nitaendelea kuwapa updates ila ndio hivyo mkija Zanzibar kuoa chonde chonde msimgeuze samaki.
Dada,, hebu ngoja tusubiri basi,, tutajua tuHii ni code au ni samaki kweli?
Umetoka sehemu ina shida kiasi hata samaki hamli, hivyo utamtesa mtoto wao kwa dhiki.Kwamba inamaanisha ukila ukimgeuza samaki tafsiri yake hata binti yao utamgeuza?
Ndiyo madhara ya kuukumbatia Ujinga, yaani wanaacha Mume wa kueleweka wanamwacha binti yao aendelee kuonjwa bila Ndoa 🙌Halafu kuna wahuni wanamgeuza bure ,watu wajinga unawaacha .
Oya,,Na Ni Ngumu Sana Kumla Samaki Mtamuu Na Aliyenona Upande Mmoja,,Raha Yake Ni Kutafuna Pande Zote....Kwa Ufundi Na Utamaradadi Uliotukuka....
LabdaKwamba inamaanisha ukila ukimgeuza samaki tafsiri yake hata binti yao utamgeuza?
Sambaani zipo tele ,hakuna ujinga labda wageni ndio wameharibu ...Yaani wewe ongea na wazee hata vijijini vya mikoa yote zipo ...Zenji kumeharibiwa na wabara wengi kule ,sehemu ndogo na tabia za hovyo zinaenea kwa sana.
OyaSamaki mtamu zenji raha sana yaani sana
...Naona Jamaa katuokota na Stori yake? Watu wameendeles hawana tamaduni za Kijinga hivyo !....Mimi ni Mzenji alichofanya uyo mzee ni upumbavu wa sgr na atakuja kujutia hiko kitu ni upumbavu upumbavu tu katika jamii
Nipo Tanga,wapi wanafanya hayo mambo ilhali mi sijawahisikia?Hata Tanga niliambiwa hivyo, hata hivyo huko Zenji kwa mambo ya kugeuza samaki si ndio kwenyewe, sema tu wengi hufanya kwa siri sana
Eti Shekee😄😄😂🙌🏾Na sheria ya ulojo ikoje shekeee wewee