Mnaotaka kuoa Zanzibar, Samaki hageuzwi

Mnaotaka kuoa Zanzibar, Samaki hageuzwi

Uwezo wangu mdogo sjang’amua kitu apo
Ni samaki huyu huyu au kuna kingne
 
Nilikuwa nampango wa kuja kuongeza Mke wa nne huko Zanzibar, Kwa namna ninavyohusudu kula Samaki

Nahisi nitashindwa kuacha kumgeuza nikipewa kula

Hata ninyi wenzangu tuweni wakweli, utaachache kumgeuza Sato wakati wa kula?😜
Hizi ni stori za kusadikika , ni zike hekaya za vijiwe vya kahawa .Mimi nimezaliwa Pemba na bado naishi Pemba niliwahi kuskia kua izo stori zipo kisiwa kimoja kinaitwa Kojani , wanasema kua ukitaka kuoa wanakupa Samaki ule tu vile vile mpaka ummalize bila kumgeuza , wanasema ukimgeuza ni kua utakua na ishara za watu wa kaumu Luti.
 
Kuna mmoja alinilamisha nimuoe huko Zenji mimi nikamuambia kabisa kwetu bara na sie tunautamaduni wetu "hatuoi hadi tuonje" na nikamuiza pia kwani wewe ni bikira?nipe guarantee
Basi tukaishia hapo tu....toto la kipemba laini.....hadi masaburi yake

Ila jamani ukoloni huu uko wa aina nyingi hadi wa kifikira
Kwahiyo Bazazi ukala ngwasuma?
 
Hizi ni stori za kusadikika , ni zike hekaya za vijiwe vya kahawa .Mimi nimezaliwa Pemba na bado naishi Pemba niliwahi kuskia kua izo stori zipo kisiwa kimoja kinaitwa Kojani , wanasema kua ukitaka kuoa wanakupa Samaki ule tu vile vile mpaka ummalize bila kumgeuza , wanasema ukimgeuza ni kua utakua na ishara za watu wa kaumu Luti.
[/QUOTE
Hizi ni stori za kusadikika , ni zike hekaya za vijiwe vya kahawa .Mimi nimezaliwa Pemba na bado naishi Pemba niliwahi kuskia kua izo stori zipo kisiwa kimoja kinaitwa Kojani , wanasema kua ukitaka kuoa wanakupa Samaki ule tu vile vile mpaka ummalize bila kumgeuza , wanasema ukimgeuza ni kua utakua na ishara za watu wa kaumu Luti.
Afadhali umetoa clarification kuhusu hilo, ilibaki kidogo nihairishe kwenda kuongeza Mke huko.

Wacha niwatume washenga sasa 🤗
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom