Tanganian
JF-Expert Member
- Jan 27, 2025
- 6,562
- 11,101
Wewe ni mbara ,kasome ujue tofauti ya highland na lowland kwanza then uje.watu wa tanga na zanzibar miyeyusho sana uwa sipendi icho kitu cha kumuita mtu wabara
Wewe ni mbara ,kasome ujue tofauti ya highland na lowland kwanza then uje.watu wa tanga na zanzibar miyeyusho sana uwa sipendi icho kitu cha kumuita mtu wabara
nikasome nini tena wakati mi ni msomi tayari na nimefika level ya elimu ya kueleweka kabisaWewe ni mbara ,kasome ujue tofauti ya highland na lowland kwanza then uje.
Kila mtu ni msomi kwa taaluma yake ,wewe hautaki kuitwa m'bara😂😂nikasome nini tena wakati mi ni msomi tayari na nimefika level ya elimu ya kueleweka kabisa
Tehe tehe tehe teheHii ni code au ni samaki kweli?
🤣🤣Labla baba mkwe alitaka yeye ndo ageuzwe awe samaki 😎
Na moja ya kiashiria kuwa ni michezo yao ni dau lao kuwa dogo kulinganisha na dau la malaya wa mikoa mingine wanaotoa huduma hiyo hiyo.kweli mkuu kwa tafiti zangu kwa malaya tu wa tanga kati ya 10 lazima kuna 8 wanaiyo michezo, kama anabisha anitafute tukathibitishe tuingie field kufanya reasearch mara ya pili
Basi vijana wa Tanga ni washenzi wa tabiaMwanamke hawezi kupenda huo mchezo hadi mwanaume atake.
Samaki huyu huyu au jamaa alitaka kung'oa bikoni ya mwali ukweniGuys ninaandika haraka haraka maana nampepea bwana harusi mtarajiwa amezimia baada ya kukataliwa kuoa binti mzuri wa kizanzibar,
Huyu jamaa baada ya kuposa na kulipa mahari yote akapata mualiko maalum wa kuonana na familia ya wakwe zake watarajiwa na kupata chakula cha mchana pamoja, nilimwambia kua akipewa samaki ale kiduchu tu ila chonde chonde asimgeuze,
Basi bwana na mie nilikua mmoja wa wapambe wa bwana harusi mtarajiwa kama mjuavyo tamaduni ni kua wanawake hukaa sehemu yao na wanaume hukaa sehemu yao lakini wakati tunaachana akakae upande wa wanaume nikamkumbusha tena "huku Zenji ukiwa ukweni samaki hagaezwi" akasema nisikonde "chill, i got this...." hayo ndio maneno ya mwisho kunambia kabla hajazimia 😭😭😭😭
Huyu bwana akapewa bonge la samaki unajua samaki wa kupaka weweeee, jamaa akapagawa akasahau onyo nililompa akaanza kumgegedua samaki upande wa kwanza ukaisha akamgeuza na kuendelea kumfakamia kwa fujo huku akijiramba vidole daah!🥺 hapo hapo baba wa bibi harusi akasimama kwa hasira na kuanza kumfokea sana kwanini kamgeuza yule samaki, akasema ndoa haipo tena mahari yake amtume mshenga wake akaifate kesho asubuhi sana na kuondoka huku akirusha rusha mikono, taharuki ikatokea jamaa tunamuuliza vipi hajajibu akadondoka na kuzimia......
Nitaendelea kuwapa updates ila ndio hivyo mkija Zanzibar kuoa chonde chonde msimgeuze samaki.
Watu mna maneno!! Eti bikoni🤣🤣🙌🏻Samaki huyu huyu au jamaa alitaka kung'oa bikoni ya mwali ukweni
Angalau wawaite wa mikoani 😄watu wa tanga na zanzibar miyeyusho sana uwa sipendi icho kitu cha kumuita mtu wabara
Mambo za kugeuzana tena🤔!
Haukuonja?Kuna mmoja alinilamisha nimuoe huko Zenji mimi nikamuambia kabisa kwetu bara na sie tunautamaduni wetu "hatuoi hadi tuonje" na nikamuiza pia kwani wewe ni bikira?nipe guarantee
Basi tukaishia hapo tu....toto la kipemba laini.....hadi masaburi yake
Ila jamani ukoloni huu uko wa aina nyingi hadi wa kifikira
Wale ndugu zetu wabaguzi sana ni bora mbunye yake ampe Ame kuliko mtu wa bara ....ila nasikia kabla hawajaolewa sphincter za back door zinalegezwa brake na mbele kunakua sealedHaukuonja?
Kwani samaki wanaolewa?Mbona wana geuzwa kabla ya ndoa
Elewa neno samaki lime tumikajeKwani samaki wanaolewa?