Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 22,490
- 28,317
Alitakiwa abandue mfupa amalizie upande wa pili.Kuna namna ya kula samaki ukamaliza bila kumgeuza Popoma weye
Alitakiwa abandue mfupa amalizie upande wa pili.Kuna namna ya kula samaki ukamaliza bila kumgeuza Popoma weye
Samaki anabanduliwa mfupa, hageuzwi.Hii ni code au ni samaki kweli?
Namna ipi hiyo Samaki anaweza kuliwa bila kugeuzwa ewe mwerevu?Kuna namna ya kula samaki ukamaliza bila kumgeuza Popoma weye
Kubandua mfupa ni kazi, heri kugeuza....anabaki skeletonSamaki anabanduliwa mfupa, hageuzwi.
Ukigeuza samaki wanakuona utenda kumgeuza mtoto wao na kumla kichuguu...Kubandua mfupa ni kazi, heri kugeuza....anabaki skeleton
Hamna kitu kama hicho ,niko huku zaidi ya miaka 25 so ni urongo ..Naelewa chuki zenu.Tanga hii hii ninayoijua au unaitetea Tanga ipi hiyo kiongozi?. Hiyo michezo ipo sana hapo Tanga.
Na kwa kuwa wewe mwenyewe ni fundi nguo basi unamshonea gauni simple kabisa, hamna kwere 🤣 😂 🤣!Zinaa imekuwa rahisi kwa sababu ya ujinga ,ndoa ni process kuliko kumfanya single mother...Vijana msiende kuoa ni kazi ngumu kweli ,labda binti awe simple .
Jamaa wanamtumia magettoni ,sasa wewe nenda uone hayo masharti....Kwa sasa hata Gauni wanataka la laki sita ili wafanane na wenzao ....Ukiona dharau tu ondoka kwani ni kwenu huko.
Kuna dogo alikuwa kaziniwa sana mpaka kafika miaka 30 ila hana mtoto , inawezekana kachoropoa mimba ..Jamaa kaenda kumposa a demu anajulikana ni kicheche ni vile katulia kwa vile umri umeenda ...Duh! Hayo masharti aliyopewa na mwanamke anataka harusi kubwa mtaa mzima wajue ,gauni la laki 7 ,mahari na mambo mengine yaani sherehe kubwa ...Atoe huduma za mwanamke kipind cha uchumba na harusi kapewa kalenda miezi miwili na nusu mbele ... Oneni ujinga wa watu ,bora kuwazini hawa katika mazingira haya.
Anayetaka kuoa anapewa mlolongo mrefu ,nikitaka kuoa naingia kwa wasambaa wenzangu sio washamba ,hawana shobo na pesa za mtu ..Unapewa jiko ,kitu bikra siku moja hakuna mlolongo wala utapeli wa mshenga
Wewe kuwepo Tanga zaidi ya miaka 25 hakuondoi huo ukweli. Wanawake wa Tanga hio michezo wanaipenda sana.Hamna kitu kama hicho ,niko huku zaidi ya miaka 25 so ni urongo ..Naelewa chuki zenu.
Hamna ni kejeli zenu tu wa wabara ,tutaendelea kugombana kwa vile nyie ni wazushiWewe kuwepo Tanga zaidi ya miaka 25 hakuondoi huo ukweli. Wanawake wa Tanga hio michezo wanaipenda sana.
Wafunzeni dada zenu waache tabia ya ufuska, nyie wala msigombane na sisi. Mkuu hili swala ningekuwa sina uhakika nalo wala nisingeliongelea.Hamna ni kejeli zenu tu wa wabara ,tutaendelea kugombana kwa vile nyie ni wazushi
Hapana , hizo tabia mmeleta nyie wabara ..SIwatetei ila ni ukweli , naishi Tanga niambie mkoa wako ulipo then nikupe dataWafunzeni dada zenu waache tabia ya ufuska, nyie wala msigombane na sisi. Mkuu hili swala ningekuwa sina uhakika nalo wala nisingeliongelea.
Lichukulie tu serious ili uwasaidie hao wanawake wa Tanga.
Mwanamke hawezi kupenda huo mchezo hadi mwanaume atake.Wewe kuwepo Tanga zaidi ya miaka 25 hakuondoi huo ukweli. Wanawake wa Tanga hio michezo wanaipenda sana.
Sisi tutakuwekea yule wa mnofu hakuna kugeuza wala kutoa mfupa...hutopata shida ya kuhangaika hangaika na mifupa ya samaki....mashe khofu 🥰Angel Nylon mimi sigeuzi samaki...
kweli mkuu kwa tafiti zangu kwa malaya tu wa tanga kati ya 10 lazima kuna 8 wanaiyo michezo, kama anabisha anitafute tukathibitishe tuingie field kufanya reasearch mara ya piliWewe kuwepo Tanga zaidi ya miaka 25 hakuondoi huo ukweli. Wanawake wa Tanga hio michezo wanaipenda sana.
watu wa tanga na zanzibar miyeyusho sana uwa sipendi icho kitu cha kumuita mtu wabaraHapana , hizo tabia mmeleta nyie wabara ..SIwatetei ila ni ukweli , naishi Tanga niambie mkoa wako ulipo then nikupe data