Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,897
- 67,394
Kaoe ujioneeNa wanapenda sana
Kaoe ujioneeNa wanapenda sana
Elewa neno samakiHii ni code au ni samaki kweli?
Zanzibar wana mlolongo usiende ,ujinga ni mwingi sana huko hata bure sioi , Zanzibar na wachaga wamezidi ...Mke anaenda kwao kwa ratiba za mila zao sio ruhusa yako ..Nilikuwa nampango wa kuja kuongeza Mke wa nne huko Zanzibar, Kwa namna ninavyohusudu kula Samaki
Nahisi nitashindwa kuacha kumgeuza nikipewa kula
Hata ninyi wenzangu tuweni wakweli, utaachache kumgeuza Sato wakati wa kula?😜
KumbeHata Tanga niliambiwa hivyo, hata hivyo huko Zenji kwa mambo ya kugeuza samaki si ndio kwenyewe, sema tu wengi hufanya kwa siri sana
Achana na porojo ,Tanga hakuna hizo mambo nj stori za wajinga wa bara .Hata Tanga niliambiwa hivyo, hata hivyo huko Zenji kwa mambo ya kugeuza samaki si ndio kwenyewe, sema tu wengi hufanya kwa siri sana
Hawana kipingamizi kabisa, japo si woteHata Tanga niliambiwa hivyo, hata hivyo huko Zenji kwa mambo ya kugeuza samaki si ndio kwenyewe, sema tu wengi hufanya kwa siri sana
Kwa huo Ujinga wao, hata Mimi nisingemuoa huyo bintiZanzibar wana mlolongo usiende ,ujinga ni mwingi sana huko hata bure sioi , Zanzibar na wachaga wamezidi ...Mke anaenda kwao kwa ratiba za mila zao sio ruhusa yako ..
Zanzibar utapewa mlolongo na kama ukiwa kijana wa kawaida ,watakudharau sana ...Yaani usiende hata siku moja ,alishakuja mzenji nimemkataa kweupe sitaki upumbavu nina kwetu sambaani huko.
Aliniambia ,eti niende kujitambulisha na nikae huko kwao wanichungue na mtu kanipenda mwenyewe ,nikamwambia '' tafuta wajinga wenzio ukawachunguze '' hakuamini mpaka leo ananiheshima ,kaolewa na mzenji mwenzie ila ananitafuta.
Nalo neno, lakini bikra hizo za mwendo kasi usiziamini sana, hizo zinauzwa na zinanunuliwa!Zinaa imekuwa rahisi kwa sababu ya ujinga ,ndoa ni process kuliko kumfanya single mother...Vijana msiende kuoa ni kazi ngumu kweli ,labda binti awe simple .
Jamaa wanamtumia magettoni ,sasa wewe nenda uone hayo masharti....Kwa sasa hata Gauni wanataka la laki sita ili wafanane na wenzao ....Ukiona dharau tu ondoka kwani ni kwenu huko.
Kuna dogo alikuwa kaziniwa sana mpaka kafika miaka 30 ila hana mtoto , inawezekana kachoropoa mimba ..Jamaa kaenda kumposa a demu anajulikana ni kicheche ni vile katulia kwa vile umri umeenda ...Duh! Hayo masharti aliyopewa na mwanamke anataka harusi kubwa mtaa mzima wajue ,gauni la laki 7 ,mahari na mambo mengine yaani sherehe kubwa ...Atoe huduma za mwanamke kipind cha uchumba na harusi kapewa kalenda miezi miwili na nusu mbele ... Oneni ujinga wa watu ,bora kuwazini hawa katika mazingira haya.
Anayetaka kuoa anapewa mlolongo mrefu ,nikitaka kuoa naingia kwa wasambaa wenzangu sio washamba ,hawana shobo na pesa za mtu ..Unapewa jiko ,kitu bikra siku moja hakuna mlolongo wala utapeli wa mshenga