Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,538
- 18,306
- Thread starter
- #61
Samaki kweli EveHii ni code au ni samaki kweli?
Samaki kweli EveHii ni code au ni samaki kweli?
Naam wewe ndo umewaza sahihi,Au walijua jamaa akimuoa binti yao atatwanga kote kote
NAJARIBU KUWAZA HAPA
Hajui huyo, karne hii bikra ipo dukani hata elfu 10 haifiki, tena anaulizwa unataka bikra yenye damu au mnato lakini ngumu🙌🏻Nalo neno, lakini bikra hizo za mwendo kasi usiziamini sana, hizo zinauzwa na zinanunuliwa!
Watu wanaishi na mahawara zao kinyumba, lakini wewe ukitaka kumuoa utamkuta bikra!
Hata aliyezaa akitaka kukuchezea akili zako waweza kumkuta bikra na 'harusi ikasema', wee endelea kukariri mambo hivyo hivyo.
Ulishachumbia?Nimekaa zenji miezi 6 Ila sijawahi kukutana na izo mbanga itakua mimi mshamba.
Naujuaaaaa ila kwa Zenji usimle pande zote mbele ya wakweUnajua utamu wa kumla samaki pande zot wewe?
Tanga hii hii ninayoijua au unaitetea Tanga ipi hiyo kiongozi?. Hiyo michezo ipo sana hapo Tanga.Achana na porojo ,Tanga hakuna hizo mambo nj stori za wajinga wa bara .
Eeeh kama kwa faragha sawa ila mbele ya wakwe wakute wanamgeuza samaki alooo mke hawatoi na kama walitoa wanamchukuaHata Tanga niliambiwa hivyo, hata hivyo huko Zenji kwa mambo ya kugeuza samaki si ndio kwenyewe, sema tu wengi hufanya kwa siri sana
Mbona wana geuzwa kabla ya ndoa
NdiooooKwamba inamaanisha ukila ukimgeuza samaki tafsiri yake hata binti yao utamgeuza?
Hapana mkuu madem wa zenji Wana nyodo Sana hasa kwa watu wa bara so nilibalance shobo kingine hawana vitu vyangu, no shape sura mbovu in short hawakunishawishi.Ulishachumbia?
Na ukishakaa sana kwenye ndoa una kuwa una chagua leo una tumia SIM2 pekee au SIM1Hahaha watoto wa kizenji wanaanza Kutumia SIM2 ukishaoa ndiyo unapewa SIM1.
Mgombea wao bado tupo naye au amebwaga manyanga ?Guys ninaandika haraka haraka maana nampepea bwana harusi mtarajiwa amezimia baada ya kukataliwa kuoa binti mzuri wa kizanzibar,
Huyu jamaa baada ya kuposa na kulipa mahari yote akapata mualiko maalum wa kuonana na familia ya wakwe zake watarajiwa na kupata chakula cha mchana pamoja, nilimwambia kua akipewa samaki ale kiduchu tu ila chonde chonde asimgeuze,
Basi bwana na mie nilikua mmoja wa wapambe wa bwana harusi mtarajiwa kama mjuavyo tamaduni ni kua wanawake hukaa sehemu yao na wanaume hukaa sehemu yao lakini wakati tunaachana akakae upande wa wanaume nikamkumbusha tena "huku Zenji ukiwa ukweni samaki hagaezwi" akasema nisikonde "chill, i got this...." hayo ndio maneno ya mwisho kunambia kabla hajazimia 😭😭😭😭
Huyu bwana akapewa bonge la samaki unajua samaki wa kupaka weweeee, jamaa akapagawa akasahau onyo nililompa akaanza kumgegedua samaki upande wa kwanza ukaisha akamgeuza na kuendelea kumfakamia kwa fujo huku akijiramba vidole daah!🥺 hapo hapo baba wa bibi harusi akasimama kwa hasira na kuanza kumfokea sana kwanini kamgeuza yule samaki, akasema ndoa haipo tena mahari yake amtume mshenga wake akaifate kesho asubuhi sana na kuondoka huku akirusha rusha mikono, taharuki ikatokea jamaa tunamuuliza vipi hajajibu akadondoka na kuzimia......
Nitaendelea kuwapa updates ila ndio hivyo mkija Zanzibar kuoa chonde chonde msimgeuze samaki.
Sura ipo bhana labda umbo namba 8 ndo hawanaHapana mkuu madem wa zenji Wana nyodo Sana hasa kwa watu wa bara so nilibalance shobo kingine hawana vitu vyangu, no shape sura mbovu in short hawakunishawishi.
Kuna namna ya kula samaki ukamaliza bila kumgeuza Popoma weyeKwa huo Ujinga wao, hata Mimi nisingemuoa huyo binti
Nimeshaghairi kuoa huko kabisa, yaani hadi Samaki hawataki tule tukimgeuza.
Si itakuwa Matumizi mabaya ya mboga hayo 😜
Hao ndo wanaohamasisha tigo. Ujinga ujinga tuu.Guys ninaandika haraka haraka maana nampepea bwana harusi mtarajiwa amezimia baada ya kukataliwa kuoa binti mzuri wa kizanzibar,
Huyu jamaa baada ya kuposa na kulipa mahari yote akapata mualiko maalum wa kuonana na familia ya wakwe zake watarajiwa na kupata chakula cha mchana pamoja, nilimwambia kua akipewa samaki ale kiduchu tu ila chonde chonde asimgeuze,
Basi bwana na mie nilikua mmoja wa wapambe wa bwana harusi mtarajiwa kama mjuavyo tamaduni ni kua wanawake hukaa sehemu yao na wanaume hukaa sehemu yao lakini wakati tunaachana akakae upande wa wanaume nikamkumbusha tena "huku Zenji ukiwa ukweni samaki hagaezwi" akasema nisikonde "chill, i got this...." hayo ndio maneno ya mwisho kunambia kabla hajazimia 😭😭😭😭
Huyu bwana akapewa bonge la samaki unajua samaki wa kupaka weweeee, jamaa akapagawa akasahau onyo nililompa akaanza kumgegedua samaki upande wa kwanza ukaisha akamgeuza na kuendelea kumfakamia kwa fujo huku akijiramba vidole daah!🥺 hapo hapo baba wa bibi harusi akasimama kwa hasira na kuanza kumfokea sana kwanini kamgeuza yule samaki, akasema ndoa haipo tena mahari yake amtume mshenga wake akaifate kesho asubuhi sana na kuondoka huku akirusha rusha mikono, taharuki ikatokea jamaa tunamuuliza vipi hajajibu akadondoka na kuzimia......
Nitaendelea kuwapa updates ila ndio hivyo mkija Zanzibar kuoa chonde chonde msimgeuze samaki.