grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,820
Mamito usihofu lara 1 ni dada yangu tu...Zamani nilikuwa namuhusudu watu8 (nilishamuona live msiniulize wapi) badaye dushe lake likawa over rated kila mtu humu ndani watu8 appetite ikaisha.
Sasa hivi kuna kitu kinaitwa grafani11 naona lara 1 anamshobokea nimeshituka kuna ulaji hapa na mimi nabanana hapo hapo, kwanza yuko na Matola wote awashike yeye nani????
grafani11 wakati na siku yeyote just holla......!
Last edited by a moderator: