MMU hot talk

MMU hot talk

Ghafla nimekuwa na ndoa tena?????

Keep on guessing...

Na umenisaidia nijibu yale ambayo nili overlook...

Unasema simuwezi Lara1 kisa ni mtoto wa Kino?

Wewe dar unaijua?
Kino ni kisiwa cha mtu mmoja?

Kama unaishi Dar utakuwa umeletwa na mbio za mwenge si bure...
Na ndo tunawaambia hawa watoto kuishi kinondoni hapo uswahilini sio ndo wanajua chochote..watoke(wakiweza) na sehemu nyingine wapate exposure..i don' t know why they think kuishi uswahilini hapo kinondoni ni ujanja..?!!!
 
Pole sana, ninashukuru nimekufahamu mind yako kupitia huu uzi, nilikuwa najua unaheshima sana kume hamna kitu, ila utakuwa na tatizo , na umeamua kumalizaia hapa hasira zako hata kwa watu ambao hawahusiki, mm nilkuwa nataka kukusihi uache kubishana nao, naona umeamua kujibizana nami, tafadhali mm nina amani ya moyo na roho, kazi kwako wewe , inaonyesha una matatizo makubwa, nenda kaombewe upate amani.
Nyie watu dizaini mna shida sana, umeshakimbilia mpaka akaombewe dah..!!
 
Na ukiamua kushindana na watoto watakutukana na wewe unakazana kurudisha ni lazima watakushinda tu, maana yeye ana moja wenzake wana mia moja, nashangaa sana anataka kushindana kuongea na Lara1, mwenzie kakulia kinondoni anajua mitaa yoooote, na njia zoooote, sasa sisi watuwazima na wahamiaji usibishane na mwenyeji.
Hizi mentality embu ziondoeni ..kukulia kinondoni ndo nini..!? Kukulia kinondoni hakukufanyi ujue chochote zaidi ya mambo ya ajabu ajabu tu..acheni kupeana hizi cv zisizo na kichwa wala miguu..
 
Halafu wakizidiwa hoja wanajifanya kumzushia mtu uongo yani tabia za kipumbavu kabisa.

Ha ha ha...watakuwa wako kwenye kikao kama kamati...waje na mbinu zipi nyingine...
Walizotumia nimepangua mpaka wamejishtukia...

Huyo Lara1 wanayemfata kila asemacho hata utumbo kama kondoo anapelekwa machinjoni ni mjanja zaidi yao...

Wao mziki huu umewazidi umri

Lara anajua wakati wa kurusha kombora na wakati wa kujificha..hawa wanatanguliza tu vichwa vyao bila kupima upepo...
 
Mfyuuuuuu akuchezee akili yakoo ili kiwe nn don't be stupi.d
Unan'chekesha na vi ID vyako vya kishamba utakuja na Ushuzi wako wa kila aina bado utajulikana tu,bora ubadili tabia lakini si ID,wajanja wanacheza nazo kwa stepu,we unakuja na style ya Ngedere porini.
 
Unan'chekesha na vi ID vyako vya kishamba utakuja na Ushuzi wako wa kila aina bado utajulikana tu,bora ubadili tabia lakini si ID,wajanja wanacheza nazo kwa stepu,we unakuja na style ya Ngedere porini.

Ka unaskia kichefuchefu njoo unuse kwapa la beberu ili kiisheee hata nikiwa na id kumi haikuhusu na ww sie ulieninunia sm
 
...as you said ''ganstar keyboard''...she scripts what she advocates very skillfully....but does it casually..
OTHERS ARE JUST FOOTSOLDIERS FOLLOWING LIKE HEADLESS CHICKENS.....

Hahaaa...dude,ve u already gave her a "main squeeze"?if u na'wharram'in!!!
 
Back
Top Bottom