Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Ndio nakushangaa unavoshoboka na mm
We si ulisema siku hiz umeokoka wewe...tena kwenye uzi huuhuu
Ndio nakushangaa unavoshoboka na mm
We si ulisema siku hiz umeokoka wewe...tena kwenye uzi huuhuu
We si ulisema siku hiz umeokoka wewe...tena kwenye uzi huuhuu
Upooo Madame B
Nipo shost wangu, nimejaa teleeeeeeeee kama pepeta ndani ya ungo, wazijua pepeta weye The secretary?
Pole sana, ninashukuru nimekufahamu mind yako kupitia huu uzi, nilikuwa najua unaheshima sana kume hamna kitu, ila utakuwa na tatizo , na umeamua kumalizaia hapa hasira zako hata kwa watu ambao hawahusiki, mm nilkuwa nataka kukusihi uache kubishana nao, naona umeamua kujibizana nami, tafadhali mm nina amani ya moyo na roho, kazi kwako wewe , inaonyesha una matatizo makubwa, nenda kaombewe upate amani.
Nizijulie wapi mwenzio nipe ufahamu.
Ka unaskia kichefuchefu njoo unuse kwapa la beberu ili kiisheee hata nikiwa na id kumi haikuhusu na ww sie ulieninunia sm
Ngoja nikuitie wazee wa pwani wakufafanulie...
CC: Dark City na Asprin....muelezeni mjukuu wenu The secretary jinsi pepeta zilivyo
Tyta na charminglady....picha kidogo
Sio zile nyungo za kufunikia chakula mezani au za kujipepea hutundikwa ukutani hasa na watu wa pwani Madame B
Sio hizo my dear, ni chakula,ziko kama mapumba flani ya mchele,...yanatiwa nadhani sukari au chumvi halafu unabugia mdomoni.
wazee wa pwani wanazipenda sana, kuna siku nilishawahi kujaribu kukaanga nikachemsha!!!
Diva Beyonce embu tuendelee na yetu sieee cousin wangu afu bba ya jana ujanisimulia ujueee twende kule ukanisimulieee.........anaejiskia kichefuchefu na atapikeee
Nitakuwa mchoyo wa fadhila kama nisipodeclare kufrahia na kujifunza mengi kupitia hot talk ya leo kwa hisani ya miss neddy as interviewer na bi angelita as feminine! Bhana nawaza mara mbili mbili kama niendelee na mpango wangu wa kuoa ama nisbiri subiri kwanza!
bora tusubiri subiri tu kaka, wake wenyewe ndo hawa!!! yani uko ndoani sipapatii picha.... aaargh