Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,429
- 108,577
We umezaliwa tisini na ngapi?
Unajuwa leo nilikuwa nasoma local news paper za sports kuna huyu kipa wa Simba na ndio alikaa golini kwenye big match Manyika Peter mtoto wa kipa wa zamani wa Yanga Peter Manyika kwenye particular zake amezaliwa 1996.
Something linging loud in my head.