Mliooana kupitia forum hii leteni mrejesho

Mliooana kupitia forum hii leteni mrejesho

Hahaha 😂, mlikuwa mnauza pork, siyo?
Ohooo unachemsha maji yachemka kabisa afu sehemu ya kumchunia mnaiweka safi then

Mnamfunga vzr, anakula shoka moja matata tuu, akilala chini sasa mnamwagia maji mnatoa manyoya Yale vzr, mnamwagia maji anakuwa safi,

Mnaanza kazi ya kuchinja! Huku beseni la mafuta likiwa jikoni kupokea oder huku wengine wakitaka mchemsho, huku ndizi zikimenywa kwa mchemsho na kukaangwa,

Nimekula sana chair mududu
 
Ohooo unachemsha maji yachemka kabisa afu sehemu ya kumchunia mnaiweka safi then

Mnamfunga vzr, anakula shoka moja matata tuu, akilala chini sasa mnamwagia maji mnatoa manyoya Yale vzr, mnamwagia maji anakuwa safi,

Mnaanza kazi ya kuchinja! Huku beseni la mafuta likiwa jikoni kupokea oder huku wengine wakitaka mchemsho, huku ndizi zikimenywa kwa mchemsho na kukaangwa,

Nimekula sana chair mududu
Utamu ulioje mkuu😋.
Kuna watu huwa hawana utaalamu wa kukwangua vinyweleo vizuri na hicho kilisabumisha jamaa yangu kupaliwa na nyama ya mdudu.

Kumbe nywele zilikuwa hazijatolewa vizuri 😂.
 
Back
Top Bottom