Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 5,168
- 8,977
Wanandoa mliofanikisha kupitia forum hii msitufanyie hivyo bana, tupeni mrejesho nasisi wengine tuchague wenyewe bila shurti kama tunazika au tunasafirisha
Hahaha kudadadekiHahahaha!
Habari za J’pili mkuu.
Sihitaji mchumba JF mkuu.
Mambo ya kufanya na kujifunza JF ni mengi kuliko hilo la mchumba😁
Thanks🙏🏽.
Kwakweli naishukuru sana jf na love konekt kwa ujumla, la sivyo ningekua kwetu hadi sasa.Tumuulize Evelyn Salt ambaye alipata mume humu
Bado haujaolewa?Wapo na wameoana na wanawatoto
Kwamba na wewe una mume humu 🤤🤤Kwakweli naishukuru sana jf na love konekt kwa ujumla, la sivyo ningekua kwetu hadi sasa.
Hujampenda, yani nimuache mtu nnaempenda kabisa kisa dini?Hamna hata response😃, anyway mi ngoja nikujibu nilipata mtu na tulielewana vyema tu shida ikaja kwenye dini. Alitaka nibadili dini nimfate yeye hapo nikamwambia tufanye ya serikalin akakataa akisema itampa shida maana haitambuliki ikabd tuishie pale, ila ni mwanaume bora sana
makofi kwa wingi kwakoKwakweli naishukuru sana jf na love konekt kwa ujumla, la sivyo ningekua kwetu hadi sasa.
Ndio broKwamba na wewe una mume humu 🤤🤤
Nimeshangaa kidogo, ati dini unampenda yenye, dini yake na waumini wote kwenye hiyo dini yakeHujampenda, yani nimuache mtu nnaempenda kabisa kisa dini?
Ntampenda yeye na hiyo dini yake.....
Umenipatia mchumbaBado haujaolewa?