Mliooa mnastahili pongezi

Duh...huyu dada kalazimishwa?
Huyo dada anawaza mwanaume anamimba kazi kweli kuishi na vitambi kila siku kuitafuta mboo chini ya nyama nakutafuta style maalumu basi akiwaza tu anapata hasira ndio maana hana raha
 
"unamfikiria yeye na watoto wake". Kweli wewe bado.
 
Huyo mkeo ana shida zake, lkn ndoa tamu tu mbona
 
Kumbe mume wa mtu!! Ama kweli wanawake tuna taabu.
 
Kwani wewe hujasikia mwanandoa akiumwa mwenzie ANAMKIMBIA? Sio guarantee eti ukioa ndio utahudumiwa na ukiemuoa katika shida anaweza kukimbia vile vile.
Mali zako will pay for medical attention kuanzia kuogeshwa hadi dawa.
wambie hao mzee baba...mali ndio kila kitu hapa duniani...mwanaume hasifiwi mke mwanaume anasifiwa pesa,mali ndio maana billgate anajulikana dunia nzima kutokana na mali zake na sio mke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…