CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,729
- 5,923
Awamu iliyopita ilifanya Kila mbinu, kushawishi, kutishia, kuhonga n.k kuhakikisha nchi nzima inakuwa KIJANI.
Na hata wale waliojaribu kukataa kuunga mkono waliona Cha mtema Kuni.
Hatimaye mwaka 2020 nchi ikawa kijani na wabunge 99% wakawa wa Chama kimoja!
Sasa wote tunaona Bei ya mafuta ikiwa 3200+
Na tunaambiwa BADO ITAPANDA HUO NI MWANZO TU!
kama Tungekuwa na upinzani imara Leo hii utopolo huu usingekuwepo!
Wangekuwa wapo watu wa kuwasemea Wananchi...
Lakini Sasa Kila mmoja anaunga mkono hoja.
Tutegemee msoto zaidi.
Na hata wale waliojaribu kukataa kuunga mkono waliona Cha mtema Kuni.
Hatimaye mwaka 2020 nchi ikawa kijani na wabunge 99% wakawa wa Chama kimoja!
Sasa wote tunaona Bei ya mafuta ikiwa 3200+
Na tunaambiwa BADO ITAPANDA HUO NI MWANZO TU!
kama Tungekuwa na upinzani imara Leo hii utopolo huu usingekuwepo!
Wangekuwa wapo watu wa kuwasemea Wananchi...
Lakini Sasa Kila mmoja anaunga mkono hoja.
Tutegemee msoto zaidi.