Mpaka sasa Lissu hafai kuwa CHADEMA maana chama hicho ni CCM B, hakina tena mpango wa kupigania wananchi

Trable

JF-Expert Member
Jan 3, 2023
1,783
3,281
Maridhiano yaliyofanywa kati ya CCM na CHADEMA, kila mwenye akili timamu alijua mwisho wake

Hao wenye akili na macho ya kuona kama kina Lissu, waliuona huo mchezo kwamba, hauna tija wala mwisho mwema katika kuitafuta dola kama chama cha upinzani!

Yale yalikuwa maridhiano ya kuipozesha CHADEMA makali yake na si vinginevyo.

Na hayo, M/kiti chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, alionywa, ila baadhi ya mambo aliyaficha hakuyaweka wazi mbele ya viongozi wenzake kuhusiana na yale yenye msingi. Katika mpatano huo wa vyama hivi viwili CCM na CHADEMA.

Ni yale yale viongozi wenzake ambayo walionya kuwa yanahatari ya kukivunja chama na kukidhofisha makali yake kama chama kilichojijengea heshima kubwa kwa jamii kuwa ni chama cha kipekee na chenye kusimamia haki daima, msimamo thabiti n.k, walewale walioshauri na kuonya dhidi ya mapatano hayo feki, sasa wanatoka kuhoji kwenye majukwaa huku M/kiti akiwa hana pa kuanzia

Kuna vyama bila watu wenye misimamo dizaini ya Lissu, Kesho asubuhi kinakuwa siyo chama cha upinzani tena bali ni CCM b"

Naomba sana Lissu afukuzwe CHADEMA na Lissu aunde chama Chake na kiwe chama cha watu wenye msimamo wa kama yeye.
 
Maridhiano yaliyofanywa kati ya CCM na CHADEMA, kila mwenye akili timamu alijua mwisho wake

Hao wenye akili na macho ya kuona kama kina Lissu, waliuona huo mchezo kwamba, hauna tija wala mwisho mwema katika kuitafuta dola kama chama cha upinzani!

Yale yalikuwa maridhiano ya kuipozesha CHADEMA makali yake na si vinginevyo.

Na hayo, M/kiti chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, alionywa, ila baadhi ya mambo aliyaficha hakuyaweka wazi mbele ya viongozi wenzake kuhusiana na yale yenye msingi. Katika mpatano huo wa vyama hivi viwili CCM na CHADEMA.

Ni yale yale viongozi wenzake ambayo walionya kuwa yanahatari ya kukivunja chama na kukidhofisha makali yake kama chama kilichojijengea heshima kubwa kwa jamii kuwa ni chama cha kipekee na chenye kusimamia haki daima, msimamo thabiti n.k, walewale walioshauri na kuonya dhidi ya mapatano hayo feki, sasa wanatoka kuhoji kwenye majukwaa huku M/kiti akiwa hana pa kuanzia

Kuna vyama bila watu wenye misimamo dizaini ya Lissu, Kesho asubuhi kinakuwa siyo chama cha upinzani tena bali ni CCM b"

Naomba sana Lissu afukuzwe CHADEMA na Lissu aunde chama Chake na kiwe chama cha watu wenye msimamo wa kama yeye.
wewe unafaa kuwa wapi? JF na ID fake? Jitokeze na wewe upigania ktiba mpya, weka jina lako halisi, unaukumia chadema
 
Lissu na viongozi wenzie waandamizi ni vibaraka wa wabadhirifu na mabeberu.

Mabeberu na serikali ya walamba asali ni kitu kimoja, wanapigania masilahi yao.

Lissu yu miongoni mwa walamba asali, japo dhamiri yake inamtafuna.
 
Maridhiano yaliyofanywa kati ya CCM na CHADEMA, kila mwenye akili timamu alijua mwisho wake

Hao wenye akili na macho ya kuona kama kina Lissu, waliuona huo mchezo kwamba, hauna tija wala mwisho mwema katika kuitafuta dola kama chama cha upinzani!

Yale yalikuwa maridhiano ya kuipozesha CHADEMA makali yake na si vinginevyo.

Na hayo, M/kiti chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, alionywa, ila baadhi ya mambo aliyaficha hakuyaweka wazi mbele ya viongozi wenzake kuhusiana na yale yenye msingi. Katika mpatano huo wa vyama hivi viwili CCM na CHADEMA.

Ni yale yale viongozi wenzake ambayo walionya kuwa yanahatari ya kukivunja chama na kukidhofisha makali yake kama chama kilichojijengea heshima kubwa kwa jamii kuwa ni chama cha kipekee na chenye kusimamia haki daima, msimamo thabiti n.k, walewale walioshauri na kuonya dhidi ya mapatano hayo feki, sasa wanatoka kuhoji kwenye majukwaa huku M/kiti akiwa hana pa kuanzia

Kuna vyama bila watu wenye misimamo dizaini ya Lissu, Kesho asubuhi kinakuwa siyo chama cha upinzani tena bali ni CCM b"

Naomba sana Lissu afukuzwe CHADEMA na Lissu aunde chama Chake na kiwe chama cha watu wenye msimamo wa kama yeye.
Hii staili ya twanga kotekote inawapa shida sana lakini mtailewa tu huko mbele
 
Hakuna anayetaka haya mavibaraka ya mabeberu CCM, chama kinachompigania Mtu mweusi na Mtanzania tokea enzi na enzi, Kiongozi wa mstari wa mbele, ati aje kuwa CCM, thubutu! yeye na wanaharakati wake tutawarudisha kwa Masters wao waliotuharibia Bara letu na wanaoendelea kutamani walivunje na kulipasua kabisa Bara hili na Nchi hii.
Yaani CHADEMA haiwezi kukwalifai kuwa CCM B. tsk Lissu ndie kabisa, yeye ndie atakuwa chief Prosecutor wa Wazungu anawezabhata akapeleka ndege mwenyewe!, Mbowe ndio Kabisa, Udikteta unamsumbua na ndio kanga'ang'ania Uenyekiti. Yaani hawa wakija kuleta Katiba Mpya Tumeisha! Raisi atakuwa wa Maisha, Watavunja Mikoa kikabila, Watamilikisha wazungu Migodi, uwongo utakuwa ni ukweli, yaani tafrani.

Ngoja ninywe Chai.
 
Maridhiano yaliyofanywa kati ya CCM na CHADEMA, kila mwenye akili timamu alijua mwisho wake

Hao wenye akili na macho ya kuona kama kina Lissu, waliuona huo mchezo kwamba, hauna tija wala mwisho mwema katika kuitafuta dola kama chama cha upinzani!

Yale yalikuwa maridhiano ya kuipozesha CHADEMA makali yake na si vinginevyo.

Na hayo, M/kiti chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, alionywa, ila baadhi ya mambo aliyaficha hakuyaweka wazi mbele ya viongozi wenzake kuhusiana na yale yenye msingi. Katika mpatano huo wa vyama hivi viwili CCM na CHADEMA.

Ni yale yale viongozi wenzake ambayo walionya kuwa yanahatari ya kukivunja chama na kukidhofisha makali yake kama chama kilichojijengea heshima kubwa kwa jamii kuwa ni chama cha kipekee na chenye kusimamia haki daima, msimamo thabiti n.k, walewale walioshauri na kuonya dhidi ya mapatano hayo feki, sasa wanatoka kuhoji kwenye majukwaa huku M/kiti akiwa hana pa kuanzia

Kuna vyama bila watu wenye misimamo dizaini ya Lissu, Kesho asubuhi kinakuwa siyo chama cha upinzani tena bali ni CCM b"

Naomba sana Lissu afukuzwe CHADEMA na Lissu aunde chama Chake na kiwe chama cha watu wenye msimamo wa kama yeye.
Lisu ni mropokaji tu, wananchi tunahitaji maridhiano ili tupate amani.
Mitifuano haina maana.
Sasa wasingeridhiana leo lisu angekuja tanzania?
Leo lisu angepata wapi platform ya kuropojea? Na mengine mengi
 
Maridhiano yaliyofanywa kati ya CCM na CHADEMA, kila mwenye akili timamu alijua mwisho wake

Hao wenye akili na macho ya kuona kama kina Lissu, waliuona huo mchezo kwamba, hauna tija wala mwisho mwema katika kuitafuta dola kama chama cha upinzani!

Yale yalikuwa maridhiano ya kuipozesha CHADEMA makali yake na si vinginevyo.

Na hayo, M/kiti chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, alionywa, ila baadhi ya mambo aliyaficha hakuyaweka wazi mbele ya viongozi wenzake kuhusiana na yale yenye msingi. Katika mpatano huo wa vyama hivi viwili CCM na CHADEMA.

Ni yale yale viongozi wenzake ambayo walionya kuwa yanahatari ya kukivunja chama na kukidhofisha makali yake kama chama kilichojijengea heshima kubwa kwa jamii kuwa ni chama cha kipekee na chenye kusimamia haki daima, msimamo thabiti n.k, walewale walioshauri na kuonya dhidi ya mapatano hayo feki, sasa wanatoka kuhoji kwenye majukwaa huku M/kiti akiwa hana pa kuanzia

Kuna vyama bila watu wenye misimamo dizaini ya Lissu, Kesho asubuhi kinakuwa siyo chama cha upinzani tena bali ni CCM b"

Naomba sana Lissu afukuzwe CHADEMA na Lissu aunde chama Chake na kiwe chama cha watu wenye msimamo wa kama yeye.
Mbowe kawa MC wa sisiemu na samia
 
Mbowe aliyaficha mambo gani kuhusu maridhiano?

Wakati maridhiano yakianza unakumbuka Lissu alikuwa wapi?
 
Mbowe aliyaficha mambo gani kuhusu maridhiano?

Wakati maridhiano yakianza unakumbuka Lissu alikuwa wapi?
Mkuu,

Lissu ni kiongozi mkubwa katika chama, kila jambo ambalo linahusu mabadiriko ya kisera na kichama, lazima ahusike kwa namna yoyote ile
 
Mkuu,

Lissu ni kiongozi mkubwa katika chama, kila jambo ambalo linahusu mabadiriko ya kisera na kichama, lazima ahusike kwa namna yoyote ile
Kama lazima ahusike kwa namna yoyote ile, ndio akaamua kupeleka malalamiko yake barabarani badala ya kwenye vikao vya chama chake?

Kwani yeye wakati akipelekewa muhtasari wa maridhiano, Chadema walienda barabarani kumjulisha?
 
Lissu na viongozi wenzie waandamizi ni vibaraka wa wabadhirifu na mabeberu.

Mabeberu na serikali ya walamba asali ni kitu kimoja, wanapigania masilahi yao.

Lissu yu miongoni mwa walamba asali, japo dhamiri yake inamtafuna.
Hii single ilishachuja kitambo mbona??
 
Mkuu,

Lissu ni kiongozi mkubwa katika chama, kila jambo ambalo linahusu mabadiriko ya kisera na kichama, lazima ahusike kwa namna yoyote ile
Crocodile tears 😭, yaani wewe ndio wa kuwaonea huruma CHADEMA?
 
Hakuna anayetaka haya mavibaraka ya mabeberu CCM, chama kinachompigania Mtu mweusi na Mtanzania tokea enzi na enzi, Kiongozi wa mstari wa mbele, ati aje kuwa CCM, thubutu! yeye na wanaharakati wake tutawarudisha kwa Masters wao waliotuharibia Bara letu na wanaoendelea kutamani walivunje na kulipasua kabisa Bara hili na Nchi hii.
Yaani CHADEMA haiwezi kukwalifai kuwa CCM B. tsk Lissu ndie kabisa, yeye ndie atakuwa chief Prosecutor wa Wazungu anawezabhata akapeleka ndege mwenyewe!, Mbowe ndio Kabisa, Udikteta unamsumbua na ndio kanga'ang'ania Uenyekiti. Yaani hawa wakija kuleta Katiba Mpya Tumeisha! Raisi atakuwa wa Maisha, Watavunja Mikoa kikabila, Watamilikisha wazungu Migodi, uwongo utakuwa ni ukweli, yaani tafrani.

Ngoja ninywe Chai.
Sukuma Gang ndiyo mnapiga mayowe kwani hamna nafasi katika kinachoendelea mnaishia kubwekea mitandaoni tu. Chadema kwenye maridhiano ipo na kwenye harakati za kuweka mbinyo field wapo hiyo ndiyo maana ya twanga kotekote. Relax !! Tunawafanyia kazi nzuri kwa mustakabali wa nchi nzima,nyie sukuma Gang msoga Gang wamekwisha kuwa-outsmart tuachieni hii kazi tunaiweza.
 
Back
Top Bottom