johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,765
Zama hizi siasa ni ajira wala siyo mapenzi au itikadi kama ilivyokuwa enzi za mwalimu Nyerere. Ndio utaona hata Lowassa wakati anasaka ajira ya urais ilimlazimu kwenda Chadema bila kujali itikadi wala mapenzi.
Ambacho nakiona wapinzani kwa wingi wao wakiisha hamia wote CCM ndipo athari za zoezi hilo zitakapoonekana na hapo vijana hawa hawa wa CCM wataanza kuutamani mfumo wa vyama vingi.
Mfumo wa chama kimoja ulikuwa ni mzuri kwa wakati wake lakini kwa sasa umepitwa na wakati kutokana na mabadiliko ya kimaendeleo duniani kote. Vijana wa CCM kazeni buti vinginevyo mtaujenga upinzani wa ndani ya chama na huo ndio unatisha afadhali hata ya huu wa akina Mbowe. Upinzani ni fikra siyo taasisi na mtu mwenye fikra za kipinzani huziondoi kwa dakika moja.
Niendelee kuwatakia Kwaresma yenye baraka
Maendeleo hayana vyama!
Ambacho nakiona wapinzani kwa wingi wao wakiisha hamia wote CCM ndipo athari za zoezi hilo zitakapoonekana na hapo vijana hawa hawa wa CCM wataanza kuutamani mfumo wa vyama vingi.
Mfumo wa chama kimoja ulikuwa ni mzuri kwa wakati wake lakini kwa sasa umepitwa na wakati kutokana na mabadiliko ya kimaendeleo duniani kote. Vijana wa CCM kazeni buti vinginevyo mtaujenga upinzani wa ndani ya chama na huo ndio unatisha afadhali hata ya huu wa akina Mbowe. Upinzani ni fikra siyo taasisi na mtu mwenye fikra za kipinzani huziondoi kwa dakika moja.
Niendelee kuwatakia Kwaresma yenye baraka
Maendeleo hayana vyama!