Niajiri nikulindie. Nakua shamba boy mchana usiku mlinziKila mtu ni mlinzi katika hali moja au nyingine. Mie nina mifugo nyumbani kwangu yaani mbwa akibweka tu naangalia CCTV camera kujiridhisha kama hamna wezi. Yaani kila siku lazima niamke mara nne au tano kuangalia picha la nje
Imekuwa mateso sana kwangu. Nalala usingizi wa mang'amung'amu maana nilishawahi kuibiwa broilers kibao niakaona isiwe tabu niweke CCTV. Ni mateso
Shamba Boy yuko ila usiku analala hata unaweza kumuiba na yeye. Halafu siamini watu Zaidi ya mbwa, taa zenye sensor na CCTVNiajiri nikulindie. Nakua shamba boy mchana usiku mlinzi
Nadhani Next Man na k-bee reference yao ni hawa walinzi wa security firms ambao ni kweli mishahara yao midogo sana na ndio maana wanakubishia!Hebu kaa kimya ndugu.
Usikariri, hiyo professional yako inategemea umeajiriwa kwa level gani na upo ofisi gani.
Yawezekana huko ukilipwa mshahara imetoka, huku walinzi tuna overtime, night allowance na rent allowance.
Ila haina haja ya kubishana, just nilikuwa nashare my short story. Hata usipoamini hunipunguzii wala kuniongezea kitu
Kwanini umeweka chumvi kwenye chai?
Unawezaje kufanya kazi asiyoijua mkeo?
Kawadanganye watoto wenzio!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nalinda korosho zisiharibike kwa unyevu
Atakuwa analinda katibaMkuu unamlinda Raisi au
Unalinda ilani ya Chama?
Mkuu unamlinda Raisi au
Unalinda ilani ya Chama?
Kwahiyo wewe ni askari sugu ?Nalinda korosho zisiharibike kwa unyevu
Hebu kaa kimya ndugu.
Usikariri, hiyo professional yako inategemea umeajiriwa kwa level gani na upo ofisi gani.
Yawezekana huko ukilipwa mshahara imetoka, huku walinzi tuna overtime, night allowance na rent allowance.
Ila haina haja ya kubishana, just nilikuwa nashare my short story. Hata usipoamini hunipunguzii wala kuniongezea kitu
Fuga mbwaKila mtu ni mlinzi katika hali moja au nyingine. Mie nina mifugo nyumbani kwangu yaani mbwa akibweka tu naangalia CCTV camera kujiridhisha kama hamna wezi. Yaani kila siku lazima niamke mara nne au tano kuangalia picha la nje
Imekuwa mateso sana kwangu. Nalala usingizi wa mang'amung'amu maana nilishawahi kuibiwa broilers kibao niakaona isiwe tabu niweke CCTV. Ni mateso
hao walinzi wa taasisi maalumu,hatuwahesabu kama walinzi hawako kundi hilo.Nadhani Next Man na k-bee reference yao ni hawa walinzi wa security firms ambao ni kweli mishahara yao midogo sana na ndio maana wanakubishia!
Back in the days nilikuwa nafanya taasisi moja ya fedha kwahiyo nina uzoefu na mishahara ya kada mbalimbali! Na pale nilienda nikiwa na digrii yangu!
Pamoja na yote hayo, analipwa Mlinzi wa TANESCO ambae hata kuandika alikuwa hajui ilikuwa ya maana hasa! In short, ukichukua mshahara wake ukachanganya na marupurupu, mimi na wenzangu na digrii zetu tulikuwa hatumfikii yule mzee ambae hata kuandika hajui!
Na unakuta miezi mingine anawapiga gap la haja hasa...
Kwenye security firms ndiko wanaua lakini kama umeajiriwa kwenye hizi taasisi kubwa, ni kweli ukichanganya na ma-night plus benefits zingine, watu huwa wanatoka na mpunga wa kutosha!
Mjeda acha kazi ya kulinda uje huku mtaani uone mabaharia tunaishije utakuja kulialia hapa unataka angalau kazi ya ulinzi wa zile kampuni wanavaa sare alizoshona Mama Mwajuma Ndalandefu huku wakikabidhiwa gobole au kirungu tu.Labda hujanielewa.
Nimesema mshahara uko chini ya laki nane but nikikusanya na malipo mengine inakuja hiyo 800k na visenti kidogo.
Sema tu salary slip hazionyeshi title ningekutumia pm uione.
Muulize mtu wa hazina yeyote atakuambia.
Kuna wazee hapa walinzi wanakula ndefu zaidi ya hapo.
hiyo hela kubwa sana pambana aiseeeIlikuwa 2012 nikiwa kidato cha tano katika shule moja ya serikali hapa nchini. Ile shule ilikuwa ya boarding. Siku moja wakati natoka kwenye kipindi cha dini saa 2 usiku nilipopita getini na wenzangu 2 tukielekea mabwenini nikamuuliza mlinzi maswali ambayo yalimkwaza. Moja ya maswali hayo nilimuuliza analipwa sh.ngapi?
Aisee dunia duara, nami sasa ni mlinzi. Naweza kumtafuta yule mtu nimwombe msamaha. Sina hali ngumu sana ya maisha ila naichukia sana hii kazi. Nalipwa kama 800k hivi, nimeajiriwa permanent na taasisi moja hivi ya serikali tangu 2015.
Mwaka huu namaliza shahada yangu ya kwanza but daaah naona hii kazi inaendelea kuniganda. Wife na ndugu zangu wengi hawajui kuwa mimi ni mlinzi.
Nimejenga kijumba kidogo kwa mkopo, yaani daaah naificha sana title yangu.
Ahahahahaha
Upolisi mbona ni kazi nziri tuIlikuwa 2012 nikiwa kidato cha tano katika shule moja ya serikali hapa nchini. Ile shule ilikuwa ya boarding. Siku moja wakati natoka kwenye kipindi cha dini saa 2 usiku nilipopita getini na wenzangu 2 tukielekea mabwenini nikamuuliza mlinzi maswali ambayo yalimkwaza. Moja ya maswali hayo nilimuuliza analipwa sh.ngapi?
Aisee dunia duara, nami sasa ni mlinzi. Naweza kumtafuta yule mtu nimwombe msamaha. Sina hali ngumu sana ya maisha ila naichukia sana hii kazi. Nalipwa kama 800k hivi, nimeajiriwa permanent na taasisi moja hivi ya serikali tangu 2015.
Mwaka huu namaliza shahada yangu ya kwanza but daaah naona hii kazi inaendelea kuniganda. Wife na ndugu zangu wengi hawajui kuwa mimi ni mlinzi.
Nimejenga kijumba kidogo kwa mkopo, yaani daaah naificha sana title yangu.