Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,646
- 35,979
Ilikuwa 2012 nikiwa kidato cha tano katika shule moja ya serikali hapa nchini. Ile shule ilikuwa ya boarding. Siku moja wakati natoka kwenye kipindi cha dini saa 2 usiku nilipopita getini na wenzangu 2 tukielekea mabwenini nikamuuliza mlinzi maswali ambayo yalimkwaza. Moja ya maswali hayo nilimuuliza analipwa sh.ngapi?
Aisee dunia duara, nami sasa ni mlinzi. Naweza kumtafuta yule mtu nimwombe msamaha. Sina hali ngumu sana ya maisha ila naichukia sana hii kazi. Nalipwa kama 800k hivi, nimeajiriwa permanent na taasisi moja hivi ya serikali tangu 2015.
Mwaka huu namaliza shahada yangu ya kwanza but daaah naona hii kazi inaendelea kuniganda. Wife na ndugu zangu wengi hawajui kuwa mimi ni mlinzi.
Nimejenga kijumba kidogo kwa mkopo, yaani daaah naificha sana title yangu.
Aisee dunia duara, nami sasa ni mlinzi. Naweza kumtafuta yule mtu nimwombe msamaha. Sina hali ngumu sana ya maisha ila naichukia sana hii kazi. Nalipwa kama 800k hivi, nimeajiriwa permanent na taasisi moja hivi ya serikali tangu 2015.
Mwaka huu namaliza shahada yangu ya kwanza but daaah naona hii kazi inaendelea kuniganda. Wife na ndugu zangu wengi hawajui kuwa mimi ni mlinzi.
Nimejenga kijumba kidogo kwa mkopo, yaani daaah naificha sana title yangu.