Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,654
Hebu kaa kimya ndugu.Babu yangu aliniambiaga kila fani mtu huzaliwa nayo.....Nmegundua umezaliwa na fani ya uongo.....Mlinzi 800k kwa mwezi acha kamba...Me naprofishono yangu ya sayans napiga serkalin mwka wa tano sijafikisha hiyo....!
bangi ya wapi hiyo mjomba umevuta
Hakuna polisi wa hivyo huenda huyo ni afisa magereza.Narejea kwako mtoa maada,piga kazi usichague kazi Mimi na elimu yangu nalipwa mshahara mdogo sana hapa kwenye idara ya elimu sekondari kuliko hata wewe unayelamba 800k.Sasa mkuu Polisi unaiona kazi mbaya kwa sababu kutwa unalinda benki?
Sayans ipi? Labda mwalimuBabu yangu aliniambiaga kila fani mtu huzaliwa nayo.....Nmegundua umezaliwa na fani ya uongo.....Mlinzi 800k kwa mwezi acha kamba...Me naprofishono yangu ya sayans napiga serkalin mwka wa tano sijafikisha hiyo....!
bangi ya wapi hiyo mjomba umevuta
Mkuu hakuna askari polisi, magereza au jeshi anayefikisha 800k ukichanganya mshahara na ile posho yao?Babu yangu aliniambiaga kila fani mtu huzaliwa nayo.....Nmegundua umezaliwa na fani ya uongo.....Mlinzi 800k kwa mwezi acha kamba...Me naprofishono yangu ya sayans napiga serkalin mwka wa tano sijafikisha hiyo....!
bangi ya wapi hiyo mjomba umevuta
utakuwa mlinzi wa auxiliary police wa vyuo vikuu usijali maliza degree yako unaweza ukabadilisha faniIlikuwa 2012 nikiwa kidato cha tano katika shule moja ya serikali hapa nchini. Ile shule ilikuwa ya boarding. Siku moja wakati natoka kwenye kipindi cha dini saa 2 usiku nilipopita getini na wenzangu 2 tukielekea mabwenini nikamuuliza mlinzi maswali ambayo yalimkwaza. Moja ya maswali hayo nilimuuliza analipwa sh.ngapi?
Aisee dunia duara, nami sasa ni mlinzi. Naweza kumtafuta yule mtu nimwombe msamaha. Sina hali ngumu sana ya maisha ila naichukia sana hii kazi. Nalipwa kama 800k hivi, nimeajiriwa permanent na taasisi moja hivi ya serikali tangu 2015.
Mwaka huu namaliza shahada yangu ya kwanza but daaah naona hii kazi inaendelea kuniganda. Wife na ndugu zangu wengi hawajui kuwa mimi ni mlinzi.
Nimejenga kijumba kidogo kwa mkopo, yaani daaah naificha sana title yangu.
Mfano TAKUKURU wana walinzi wao ambao ni maafisa.
Asante tunapambana na Maisha. Ukiamua kuwekeza basi lazima ugeuke mlinzi tuPole aisee my fellow guard
Daaaahhh, inawezekana kabisa. Mke wangu nimemdanganya kwa title nyingine, anavyoona life linasonga hapati mashaka.Kwanini umeweka chumvi kwenye chai?
Unawezaje kufanya kazi asiyoijua mkeo?
Kawadanganye watoto wenzio!
Sent using Jamii Forums mobile app
ila kuhusu wifey lazima umwambie status yako mzee babautakuwa mlinzi wa auxiliary police wa vyuo vikuu usijali maliza degree yako unaweza ukabadilisha fani
ila kuhusu wifey lazima umwambie status yako mzee baba
Hahahahh nimekuelewa Sasa Mkuu na hata huo ulinzi unaozungumzia nimeupataLabda hujanielewa.
Nimesema mshahara uko chini ya laki nane but nikikusanya na malipo mengine inakuja hiyo 800k na visenti kidogo.
Sema tu salary slip hazionyeshi title ningekutumia pm uione.
Muulize mtu wa hazina yeyote atakuambia.
Kuna wazee hapa walinzi wanakula ndefu zaidi ya hapo.
unaonekana ukiwa unaenda job unavaa suruali na moka ukifika job unabadilisha mzee baba ha haDaaah siku moja inabidi nimwambie maana dunia haina siri. Ila ngoja nitafute moment adimu.
Ahahahahaha.Hahahahh nimekuelewa Sasa Mkuu na hata huo ulinzi unaozungumzia nimeupata
Nenda tuu kwa mlinzi wako wa shule umwambie we ni mwenzako. Alaf umtoe toe mtonyo kaka
I'm on that good kush and alcohol
Unaenda ukiwa msafi, unarudi ukiwa msafi.unaonekana ukiwa unaenda job unavaa suruali na moka ukifika job unabadilisha mzee baba ha ha
Mbona fedha ya kawaida tu hiyo.
Hiyo niliyotaja ni take home ambayo wameniwekea some benefits.
Basic iko chini ya hapo