Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,712
- 36,167
- Thread starter
- #61
Unajua alikasirika sana, sema tu mwanafunzi hapigwi hovyo
Unajua alikasirika sana, sema tu mwanafunzi hapigwi hovyo
Nadhani atakuwa alimlaani pale pale getini. Sidhani kama walikutana tena sehemu nyingine ndiyo akamlaani.
maana kama waliongea kwa ustaharabu alafu akauliza hilo swali mbona fresh tu kujibiwa ? kama yeye alivyosema mshahara wake bila sisi kutaka.Nadhani atakuwa alimlaani pale pale getini. Sidhani kama walikutana tena sehemu nyingine ndiyo akamlaani.
Wanazidi zaidi ya hiyo na hao ni rank za chini kabisa...Mkuu hakuna askari polisi, magereza au jeshi anayefikisha 800k ukichanganya mshahara na ile posho yao?
Nimeishi familia ya bandari... unadhani kwanini sikuwataja bandari na nimewataja TANESCO?! Jibu ni hili: Bandari walikuwa wanatumia askari na sio walinzi... mwanzoni walikuwa wanatumia askari wa kawaida (wakiitwa askari wa bandari), na baadae waakawa wanatumia askari wao wenyewe tukiwaita kwa utani Askari Katuni!!hao walinzi wa taasisi maalumu,hatuwahesabu kama walinzi hawako kundi hilo.
tanapa,takukuru,bot,bandari.kote huku kuna walinzi ila ni maafisa ulinzi wa taasisi husika,wanalipwa pesa nzuri tu.
wala huwezi hisi umelaanika kwa kwa kufanya kazi hapo,labda amekuwa supervisor wa guardaworld.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui kwanini ila watu wengi husema eti mshahara wa mtu ni siri yake na angalau wale ambao atataka wajue ila siyo kila mtumaana kama waliongea kwa ustaharabu alafu akauliza hilo swali mbona fresh tu kujibiwa ? kama yeye alivyosema mshahara wake bila sisi kutaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikipewa nafasi ya kulinda ukumbi wa bunge kesho wanakuta majivu tu paleUnalinda ukumbi wa bunge
Ni wivu tu!Nikipewa nafasi ya kulinda ukumbi wa bunge kesho wanakuta majivu tu pale
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipende nchi yako ktk kila hali although sometimes viongozi wetu wawakilishi hatuwaelewiNikipewa nafasi ya kulinda ukumbi wa bunge kesho wanakuta majivu tu pale
Sent using Jamii Forums mobile app
Mlinzi gani unalipwa laki Nane
Unalinda kwa Computer Nini ??
I'm on that good kush and alcohol
kweli potiHamjamwelewa mleta mada, kwa uelewa wangu na kaliba yangu, mletamada ameajiliwa katika moja ya vyombo vya ulinzi. Jukumu kubwa la vyombo hivi ni ulinzi ( kushika mninga). Hivyo yeye atakua ametambua kua tofauti yake na yule mlinzi wa shuleni kwao ni upande wa maslahi tu.
Buddah kabidhi kombati uingie kwenye ulinzi kama wa yule mlinzi wa shuleni kwenu ndio utakapokuja gundua kua ndoto yako itatimia vipi. Acha mitero na uganga wa ajabu pia ulikuwa kiapo mwenyewe.
Ww ulifanya usaili wa police DPA mwaka 2015, barua yako ya maombi uliandika ukasaini kabisa pale chini, "WAKO MTIIFU" leo hii unawananga police, korosho wwIlikuwa 2012 nikiwa kidato cha tano katika shule moja ya serikali hapa nchini. Ile shule ilikuwa ya boarding. Siku moja wakati natoka kwenye kipindi cha dini saa 2 usiku nilipopita getini na wenzangu 2 tukielekea mabwenini nikamuuliza mlinzi maswali ambayo yalimkwaza. Moja ya maswali hayo nilimuuliza analipwa sh.ngapi?
Aisee dunia duara, nami sasa ni mlinzi. Naweza kumtafuta yule mtu nimwombe msamaha. Sina hali ngumu sana ya maisha ila naichukia sana hii kazi. Nalipwa kama 800k hivi, nimeajiriwa permanent na taasisi moja hivi ya serikali tangu 2015.
Mwaka huu namaliza shahada yangu ya kwanza but daaah naona hii kazi inaendelea kuniganda. Wife na ndugu zangu wengi hawajui kuwa mimi ni mlinzi.
Nimejenga kijumba kidogo kwa mkopo, yaani daaah naificha sana title yangu.
Basi itakuwa mjeshi.Mbona fedha ya kawaida tu hiyo.
Hiyo niliyotaja ni take home ambayo wameniwekea some benefits.
Basic iko chini ya hapo