chamba matwe
Senior Member
- Jan 12, 2015
- 168
- 30
Umenikumbusha Mashiku;hiyo gari ilikuwa inakimbia sana,Musoma Mwamza;hadi kinywaji maarufu pale magamaga(Nyakato-Musoma)kikabatizwa jina hilo
Unaijua Sekenke ya miaka ya 85? mimi milima yote nimeiona sasa hivi Sekenke wachina walivyojenga barabara waliuzunguka mlima.Sekenke ndo ufananishe na Kitonga? Are you serious? Hata wakati huo uusemao bado Kitango ni hatarishi mara 100 kuliko Sekenke.Saranda ni kawaida sana pale!
Tanganyika Bus na Trans.Umenikumbusha Mashiku;hiyo gari ilikuwa inakimbia sana,Musoma Mwamza;hadi kinywaji maarufu pale magamaga(Nyakato-Musoma)kikabatizwa jina hilo
Panda same milimani afu ushukie njia ya Makanya!! kitonga cha mtoto saana, hiyo ya makanya balaa mtu uko ndani ya gari afu unatafuta sehemu ndani ya gari ujishike humo ,
senkenke hamna kitu kwa sasa wala kitonga hamna kitu
kwa anae safiri barabara ya kutoka Mbeya-Chunya.kuna mlima unatisha unaitwa #KAWETELE . huu unapa uwanza hadi kumaliza una KM 55. kwenye kilele cha juu kabisa ni sawa na nusu ya mlima kilimanjaro. kona zipo zakutisha na unaweza kupata kizunguzungu kama wewe ni dereva. kibaya zaid kuna sehemu upo kwenye kona kali alafu hujui barabara inakata kushoto au kulia.
Japokuwa Mchina amerekebisha ila bado ni kubaya mno. haswa kipindi cha usiku kunakuwa na ukungu mkali sana
Zenji kuna majina ya ajabu sana.
Kwa wale watu wa kusafiri safiri sana,
Kati ya mlima Sekenge uliopo Singida, mlima ulioua abiria kibao kwa ajali zake, yaani mkifika na basi mnasali kwanza. Enzi zile mkifika na basi abiria wanashuka na kutangulia kwa miguu then basi linakuja na mizigo na dereva; na mlima Kitonga wa Iringa wenye kona kibao, upi unatisha sana kwa madereva?
Kwa wale watu wa kusafiri safiri sana,
Kati ya mlima Sekenge uliopo Singida, mlima ulioua abiria kibao kwa ajali zake, yaani mkifika na basi mnasali kwanza. Enzi zile mkifika na basi abiria wanashuka na kutangulia kwa miguu then basi linakuja na mizigo na dereva; na mlima Kitonga wa Iringa wenye kona kibao, upi unatisha sana kwa madereva?
Kwa wale watu wa kusafiri safiri sana,
Kati ya mlima Sekenge uliopo Singida, mlima ulioua abiria kibao kwa ajali zake, yaani mkifika na basi mnasali kwanza. Enzi zile mkifika na basi abiria wanashuka na kutangulia kwa miguu then basi linakuja na mizigo na dereva; na mlima Kitonga wa Iringa wenye kona kibao, upi unatisha sana kwa madereva?
Kwa wale watu wa kusafiri safiri sana,
Kati ya mlima Sekenge uliopo Singida, mlima ulioua abiria kibao kwa ajali zake, yaani mkifika na basi mnasali kwanza. Enzi zile mkifika na basi abiria wanashuka na kutangulia kwa miguu then basi linakuja na mizigo na dereva; na mlima Kitonga wa Iringa wenye kona kibao, upi unatisha sana kwa madereva?
Ha ha ha haa.. Mkuu hukuchukua namba???Ahahahaha mkuu umebadirika sana aisee hiyo Id ilizoeleka sana humu ndani kwa kupost utumbo.... Nakumbka wakat nasoma Kigonsera nimepita sana Kitonga, kwenye kona kali ukiangalia chini ni mbali alafu kuna magar unayaona ambayo yalishawahi kupata ajali, kuna dada mmoja nilisafir nae siku moja kiti kimoja hatujuani wala nn, alipofika hapo Kitonga nikashangaa ghafla kanikumbatia kwa uoga maana yy alikuwa kakaa dirishani Ahahahaha! nilifurahia sana nikatamani dereva awe anapanda na kushuka hapo hapo Kitonga. ....