Mlima Kitonga vs Mlima Sekenke, upi mkali?

Mlima Kitonga vs Mlima Sekenke, upi mkali?

wewe sakafu ni mtozeni fanya tafiti kabla ya kupost mashudu hapa JF,sekenke hills ya mwaka 47 ilishapotea.
 
Sekenke unayoisema wewe mkuu ni hii ya kuanzia 2006 hadi Leo. Mimi Sekenke nimepita 1976, 1996, 2001, 2006 kuanzia hapo napita Mara kwa Mara na miaka yote hiyo ilikuwa kila ukipita kuna mabadiliko. Kitonga nimepita 1993 kwa kweli haikunitisha kama sekenke na saranda

Sekenke ndo ufananishe na Kitonga? Are you serious? Hata wakati huo uusemao bado Kitango ni hatarishi mara 100 kuliko Sekenke.Saranda ni kawaida sana pale!
 
wakuu namaanisha ile sekenge ya 90 na 2004 hivi ambapo palikua panatisha mbaya
 
siku hiz sekenke hakuna mlima ni barabara tu ya kawaida ila kitonga nomaaa,enzi zle tunaenda mza kupita singida na mashiku bus service ni balaa mkuu,

Aiss kumbe wewe wa zamani...umesafiri na mashiku...enzi hizo mimi nikiisafiri na mamba safaris arusha mwanza...
 
Ukweli sekenke ya enzi hizo ni zaidi ya kitonga,magari yalikuwa hayaongozani kupandq,mpaka mmoja afike ndo gari nyingine ipande.

wakati huo mlikua mkifika sekenge mnapiga dua kwanza ndo gari linapanda au kushuka mlima
 
Sekenke imepunguzwa makali,palikuwa noma pale.ila kufa kufaa mazee,zamani pakianguka gari la mizigo fasta tunaenda "kuokoa" vitu,ndo ada zetu za shule tulipatia kwa shughuli za "uokoaji"
 
Sekenke ndo ufananishe na Kitonga? Are you serious? Hata wakati huo uusemao bado Kitango ni hatarishi mara 100 kuliko Sekenke.Saranda ni kawaida sana pale!

Mkuu siwezi kubishana saana na wewe lakini huwezi ku.nishawishi in kubaliane na wewe, Japo nashukuru kwamba kwa sasa sekenke hakuna kitu kabisa imebaki history. Juu ya mlima imewekwa parking ya gari kama linatatizo liandaliwe kwa ajili ya kushuka! kama ni kona sikatai. Tatizo lilikuwa ni kuupanda kutokea Mwanza na kushuka kama inatokea Sgd. Sekenke ya 47 imeua sana hasa kwa madereva wageni. Laah sishawishiki japo Hata wewe umezipita zote kama nilivyopita mimi.
 
kwa wale watu wa kusafiri safiri sana kati ya mlima sekenge uliopo singida mlima ulioua abiria kibao kwa ajari zake yaani mkifika na basi mnasali kwanza , enzi zile mkifika na basi abiria wanashuka na kutangulia kwa miguu than basi linakuja na mizigo na dereva, na mlinga kitonga wa iringa wenye kona kibao, upi unatisha sana kwa madereva?

Mlima kitonga vs mlima kilimanjaro, upi unatisha sana kwa madereva?
 
Mlima mkali wenye dangerous road upo mahenge kwakwel pale hata kitonga haifungi mguu
 
tena yale maroli yalobeba nguzo hasa ndo huwa yanatisha, alafu madereva wengne wanapita kiboya wanaovatek kwa spidi kwenye vile vikonakonj

Sekenke ilikuwa huovertake mkuu na wala hampishani wa chini anamsubiri wa juu ashuke yeye ndio aanze safari tena kama ni bus abiria mshuke driver anawasubiri halafu yeye ndio aje taratibu
 
Back
Top Bottom