Mlima Kitonga vs Mlima Sekenke, upi mkali?

Mlima Kitonga vs Mlima Sekenke, upi mkali?

Nyang'oro ndo mwisho wa yote. Nimeendesha hizo barabara zote lakini ya Iringa hadi Mtera ni noma.
 
mlima senkenke kwa sasa hautishi kama zamani umechongwa na magari yanapita kwa haraka
 
mlima senkenke kwa sasa hautishi kama zamani umechongwa na magari yanapita kwa haraka
 
Kwa wale watu wa kusafiri safiri sana,

Kati ya mlima Sekenge uliopo Singida, mlima ulioua abiria kibao kwa ajali zake, yaani mkifika na basi mnasali kwanza. Enzi zile mkifika na basi abiria wanashuka na kutangulia kwa miguu then basi linakuja na mizigo na dereva; na mlima Kitonga wa Iringa wenye kona kibao, upi unatisha sana kwa madereva?

....Kitonga simchezo bado hatari....
1982262_677714208959707_935515967_n.jpg
 
Safiri kutoka Mbeya kwenda Chunya utaona hapo tu Jirani jinsi barabara ilivyopita nadhani huo ndo hatari kuliko Kitonga
Mnatuchanganya! Kitonga? Lukumbura? Au huo wa Dodoma iringa? Wa chunya? Elewekeni!
 
Kwa wale watu wa kusafiri safiri sana,

Kati ya mlima Sekenge uliopo Singida, mlima ulioua abiria kibao kwa ajali zake, yaani mkifika na basi mnasali kwanza. Enzi zile mkifika na basi abiria wanashuka na kutangulia kwa miguu then basi linakuja na mizigo na dereva; na mlima Kitonga wa Iringa wenye kona kibao, upi unatisha sana kwa madereva?
Kitonga hatari mkuu
 
Back
Top Bottom