Mlima huo unaitwa ndororo ni balaa ule mlima wakati wa nyuma kabla haujawekwa lami kipindi cha mvua magari mbovu hayapiti hapimlima upo mahenge, hiyo yote haitishi hata kidogo
kitonga panatisha,huwa naogopa mkiongozana na lori,assume linashishindwa kuapanda mlima halafu lirudi acha kabisa
Nimepita kitonga mara kadhaa, ila Ndororo ni nyoko aisee, wengi hawaujui sababu hawajaupita. Ndororo mm naiogopa wakati wa kushuka ukiwa upande wa korongo, mmh hapana aisee. Kabla sijapandisha au kushuka ile kitu lazima maombi yahusike kwanza.Mlima huo unaitwa ndororo ni balaa ule mlima wakati wa nyuma kabla haujawekwa lami kipindi cha mvua magari mbovu hayapiti hapi
Hahahahaa, pale hatari.Mie pale nikipita kama tulikuwa tunapiga story huwa nakaa kimya sisemi chochote mpaka tuumalize/niumalize ule mlima.
Utwa Masiku Ulimpara Fijo Kwann?Kitonga aisee...
Senkenke ilikuwa zamani sio sasa
Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
Upo? Nimefurahi kukuona. Moshi hakuna milima mikali??Kitonga aisee...
Senkenke ilikuwa zamani sio sasa
Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
Hapana masaa matatu hayafiki bhana, kuna kona kama 50 hiviMLIMA KITONGA NI HATARI ACHENI MASIHARA GARI LIKIPINDUKA HATA MAITI ZENU HAZIWEZI KUONEKANA KWAKUWA KUNA SHIMO/KORONGO REFU SANA KIASI KWAMBA MWISHO HAKUONEKANI NA VILE VILE HUU MLIMA UNAKONA KALI SANA KUUMALIZA KUUVUKA HUO MLIMA UNATUMIA MASAA KAMA 3 HIVI
Upo sahihi 100% kuna nyakati unaupanda huo mlima kisha unaona mawingu yako chini acha kabisa sema watu wengi hawapiti hiyo njia.kwa anae safiri barabara ya kutoka Mbeya-Chunya.kuna mlima unatisha unaitwa [HASHTAG]#KAWETELE[/HASHTAG]
Kwa wale watu wa kusafiri safiri sana, Kati ya mlima Sekenge uliopo Singida, mlima ulioua abiria kibao kwa ajali zake, yaani mkifika na basi mnasali kwanza. Enzi zile mkifika na basi abiria wanashuka na kutangulia kwa miguu then basi linakuja na mizigo na dereva; na mlima Kitonga wa Iringa wenye kona kibao, upi unatisha sana kwa madereva?
siku hiz sekenke hakuna mlima ni barabara tu ya kawaida ila kitonga nomaaa,enzi zle tunaenda mza kupita singida na mashiku bus service ni balaa mkuu,