Mlima Kitonga vs Mlima Sekenke, upi mkali?

Mlima Kitonga vs Mlima Sekenke, upi mkali?

Tukiongelea uhalisia, sekenke ni mlima uliokuwa unatisha. Lakini kiushabiki na walioanza kusafiri majuzi watasema kitonga.
 
Ha ha ha haa.. Mkuu hukuchukua namba???

Kwa mwanafunzi hicho sio cha kuuliza mkuu,cha kushangaza zaid tulifika Songea mjini usiku kama saa 1 hiv ikabidi tulale chumba kimoja Ahahahaha mapenzi ya dot com bwana! baadae alikuja kuwa demu wangu japo tulikuja achana,
 
Kuna mlima unaitwa "kaza ma..pu...mbu", ni balaa.
 
Sekenke siku hizi hautishi tena baada ya matengenezo ya barabara. Unaweza usi-sense hata kama kuna mlima.

Kwa maana hiyo Kitonga unatisha kuliko Sekenke kwa sasa.

Ila kuna Mlima Sumbawanga Vijijini unaoitwa MUUZE. Huo Mlima ni zaidi ya Sekenke...sijawahi kuona mlima wa hatari kama ule, kuna mahali kwenye huo mlima wanapaita 'Kaburi Wazi' ni shiiiiidaaa!
 
sekenge hamna kitu hata kona za songea Ni Kali zaidi
Yaap mkuu sekenge Hamna kitu SKU hizi .Haizifikii hata kona za nyang'olo Dodoma _ Iringa.ILa kitonga habari nyingine ile.
 
Hakuna cha sekenke wala kitonga kiboko yao Mlima Nyang'oro iko njia ya mtera Dom kutoka iringa waliopita huku wasimulie Luna sehemu kabisa imeshindikana kuweka Barabara wameacha moja hapo Hanna kupishana
 
Nyang'oro ndo mlima mkali kwa sasa hata kitonga haisogei ni kama mara mbili yake..
 
Labda uulize Mlima Kitonga vs Nyabherango au ule wa kwenda Mahenge, nimeusahau jina.
 
Back
Top Bottom