Geechie
JF-Expert Member
- Oct 26, 2015
- 977
- 762
Nimeona hatari ya lushoto,kitonga nimepita zaidi ya Mara mia,songea njombe nimepita kwa kawaida,sekenke sijawahi.
Ila mwisho was yote Balaa liko njia ya Chunya,nasikia ndio barabara iliyojengwa juu kabisa juu ya usawa wa
bahari kwa Tanzania,Usiku hunipitishi njia ile
Ila mwisho was yote Balaa liko njia ya Chunya,nasikia ndio barabara iliyojengwa juu kabisa juu ya usawa wa