Mlima Kitonga vs Mlima Sekenke, upi mkali?

Mlima Kitonga vs Mlima Sekenke, upi mkali?

Nimeona hatari ya lushoto,kitonga nimepita zaidi ya Mara mia,songea njombe nimepita kwa kawaida,sekenke sijawahi.

Ila mwisho was yote Balaa liko njia ya Chunya,nasikia ndio barabara iliyojengwa juu kabisa juu ya usawa wa
IMG-20170723-WA0013.jpg
bahari kwa Tanzania,Usiku hunipitishi njia ile
 
yote cha mtoto,kuna kitu inaitwa kaburi wazi na kona ya mkasi.toka sumbawanga kwenda ziwa rukwa.we acha tuu.nashangaa hata serikali kutopeleka hili eneo kwenye maajabu 8 ya dunia
Nimewahi sikia kuhusu hilo. Nasikia Waziri Mkuu aliopt kutotumia usafiri wa barabara tena kupitia hapo mahala hapo.
 
Sekenke hamna kitu mzee kwanza unaweza ukapita hapo usijue kama umepita Sekenke labda huko zamani lakini ya leo inazidiwa hata na zile Kona za mtera.

Barabara ambazo huwa napita nasema hapa sijui tena ukiwa umeongozana na Lori lenye mzigo kama alivyosema hapo juu mdau ni pale mtera, kitonga na kule Songea kwa barabara nilizopita hapo ndo nashikilia roho nikipita.
 
Yote hiyo haijafikia ukali wa Kona za mkoa za Chunya.
Barabara ipo kileleni
Huku korongo na huku korongo
Siyo Kona za Kitonga Wala Nyang'olo zinazoikaribia uhatari Kona za Mkoa.
 
Nimeona hatari ya lushoto,kitonga nimepita zaidi ya Mara mia,songea njombe nimepita kwa kawaida,sekenke sijawahi.

Ila mwisho was yote Balaa liko njia ya Chunya,nasikia ndio barabara iliyojengwa juu kabisa juu ya usawa wa View attachment 549894bahari kwa Tanzania,Usiku hunipitishi njia ile
Zile movies za fast and furious franchise ilifaa wangeshoot huku
Panafaa kabisa
 
Mlima Kitonga hapanaa umetia fora ila mlima Sekenke shida yake ni kona kali mto mmoja una madaraja saba just imagine
 
Back
Top Bottom