FT: Mlandege 1 - 0 Simba SC | Mapinduzi Cup | New Amaan Complex | Fainali | 13.01.2024. Kombe limebaki Mlandege

Ila wachezaji wa Simba sijui Wana akili gani. Hawabadiliki. Nilidhani wangekuja na approach tofauti na ile mechi ya Singida ila ndio hivyo, hawabadiliki. Inabidi Benchika aondoke awaache. Watamdhalilisha tu.
Hata mimi nilidhani watakuja na mbinu tofauti!! Ila mpira ni ule ule tu! Bora Simba Queens kuliko hawa wazee
 
Back
Top Bottom