Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 3,089
- 5,449
Tunaenda kiMungu Mungu tu.Hii timu yetu ni ovyo kabisa! Hakuna mechi wamecheza wakaonyesha kama kuna mipango ya magoli zaidi ni kubahatisha tu!
Toka jamhuri watutoe kamasi kwa ushindi wa goli moja tena tukiwa full squad,ndio niliona hatuna timu ya ushindani