Mkuu wa Kaya ameoa mke mwingine?

Naamini wanawake wa kiislam wanatambua hilo kuwa mme wake anaweza ongeza jiko at any time!au siyo?hivyo mme akitaka kuongeza mke naamini bi mkubwa
lazima akubali!


Ni lazima kuwe na ridhaa ya mke mkubwa ... ila kama ujuwavyo mapenzi si kitu chepesi wala cha kuchangia na suala la kuoa kumueleza mwenzawako ni kama kumchoma kisu ... most men avoid such encounters wanaamua kuoa kimya kimya baadae mambo yakibumburuka anajikosha ...ma laghai hawa ...

I tell you Hollo mimi when i just know at the clip of my figures i end it there and then
 
Acha aongeze hata kama hasipoongeza mbona NKAPA alikuwa na mmoja (official) lakini akaondoka na resources za taifa nyingi tu. So mkono wa wizi na kuridhika ni tabia ya mtu tu
 
...ni kweli mkuu ameoa karibuni...harusi ya siri ilifanyika kwenye hoteli moja kali ...walialikwa watu wa karibu na hapakuwa na ze kameras.......bibiye ana undugu wa mbali na ROSTAM.........taarifa za wandani zinasema bi mkUbwa mambo yake murua sasa na ana EXPECT!!!!

..KUNA WATU WANACHONGA HAPA MLETA HOJA KULETA HII HOJA...IN SHORT WAELEWE MKUU NI PUBLIC FIGURE KWA HIYO MAISHA YAKE IS UP FOR SCRUTINY.....WALA MSIITE USHAKUNUKU...KWANI YEYE PIA ANAO WAJIBU WA KUWEKA WAZI MAHUSIANO YAKE MAPYA ISITOSHE HATA DINI INARUHUSU...NA WALA SI AJABU..SOKOINE ALIKUWA NAO WAWILI....MWINYI KADHALIKA....
 

..KUNA WATU WANACHONGA HAPA MLETA HOJA KULETA HII HOJA...IN SHORT WAELEWE MKUU NI PUBLIC FIGURE KWA HIYO MAISHA YAKE IS UP FOR SCRUTINY.....WALA MSIITE USHAKUNUKU...KWANI YEYE PIA ANAO WAJIBU WA KUWEKA WAZI MAHUSIANO YAKE MAPYA ISITOSHE HATA DINI INARUHUSU...NA WALA SI AJABU..SOKOINE ALIKUWA NAO WAWILI....MWINYI KADHALIKA....

Ahsante.

Kama ni sawa kuuliza masuala ya familia ya Rais, tunashukuru.

Eti rais wa Tanzania ana watoto wangapi? wako wapi?

Naomba kuwasilisha tena.
 
Mimi ninavyojua huu ni UDAKU TU, hamna ukweli maana ninifahamiana na watu walio karibu na mkuu wa kaya nao hawajuo, tupunguze udaku na porojo wana JF
 
...Urijali huo,

~kwa niaba yangu na familia natoa mkono wa hongera, nawatakia maisha marefu yenye amani na upendo wa kweli~

ila fainali uzeeni!
 
...Urijali huo,

~kwa niaba yangu na familia natoa mkono wa hongera, nawatakia maisha marefu yenye amani na upendo wa kweli~

ila fainali uzeeni!

kaka fainali uzeeni kwetu sie kina hohe hahee...ukumbuke uko uzeeni mwenzio atakua na pensheni!!!si wasikia nw nkapa nae anasema anaishi kwa pensheni?!
plus de fact atakua na timu ndeeeeefu ya watoto wa kumuangalia nimeona kuna mtu anauliza idadi ya watoto wa mtalii wetu!it seems na yasemekana wako wengi! ndio maana mie mwanzo nikauliza kwnai hao wanne walikua hawajafika tu?!
 
...kaka fainali uzeeni kwetu sie kina hohe hahee...ukumbuke uko uzeeni mwenzio atakua na pensheni!!!si wasikia nw nkapa nae anasema anaishi kwa pensheni?!
plus de fact atakua na timu ndeeeeefu ya watoto wa kumuangalia nimeona kuna mtu anauliza idadi ya watoto wa mtalii wetu!it seems na yasemekana wako wengi! ndio maana mie mwanzo nikauliza kwnai hao wanne walikua hawajafika tu?!

Shauri yake na mwenyezi mungu wake,

...kwa mila na desturi zangu, mtu akizaliwa au kuoa natoa hongera, akifa natoa pole na kumuombea toba huko aendako. Kuhusu watoto weeeeeengi, huenda kuzaa sio kupata vile vile...

wanne kama walifika au la, mie hayo sijui, ila kwa sheria za 'inji' hii anaruhusiwa wangapi na kidini wangapi hiyo ndio hoja, sio kuzaa watoto weeengi!

Fainali uzeeni, kuna mengi huko kuliko pensheni!
 
Duh ngoja niwahi kwa ze uchungu asije naye akazitoa.

Kwa ze uchungu mzee wetu hana ujanja,ile itakaa sana pale na wala haitaondolewa mkulu,si unajua ule ni mtambo wa kurekebisha tabia??,so pale picha ziko pahala pake
 
Jamani kwa wale wanaotaka kujionea na kuthibitisha harusi ya pedeshee Mengi wanaweza kwenda kule ze uchungu kwa wapenzi tu wa ze uchungu mnaweza kwenda kujionea.
 
Hiyo story nimeisikia siku nyingi, huyo jamaa hatosheki na wanawake, ndio maana anaishiwa nguvu majukwani
 
...ni kweli mkuu ameoa karibuni...harusi ya siri ilifanyika kwenye hoteli moja kali ...walialikwa watu wa karibu na hapakuwa na ze kameras.......bibiye ana undugu wa mbali na ROSTAM.........taarifa za wandani zinasema bi mkUbwa mambo yake murua sasa na ana EXPECT!!!!

..KUNA WATU WANACHONGA HAPA MLETA HOJA KULETA HII HOJA...IN SHORT WAELEWE MKUU NI PUBLIC FIGURE KWA HIYO MAISHA YAKE IS UP FOR SCRUTINY.....WALA MSIITE USHAKUNUKU...KWANI YEYE PIA ANAO WAJIBU WA KUWEKA WAZI MAHUSIANO YAKE MAPYA ISITOSHE HATA DINI INARUHUSU...NA WALA SI AJABU..SOKOINE ALIKUWA NAO WAWILI....MWINYI KADHALIKA....

Acha uwongo wako

na nashangaa mtu wa status kama yako na wewe unaongelea udaku na kutaka ku justify kitu ambacho huna hakika nacho

Muungwana hajaoa na acha kumzulia

pili hata kama anania ya kuoa kuna tatizo gani? dini yake inamruhusu

hiyo the so called kaoa raibuni mbona husemi lini?

hiyo hoteli kali mbona hutaki kuitaja?

Naona umeamua kumuingiza Rostam humu kwenye hilo lakini hutaki kuelezea how he's related na huyo mwanamke unayedai kaolewa na muungwana

na zaidi ya hayo labda ungeongea na rafiki yako akakupa details zaidi akishamaliza kukupa mkumbushe kuwa vipi alishalipa zile dola milioni 3 alizokopa toka kwa Rostam na kinachomzuia kuzirudisha ni nini?


Ohhh sasa je na wewe uko tayari tuanze kukuchambua na mkeo?
 
wewe mwenye mke moja umelifanyia nini cha zaidi kupita sisi wenye wake wengi?

kiuchumi tumeongeza consumption tunanunua bidhaa zaidi i.e. vyakula, ada za shule,

tumeongeza workforce needed, wacha aoe
 
Katika pita pita zangu kwenye mablog nimekumbana na picha inasema mke mdogo wa kikwete!!! Je kuna ukweli wowote????
 
Dini inaruhusu - Zuma anaowangapi vile? Mbona World Cup imefanikiwa despite all that?
 
ajulikane in public basi mbona mzee ruksa wakeze walikuwa wanafahamika?
 
Back
Top Bottom