- ...........- Ujumbe wangu kwa Wa-Tanzania wenzangu ni kwamba tusidharau mwiba kwa sababu huwezi kupigana na adui ambaye hujui mbinu zake, adui tunayepigana naye hapa ni too sophisticated kuliko wengi tunavyoamini na kumuelewa, tunamuongelea kama vile ni mtu mjinga mjinga tu mwenye hela basi!, shutuma nyingi tunazomrushia ni za kisiasa tu badala ya kisheria.............William.
Malecela,
thats very true my brother......right now we should think of what willbe his next move...........baada ya kutuchanganya changanya.........very unfortunate....wengi wetu tumeingia kwenye mtego wake.......huku tukifikiri tunatetea fikra zetu.......dah....