Mkutano wa Dkt. Slaa mjini Kahama - Dec 4, 2013

Mkutano wa Dkt. Slaa mjini Kahama - Dec 4, 2013

Nini kimechelewesha mkutano kuanza huoni ni kama kuwapotezea wananchi muda wa kuzalisha na kukuza uchumi

Wamepotezewa muda na ccm kwa zaidi ya miaka 50. , need we say more..!
 
Safi sana dk slaa/chadema ccm leo watalala wima pictures talk millions of words. Watz bado tunaiamini na kuisapoti chadema. Zitto msaliti/kibaraka mchumia tumbo. Now nimeamini ona wanaomtetea riz,nape mwigulu. Huu mkutano ni salamu tosha kwa. Watanunua sana front page kwenye media chadema ni qudra ya mwenyezi mungu kwa watz watz wanaonyanyasika na wakoloni weusi ccm. Zito laana ya usaliti itakutafuna wewe na kizazi chako chote. Wewe ni zazidi ya tambwe hiza, kaborou. Gooo chadema.
 
I beg you pardon Mr Magambaz!! Unaionaje hiyo poll inayoendelea humu JF? Naona umepiga KOSA lakini ni bure tu! -- nawe umeshachelewa!! Ha ha ha.

Mkuu nielekeze hiyo poll iliko hapa jukwaani
 

Huu ndiyo mkutano wa Dkt. Slaa leo Kahama mjini ambao umeanza majira ya saa 12.15 jioni ambapo watu wamekuwepo uwanjani tangu saa 8 mchana kama walivyotangaziwa.






Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilibrod Slaa akiwahutubia wanachi wa mji wa Kamaha na vitongoji vyake, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kukagua na kuimarisja uhai wa chama katika mikoa ya Shinyanga, Kigoma, Tabora na Singida, uliofanyika kwenye Uwanja wa CDT mjini Kahama jana. (Picha na Joseph Senga)


Katibu Kuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (chadema), Dk. Willibrod Slaa akiagana na wananchi wa mji wa Kahama baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara kwenye Uwanja wa CDT mjini huo jana, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kuimarisha uhai wa chama katika mikoa ya Shinyanga, Tabora, Kigoma na Singida. (Picha na Joseph Senga)

Mkutano umefanyika leo au jana?
 
Mimi nipo huku kahama, hakuna picha kama hizi,watu walikuwa bize na waliofika wameleta zomea zomea hadi polisi wamekiokoa kibabu! Acheni kuleta picha feki, weka video!

Nani atakuamini wewe ujulikanae kama "kandam"!??
 
ccm bhana hii ndio minazi wanayo lia nao ahaaaa
ccm.jpg
 
Hutaki kuamini unachokiona mpaka unaamua kutunga habari yako mwenyewe na hatimaye unaiamini mwenyewe kwamba ndio ya kweli ! Pole sana.

Na kule kwenye poll nyie wote ambao mnajulikana kwamba ni CCM wote inabidi kura zenu ziondolewe kwani uamuzi ule unawahusu zaidi wanachama na mashabiki wa Chadema. Hapo hata 1% ingekuwa bahati kupata !.

Mods piga life ban hii kurugenzi ya habari.

Angalia kwa makini uongo huu Dr.Slaa anawaaga watu lakini ukiwaangalia watu bado wamesimama wanasikiliza mkutano.

Dr.Slaa anahutubia watu kushoto watazamaji wapo kulia.

Chezea Zitto.
 
Weka picha za kweli vinginevyo unachoongea ni unafiki na umbea gamba wewe!

We umekaa huko stendi ya vifodi na laptop yako,unaleta ubishi! Nasema, weka video uone kilichotokea! Chadema kwishaaa!
 
Zito anafanana kimwili na tabia na kafulila. Tena ni marafiki. Kafulila alikuwa chadema kaleta upuuzi akaafukuzwa. Kaenda nccr akataka kujiona yeye anajua kuliko mbatia. Kama anavyofanya zito. Kamati kuu ikampiga chini akaanza kulia na kulamba miguu ya mbatia. The same shit to nyepesi", hivi vijamaa sijui vina matatizo gani. Vinapenda sana migogoro. Timulia mbali huyo msaliti wa damu za watz walipouawa sababu ya chadema.
 
yaaah umeona neno jana ila mikoa Shinyanga, Tabora, Kigoma na Singida hujaiona magamba mtaisoma number
 
""zitto is a one in millions,ni upuuzi mkubwa na aibu sisi mamilions tukatetereshwa na single person by whatever he is! Miongoni mwetu hatuwezi pata watu safi wenye nia ya kweli pengine wa kumzidi 2faces wa kulizungusha gurudumu la cdm""
 
Back
Top Bottom