Mheshimiwa Kurugenzi wa Habari hii picha si ya ukweli na MODs naomba muwemnahakiki hizi picha otherwise intergrity yenu itakuwa questionable. Kwanza naomba nimuulize mheshimiwa Kurugenzi wa Habari ni wapi Kahama kuna minazi maana sijawahi kuiona nikiwa kahama. Naomba ufafanuzi.
Pili hili ghorofa la orange hapo ni kama vile temeke but I could be wrong ila nilishawahi kuliona maeneo hayo au Yombo ila naomba uniambie hilo ghorofa liko mitaa gani kahama nitapita kupatafuta nina safari ya kwenda huko ila silikumbuki kuwepo kahama mjini.
Tuanzie na hayo kwanza halafu nitakuja na mengine baadae......
Pili hili ghorofa la orange hapo ni kama vile temeke but I could be wrong ila nilishawahi kuliona maeneo hayo au Yombo ila naomba uniambie hilo ghorofa liko mitaa gani kahama nitapita kupatafuta nina safari ya kwenda huko ila silikumbuki kuwepo kahama mjini.
Tuanzie na hayo kwanza halafu nitakuja na mengine baadae......