Last edited by a moderator:
Hizo picha sio kahama hapo
Mimi na muda wa kupiga kura mie nachochea kuni tu.Vipi umeshapiga kura yako kumuokoa Zitto.....!!!?
Well done Kurugenzi.!!! Hii ndio kiboko ya wanafiki
Aisee kahama kuna minazi,unafikiri kungekuwa na watu wengi lazima picha wangeweka mapema tena live,Aisee siasa ya kichadema ya kilaghai
lazima utakuwa umeibiwa password: cc Mungi, Ben Saanane sweetlady njooni mumusikie katibu mwenezi wa magamba
Hakuna mkutano wa saa kumi na mbili huu ni upotoshaji wa hali ya juu.
Nini kimechelewesha mkutano kuanza huoni ni kama kuwapotezea wananchi muda wa kuzalisha na kukuza uchumi
Huu ndiyo mkutano wa Dkt. Slaa leo Kahama mjini ambao umeanza majira ya saa 12.15 jioni ambapo watu wamekuwepo uwanjani tangu saa 8 mchana kama walivyotangaziwa.
View attachment 124850
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilibrod Slaa akiwahutubia wanachi wa mji wa Kamaha na vitongoji vyake, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kukagua na kuimarisja uhai wa chama katika mikoa ya Shinyanga, Kigoma, Tabora na Singida, uliofanyika kwenye Uwanja wa CDT mjini Kahama jana. (Picha na Joseph Senga)
View attachment 124852
Katibu Kuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (chadema), Dk. Willibrod Slaa akiagana na wananchi wa mji wa Kahama baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara kwenye Uwanja wa CDT mjini huo jana, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kuimarisha uhai wa chama katika mikoa ya Shinyanga, Tabora, Kigoma na Singida. (Picha na Joseph Senga)
Mkutano aliohutubia Kikwete hivi karibuni kule Bukoba kuanzia saa 12 hadi saa 2 za usiku ulikuwa mkutano gani wa kuanza muda huo na kumalizika usiku.
Mtu makini nageuliza kwa nini Dkt. Slaa na msafara wake walichelewa.
Magari karibu yote yaliyokuwa kwenye msafara huo yaliwekewa mafuta mabovu/yaliyochakachuliwa katika moja ya vituo vya mafuta pale Kibaha. Hali hiyo ilisababisha magari kwenda kwa mwendo wa kinyonga kabla haijaamuriwa yafanyiwe
Mkuu umerogwa huyo mzee mnamdanganya mwambieni ukweli kuwa dhama zake zimekwisha kuweka picha za uongo haisaidii kitu asimumchezee zito siyo saizi yake atamwacha vibaya.Mkutano aliohutubia Kikwete hivi karibuni kule Bukoba kuanzia saa 12 hadi saa 2 za usiku ulikuwa mkutano gani wa kuanza muda huo na kumalizika usiku.
Mtu makini nageuliza kwa nini Dkt. Slaa na msafara wake walichelewa.
Magari karibu yote yaliyokuwa kwenye msafara huo yaliwekewa mafuta mabovu/yaliyochakachuliwa katika moja ya vituo vya mafuta pale Kibaha. Hali hiyo ilisababisha magari kwenda kwa mwendo wa kinyonga kabla haijaamuriwa yafanyiwe
Ana wadanganya wananchi eti "chama chenu" dr slaa ana taka kuwafanya wananchi hawamjui mmliki halali wa chadema(mbowe & mtei)
Mkuu umerogwa huyo mzee mnamdanganya mwambieni ukweli kuwa dhama zake zimekwisha kuweka picha za uongo haisaidii kitu asimumchezee zito siyo saizi yake atamwacha vibaya.