huu uzi umekuwa kaa la moto kwa zitto na wahuni wake wa ccm..
Niko kahama watu walikuwa busy na mambo Yao.
Hizo picha ni za upande mmoja tu?
Chadema hapa kahama #KUFA NA CHUKI ZAKO,PYUUUUUZtiiiiiPRA PRA PRA PYEEPR PRA PRA PRA
Lazima mmalizie dozi siyo wazima nyie mlikuwa wachawi kwenda uwanjani usiku zitto atawapasua msamba haya sasa mmeenda kumwaibisha mzee wa watu.
Invisible na other Mods naomba mje kuna members wamejificha huku, naomba mje kunisaidia kuwatoa, wasitufikirie vibaya sisi humu JF wala hatuli watu, tunakosoana tu basi.
View attachment 124859
View attachment 124861
Haijawahi kutokea hasira zikatatua jambo zaidi utapasuka msamba tu zitto ni namba nyingine kabisa saizi ya slaa ni mboni mhita kisiasa slaa kachuja kama nguo.
Lazima mmalizie dozi siyo wazima nyie mlikuwa wachawi kwenda uwanjani usiku zitto atawapasua msamba haya sasa mmeenda kumwaibisha mzee wa watu.
Nashangaa sana wana ccm uchwara na mafisadi kama .......... kung'ang'ania kuipa promo chadema wakati katibu mkuu wetu kinana amedoda vya kutosha mbeya leo na kuishia kufanya mkutano wa ndani na kukagua tazara ambayp imefilisiwa na ccm mafisadi
Habari ndiyo hiyo...!!
Slaa na Makene ni MISUKULE TUH KAMA WALIVYO MISUKULE WENGINE,
WENYE NYUMBA WAPO ZAO TENGERU,NA MSIMAMIZ NI HUYO BABA MKWE HAPO..!!
Haijawahi kutokea hasira zikatatua jambo zaidi utapasuka msamba tu zitto ni namba nyingine kabisa saizi ya slaa ni mboni mhita kisiasa slaa kachuja kama nguo.
Yaani wanaanguka kifafa wote humu ndani hahahahah..... Ngumu kumeza ila itabidi wajitahidi tu asee manake tumewapiga bao la kisigino na bado!
Hakukuwa na picha mkutano saa kumi na mbili na nusu picha za wapi hizo?
Ma ccm wenzangu na masalia mnaoishi na posho za msaliti twendeni tukalale tuwahi kuamuka na kuanza kupanga kutoa matamko ya kuibomoa chadema kwani tukirudi nyuma kidogo tutakuwa tumewajengea jina na hivyo watatumwaga
Hivi ni chadema inatumia nguvu nyingi kupambana na Zitto au ni Zitto ndiyo anatumia nguvu nyingi za kutoka CCM kupambana na CHADEMA? Hivi kwanini watetezi wakubwa wa Zitto hapa jukwaani ni wanaCCM? Hebu fikiria Lumumba yote imejipanga kuyashambulia maamuzi ya CHADEMA dhidi ya Zitto lakini bado wananchi wanaendelea kuwa na imani kubwa na CHADEMA. Hakuna namna yoyote wana Lumumba mtafanikiwa kuiangamiza CHADEMA. Slaa ni intelligensia wa kimataifa, intelligensia yake ni ya juu kushinda hata ya serikali yako. Mustarajie mtelemko. Hakuna mtakachokifanya kisigundulike.Chadema mnatumia nguvu nyingi sana kupambana na Zitto lakini mmeishachelewa.
Mimi nipo huku kahama, hakuna picha kama hizi,watu walikuwa bize na waliofika wameleta zomea zomea hadi polisi wamekiokoa kibabu! Acheni kuleta picha feki, weka video!