Mkutano wa Dkt. Slaa mjini Kahama - Dec 4, 2013

Mkutano wa Dkt. Slaa mjini Kahama - Dec 4, 2013

Niko kahama watu walikuwa busy na mambo Yao.
Hizo picha ni za upande mmoja tu?
Chadema hapa kahama imejikondea kama mbwa koko.

Kwi kwi kwi...Pole sana.....Chadema ipo mioyoni mwetu....Nyie chomeni ofisi mmkidhani mwatukomoa, na mkasahau kuwa chama si majengo ika kipo mioyoni mwetu....

Mtaisoma namba ya Chadema....z
 
Graveyard unapata wapi mda wa kubishana na hilo gamba gumu Ritz??? Aisifuye mvua imemnyea... Jiulize mwanaume mzima nawezaje kumsifia mwanaume mwenzie???
Haijawahi kutokea hasira zikatatua jambo zaidi utapasuka msamba tu zitto ni namba nyingine kabisa saizi ya slaa ni mboni mhita kisiasa slaa kachuja kama nguo.
 
Chadema mnatumia nguvu nyingi sana kupambana na Zitto lakini mmeishachelewa.

si muda mrefu tutajua chuya na mchele ,na ndipo hapo wale wenye nia mbaya na taifa kama wewe watakapo umbuka.endeleen kujipa faraja hewa,
 
Kwahiyo ni CDT au kahama?, ebu pangilia sentensi yako ueleweke!


Yaani magamba wanaruka na kukanyagana wenyewe kwa wenyewe humu ndani.... Mara sio picha za kweli, mara sio kahama ... Ha ha ha ha ha ha h.. Pole yao akina Ritz na Simiyu Yetu!
 
Last edited by a moderator:
Wekeni nyie hizo za ukweli..... Habari ndiyo hiyo, hamtaki mnaacha.... Mfikishie taarifa mumeo zito mwambie chadema ndio habari ya mjini!
Hakukuwa na picha mkutano saa kumi na mbili na nusu picha za wapi hizo?
 
Wekeni nyie hizo za ukweli..... Habari ndiyo hiyo, hamtaki mnaacha.... Mfikishie taarifa mumeo zito mwambie chadema ndio habari ya mjini!

huu uzi umekuwa kaa la moto kwa zitto na wahuni wake wa ccm..
 
Haijawahi kutokea hasira zikatatua jambo zaidi utapasuka msamba tu zitto ni namba nyingine kabisa saizi ya slaa ni mboni mhita kisiasa slaa kachuja kama nguo.


Ha ha ha ha h... Ni kweli zito ni namba nyingine manake ameweza kutusaliti watanzania maelfu tuliomwamini hivyo kamwe hawawezi kufanana na mtu safi kama dr. Slaa! Vipi mnaonaje ccm mkimchukua zito awe makamu mwenyekiti badala ya kile kibabu chenu Mangula???
 
NDUGU HUU UZI UNA WALAKINI, NIME COPY ILE PICHA YA KWANZA, UTAONA UNASEMA HUU MKUTANO ULIKUWA JANA KAHAMA. SWALI NI JEE HUU MKUTANO ULIKUWA LEO AU JANA?????


Huu ndiyo mkutano wa Dkt. Slaa leo Kahama mjini ambao umeanza majira ya saa 12.15 jioni ambapo watu wamekuwepo uwanjani tangu saa 8 mchana kama walivyotangaziwa.


Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilibrod Slaa akiwahutubia wanachi wa mji wa Kamaha na vitongoji vyake, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kukagua na kuimarisja uhai wa chama katika mikoa ya Shinyanga, Kigoma, Tabora na Singida, uliofanyika kwenye Uwanja wa CDT mjini Kahama jana. (Picha na Joseph Senga)
 
Mods piga life ban hii kurugenzi ya habari.

Angalia kwa makini uongo huu Dr.Slaa anawaaga watu lakini ukiwaangalia watu bado wamesimama wanasikiliza mkutano.

Dr.Slaa anahutubia watu kushoto watazamaji wapo kulia.

Chezea Zitto.
lakini usisahau ku-vote kwenye ile open poll ili umuokoe mmeo, aibu ya dhahiri inakuja
 
Yaani magamba wanaruka na kukanyagana wenyewe kwa wenyewe humu ndani.... Mara sio picha za kweli, mara sio kahama ... Ha ha ha ha ha ha h.. Pole yao akina Ritz na Simiyu Yetu!
Lazima mmalizie dozi siyo wazima nyie mlikuwa wachawi kwenda uwanjani usiku zitto atawapasua msamba haya sasa mmeenda kumwaibisha mzee wa watu.
 
Back
Top Bottom