Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,479
- 9,550
Wameumbuka
Kweli ccm wako pabaya..
Wameumbuka
Huu ndiyo mkutano wa Dkt. Slaa leo Kahama mjini ambao umeanza majira ya saa 12.15 jioni ambapo watu wamekuwepo uwanjani tangu saa 8 mchana kama walivyotangaziwa.
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilibrod Slaa akiwahutubia wanachi wa mji wa Kamaha na vitongoji vyake, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kukagua na kuimarisja uhai wa chama katika mikoa ya Shinyanga, Kigoma, Tabora na Singida, uliofanyika kwenye Uwanja wa CDT mjini Kahama jana. (Picha na Joseph Senga)
Katibu Kuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (chadema), Dk. Willibrod Slaa akiagana na wananchi wa mji wa Kahama baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara kwenye Uwanja wa CDT mjini huo jana, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kuimarisha uhai wa chama katika mikoa ya Shinyanga, Tabora, Kigoma na Singida. (Picha na Joseph Senga)
Inawezekana picha za magumashi,Wachagga hamna wanacho shindwa.
Inawezekana picha za magumashi,Wachagga hamna wanacho shindwa.
Inawezekana picha za magumashi,Wachagga hamna wanacho shindwa.
Picha zilizowekwa na 'Kurugenzi ya Habari'' ya CHADEMA zilipigwa mwaka 2011 tarehe 23 Nov. Just download those pics and look at the properties. Inaonyesha pia wamejaribu kuedit kwa kutumia photoshop, ila wameshindwa kuedit tarehe.
Hii ni AIBU kubwa. Sikutegemea kwamba itafika siku CHADEMA yetu ifanye yaleyale waliyokuwa wanafanya CCM mwaka 2010. I am interested kuona picha halisi za kilichotokea Kahama
watu wamepotosha ukweli na kuweka picha za mikutano ya zamani. kikuu mimi nilikuwepo mkutanoni na hakukuwa na watu kama ilivyozoeleka. tuache uongo makene.
watu wamepotosha ukweli na kuweka picha za mikutano ya zamani. kikuu mimi nilikuwepo mkutanoni na hakukuwa na watu kama ilivyozoeleka. tuache uongo makene.
Wameumbuka
watu wamepotosha ukweli na kuweka picha za mikutano ya zamani. kikuu mimi nilikuwepo mkutanoni na hakukuwa na watu kama ilivyozoeleka. tuache uongo makene.
Wivu wa kike! Povu la nini? Hutaki unaacha. Uende mahakani au ukishindwa ujinyonge!
Picha zilizowekwa na 'Kurugenzi ya Habari'' ya CHADEMA zilipigwa mwaka 2011 tarehe 23 Nov. Just download those pics and look at the properties. Inaonyesha pia wamejaribu kuedit kwa kutumia photoshop, ila wameshindwa kuedit tarehe.
Hii ni AIBU kubwa. Sikutegemea kwamba itafika siku CHADEMA yetu ifanye yaleyale waliyokuwa wanafanya CCM mwaka 2010. I am interested kuona picha halisi za kilichotokea Kahama
Hilo nalo ni nenoTutapata tu ukweli kwenye magazeti kesho!