DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,642
Picha imefanyiwa graphics hizo..
my dear sooth, uhai hauonyeshwi kwa umati kukusanyika,wapo watu wanaojaza mikutano yao kwa mbinu mbalimbali mwisho wa siku huumbuka kwenye lile SANDUKU LETU PENDWA!... Kwa mtizamo wangu, CUF wameonesha uhai, kwamba nao wapo. CUF wapo dsm tu au hata mikoani? Hiki ndo kitu cha kusubiri.
swali hilo waulize watu wa CUF! MIMI SI CUF ! binafsi sina probleam na CUF sababu hawa problem na waislam ... CDM ni janga! hawatakiwi kuingia madarakani kabisaa... until pale watakapoacha UDINI WAO
nishasema mimi sio CUF! au kwasababu ni muislam!... alafu hapo kwenye RED don't make your self look like a clown uwezo wa lipumba kwenye maswala ya uchumi ni wewe + mwenyekiti wako + katibu wako = at list mtafikia robo ya uwezo wake 1
Wakuu,
Nimeshuka hapa kituo cha Jangwani naelekea moja kwa moja mpaka kiwanjani, napishana na defender ikiwa na askari watatu...
Nitazidi kuwapa update
PICHA kwa hisani ya Blog ya Mjengwa:
![]()
![]()
![]()
![]()
penzi ni kikohozi huwezi kulificha nakuona una moyo wa kijani! Fools alwayz cant be fool in the colour of the same
krraaaaaaaaaaaapppppp
Wewe mbona povu linakutoka bure kwa hiyo Chadema hakuna waislam? Wewe naona unapambana na Uislam pambana na CCM Uislam ni dini utajipa ugonjwa wa moyo bure.
Hata muunde unde vipi umbea wenu wa kijinga Wakristo na Waislam hatujaanza kuishi pamoja leo tuna miaka mingi na familia zetu zinafaamiana, nyie ni mashetani ya wazi wazi tunawatambua. Wakristo na Waislam kwanza tunaheshimiana sana na tuna staha, nyie wala sio wahumini wa dini hizo sema mnajifanya tu. Lakini mmeshagundulika tafuteni mbinu nyingine hiyo imeshindwa.
dr wa nini?
Kawaulize CUF mie sio CUF...wewe si Chadema nijibu kwa nini nyie Chadema ampatani na Waislam.
Hiyo defender isikutishe kwa vile polisi hawawezi kuvuruga mkutano wa CUF kutokana na CUF na CCM kuwa katika ndoa kwa muda sasa. Serikali imetuma defender kuwalinda washikaji wao na si kuwavuruga. Hiyo ni janja ya kawaida. Nani hajitaki aivamie nyumba ndogo kwa magumi imuumbue kwa mke wake? Hao tumeishawazoea. CUF na polisi ni watoto wa baba na mama mmoja aitwaye Chama Cha Mauaji.
Hana jipya huyo anaona atumie sera ya udini. Tuwakatae kwa nguvu zetu zote watu hawa ni HATARI sana kwa mustakabali wa taifa letu badala ya kumwaga sera za chama analeta udini.kuna baadhi ya watu wanataka kuutumia uislamu vibaya, TUWAOGOPENI kama ukoma.Huyu ni Makamu Mwenyekiti wa CUF taifa, amewataka waislamu wote kujiunga na CUF, kwa vile CCM na CDM haviwataki.
Je, hajathibitisha madai ya siku nyingi kuwa CUF ni chama cha kidini?
CCM chini ya kikwete haina tena mambo ya udini lete ushahidi alafu hivi mkuu unandoto za Chadema kuja kukamata madaraka ya hii nchi...??!!