Mkutano wa CUF katika viwanja vya Jangwani

Mkutano wa CUF katika viwanja vya Jangwani

...Mtatilo anamaana gani kusema kama noma naiwe noma?...hii kauli na ile ya liwalo naliwe mbona zinafanana?...Pinda aliposema liwalo naliwe Ulimboka akatekwa kilichomkuta wote tunakumbuka...Sasa leo tena Matatilo naye anatoa kauli tata kama hii "kama noma naiwe noma",hapa kuna kitu kibaya bilasha kimaandaliwa...
 
Prof. Lipumba anasogea kwenye mic anacheka cheka kisha anaanza kwa kusema:

"Wanaumeeeeee!!! Wanawakeeeee!!!!! CCM kwisha kwisha ndembe ndembe kifo cha mende"
 
Dah... jamaa anatangaza udini wake waziwazi hapa
 
Ccm khanga moja ndembendembe- Lipumba
 
Lipumba jamaa mloo sana wa madaraka anamzungumzia mwangosi rip.
 
prof anasema ..maneno ya kiswahili full...sjui CCm kifo cha mende sijui nini..sijui kam Dr. slaa au mbowe naweza sema hivyo..

Hawa jamaa wapo too artificial...kuna mtu kakaribisha kundi wanalaodai kuwa si utambilisho wao.Na kuongeza chuki kasema hawatakiwi CCM wala CDM.
 
Huyu ni Makamu Mwenyekiti wa CUF taifa, amewataka waislamu wote kujiunga na CUF, kwa vile CCM na CDM haviwataki.

Je, hajathibitisha madai ya siku nyingi kuwa CUF ni chama cha kidini?
 
chezea Profesa weye, sio
sawa na Yule aliepata Phd ya kanisa kwa kutumia Certificate ya chuo cha
seminary, ukiwauliza Phd ya kanisa italisaidia vipi taifa badala ya
majibu yanatoka mapovu

Umeonaee hawa wapenzi wa cdm hapendi ukweli! wamejaa mfumo kristo tupu! ukiwasema tu, povu kibao!
 
Lipumba ''CCM kwisha! kwisha! kwisha! kwisha kabisaaaa nyang'a nyang'a, ndembe ndembe! Wamelala kifo cha mlalo wa mende!'' ndivyo Lipumba alivyoingia!!

Kifuatacho ni kumuombe D. Mwangosi kila mtu na imani yake
 
To hell narudsha kadi hapahapa jangwani nmeshndwa kuvumilia yatendekayo hapa
 
Kafu wanaona lipumba kama Mungu sijui siku akiamua kuja cdm jamaa labda watamsomea albadri
 
leo umesahau kunywa mbege.?

mkuuu nimetoka rombo jana nimekuja dar kwa shemeji aliye muoa dada yangu sijasahau mbege nimekuja na lita 10 iko nyumbani hapa nina lita 2
 
Back
Top Bottom