Mkutano wa CUF katika viwanja vya Jangwani

Mkutano wa CUF katika viwanja vya Jangwani



mimi sina chama sababu nimegoma kupelekwapelekwa na wanasiasa.... labda wewe mwenye akili za kushikiwa na wanasiasa ... wanaandaa maandamano ikitokea vurugu mwapigwa wao wapo majumbani mwao na family zao ! au umenibandika u CCM sababu namtetea kikwete! ...??? yeh! KIKWETE ni raisi mstaarabu sana haitapata kutokea kama yeye katika historia ya siasa za tanzania !! sijaona kiongozi wa upinzani mwenye kumzidi Dr. jakaya

dr wa nini?
 
umenena vyema sana mkuu, halafu utashangaa tunailaumu ccm wakati sisi wenyewe ndi tunao ukumbatia udini.
Mwisho wake ni maafa kwa taifa letu.
Mabadiliko yaanzie kwenye nafsi zetu wenyewe, hata kikishushwa chama kutoka mbinguni hakita ibadilisha nchi hii kama sisi wenyewe tusipoamua kubadilika kuanzia ndani ya nafsi zetu.

kuanzia leo anaye leta udini hapa ban tu!
 
Moto wa CHADEMA haufikiwi hata mume na mke waungane AKA CCM na CUF
 
CUF_2.jpg CUFFF.jpg CUF_0.jpg CUF_3.jpg CUF_4.jpg CUF_6.jpg

Kwa hisani ya Mjengwa blog.
 

Attachments

  • CUF_1.jpg
    CUF_1.jpg
    66.8 KB · Views: 40
Propaganda nyingine ni za kitoto kweli kweli. Hivi unaweza kulinganisha CUF ambacho ni nyumba ndogo ya CCM na CDM chama cha watanzania? Kawadanganye wajinga na wasio na akili.
 


habari ndiyo hiyo! muslim & proud ..

Hata muunde unde vipi umbea wenu wa kijinga Wakristo na Waislam hatujaanza kuishi pamoja leo tuna miaka mingi na familia zetu zinafaamiana, nyie ni mashetani ya wazi wazi tunawatambua. Wakristo na Waislam kwanza tunaheshimiana sana na tuna staha, nyie wala sio wahumini wa dini hizo sema mnajifanya tu. Lakini mmeshagundulika tafuteni mbinu nyingine hiyo imeshindwa.
 
uko sahihi kwani wewe ni lazima uwaunge boko haram al shababu wa zanzibar wanaoungwa mkono na cuf wanapochoma makanisa.

mwanangu unazingua achana naye huyo mdini mpe makavu yeye kama yeye c o cuf wala imani ya mwingine muislamu yeyotd hawezi kuvumilia maana dini ni bange hata kama ulosema litakuwa kweli lakin hayo hap c o
 


nishasema mimi sio CUF! au kwasababu ni muislam!... alafu hapo kwenye RED don't make your self look like a clown uwezo wa lipumba kwenye maswala ya uchumi ni wewe + mwenyekiti wako + katibu wako = at list mtafikia robo ya uwezo wake 1

Ulilosema labda lina chembe chembe za ukweli kinadharia zaidi. ila nikukumbushe kuwa uchumi wake ni wa nadharia. alikuwa mshauri wa Mwinyi hamna tuliloliona. huo ni uchumi wa kihaya au kisukuma. Vyeti kibao ila no outcome au Ng'ombe kibao halafu unalala njaa.
 
... Kwa mtizamo wangu, CUF wameonesha uhai, kwamba nao wapo. CUF wapo dsm tu au hata mikoani? Hiki ndo kitu cha kusubiri.
 


swali hilo waulize watu wa CUF! MIMI SI CUF ! binafsi sina probleam na CUF sababu hawa problem na waislam ... CDM ni janga! hawatakiwi kuingia madarakani kabisaa... until pale watakapoacha UDINI WAO
krraaaaaaaaaaaapppppp
 
kwa picha jinsi nilivyoziona watu walikuwa wachache kama wabisha tafuta picha iliyochukuliwa vertically ndio utaamini nisemacho
 


mimi sina chama sababu nimegoma kupelekwapelekwa na wanasiasa.... labda wewe mwenye akili za kushikiwa na wanasiasa ... wanaandaa maandamano ikitokea vurugu mwapigwa wao wapo majumbani mwao na family zao ! au umenibandika u CCM sababu namtetea kikwete! ...??? yeh! KIKWETE ni raisi mstaarabu sana haitapata kutokea kama yeye katika historia ya siasa za tanzania !! sijaona kiongozi wa upinzani mwenye kumzidi Dr. jakaya

penzi ni kikohozi huwezi kulificha nakuona una moyo wa kijani! Fools alwayz cant be fool in the colour of the same
 
Picha ndio maana zikapigwa kwa landscape kama wangepiga vertically hapo ungejionea wingi wa watu pia ulinganishe na ile ya CDM
 
Jamani mbona hatutaki kukubaliana na ukweli. Hizo picha kama ni kweli basi CUF wamejitahidi kuwavutia watu. Nilikuwa nadhani nitashuhudia vitu vyeupe tupu vimepamba picha hizo lakini naona siyo!
 
Nadhani hadi mashabiki wa mume(ccm) wamefika kumsapoti mke wao.
 
Back
Top Bottom