Mkutano wa CUF katika viwanja vya Jangwani

Mkutano wa CUF katika viwanja vya Jangwani

Wa kuiua ni CUF na wala si CDM.tayari CUF wamejiweka wasipoaminika....CUF wanajichafua kirahisi sana kwa kutumia uchafu wa CDM.Ngumu sana CDM kukaa na uchafu walioutupa wao.CUF ni walaini sana kifikra.Leo tuu wamethibisha yote yasemwayo juu yao kirahisi sana.Si salama sana kuwa na mshirika kama huyu.

Ni kuacha vita viendelee ila viwe vya kistaarabu kwani pia ni wapinzi wa CDM kuanzia sasa ktk chama kikuu cha upinzania,baadaye wanaweza kuwa mpinzani na chama tawala.CUF wakijikaza CCM inaanguka na hivyo CUF wanaweza wakaambulia upinzania rasmi na hivyo kujenga misingi ya kuja kuwa chama tawala.CCM wapo katika deadlock.

CUF tuu hawajaona mbali.CCM imefikia mahali "ama chama kiwe mzigo kwa mgombea ama mgombea awe mzigo kwa chama".Bahati waliyopata na JK kuwa Chama kinaweza kuwa mzigo ila mgombea kuwa maarufu sana kiasi cha kufunika chama hakuna tena.makundi yatakiua.CUF wangeweza jijenga na kufanya kwa maslahi yake na si ya CCM, CCM ikianguka wangweza gawana wanachama na hivyo kujijenga upya.Wamechukua njia ya kufa na CCM na si ya kuibuka na CDM

Naona umeamua kujifariji na kujiliwaza naona una msongo wa mawazo unapanga kama vile unailekeza familia yako ifuate maagizo yako baba mwenye nyumba...ha haa haa JF kuna vituko.
 
Nilivizia niangalie kwenye taarifa ya habari ya channel ten saa moja na star tv saa mbili usiku lakini sikuona kitu; sijui waandishi waliogopa kumwangosiwa au vipi?
 
CUF hawana uwezo wa kuchafua CDM ila kujichafua katika mifereji ya sewage ya CDM.CUF haina intellectuals, na hawana integrity.
Nitapenda mod iwepo thread kuulizia vipi CUF wanakuja na Mchungaji feki

Nashindwa kuamini kama porojo kama hizi zipo kwenye akili ya mtu mzima aliyehitimu walau primary level education! Au umeyatumia tu hayo maneno bila kujua maana yake? Kama hujui uliza,ukishindwa kabisa tafuta hata dictionary usome!
 
Naona umeamua kujifariji na kujiliwaza naona una msongo wa mawazo unapanga kama vile unailekeza familia yako ifuate maagizo yako baba mwenye nyumba...ha haa haa JF kuna vituko.

umemaliza?
 
Nashindwa kuamini kama porojo kama hizi zipo kwenye akili ya mtu mzima aliyehitimu walau primary level education! Au umeyatumia tu hayo maneno bila kujua maana yake? Kama hujui uliza,ukishindwa kabisa tafuta hata dictionary usome!

Soma haya hapa chini au content ya thread, halafu uniambie kama kuna intellectual hapo.Mtakimbia sana kubishana na externalities, zaidi ya core issues.Ulizani nakuambia vyeti ili ukimbilie vya prof.?

Wakuu,

Nimeshuka hapa kituo cha Jangwani naelekea moja kwa moja mpaka kiwanjani, napishana na defender ikiwa na askari watatu...

Nitazidi kuwapa update
quote_icon.png
By gwambali
Kuna mtu anazungumza sasa hivi anasema zamani CUF ilikuwa na kaulimbiu ya 'Jino kwa jino' na sasa ni Mchaka Mchaka hadi 2015 Prof. Lipumba atakapoingia Ikulu.



quote_icon.png
By gwambali
Anasema CDM kwa kushirikiana na CCM wametumia vyombo vya habari kuwa CUF ni CCM B



quote_icon.png
By gwambali
Mzungumzaji anasema vijana wa CUF wako tayari kwa lolote na wakati wowote



quote_icon.png
By gwambali
Anasema wamejipanda kuondoa CCM madarakani na wenzao wa vidole Viwili ambao majuzi wametuhumiwa kula rushwa bungeni



quote_icon.png
By gwambali
Kambaya ndie anazungumza kwa sasa. Anasema CUF ndio waanzilishi wa viwanja wa Jangwani. Anadai CHADEMA wamepageuza kwa kupaita Chadema Square



quote_icon.png
By gwambali
Anadai kuwa CHADEMA ilimfuata Kikwete 2005 agombee kupitia CHADEMA endapo asingepitishwa na CCM



quote_icon.png
By Mtego wa Noti
Sasa CUF wako jangwani na wanawachana wau wa CDM ati hawana hazina ya viongozi kwa hoja kuwa kila mwaka wa uchaguzi ukifika wanaenda kuomba watu wa CCM wagombee kama ilivykuwa kwenye ishu ya kumuomba JK agombee urais kama asingechaguliwa ndani ya CCM.

Pia wanasema CDM wao hawana hazina ya viongozi maana Mwenyekiti wao hana elimu zaidi ya kujua elimu ya biashara ya kupiga disko.

Wanasema CDM ni sawa na CUF maana hata kada tajiri wa CCM anawasaidia CDM badala ya CUF.



quote_icon.png
By gwambali
Hajj Duni anawapa pole watanzania kwa mauji ya Mwangosi, anasema hivyo ni vita vya muda mrefu.

Anaendelea kwa kusema hakuanza kufa muandishi huyo bali walianza kufa CUF kwa makundi.



quote_icon.png
By mtamanyali
Wanaimba wimbo wao unasema "CCM ikifa, mimi siwezi kulia; nitaitupa Kagera iwe chakula cha mamba"



quote_icon.png
By MKUU ROMBO
Prof. Lipumba anasogea kwenye mic anacheka cheka kisha anaanza kwa kusema:

"Wanaumeeeeee!!! Wanawakeeeee!!!!! CCM kwisha kwisha ndembe ndembe kifo cha mende"



quote_icon.png
By Msendekwa
Huyu ni Makamu Mwenyekiti wa CUF taifa, amewataka waislamu wote kujiunga na CUF, kwa vile CCM na CDM haviwataki.

Je, hajathibitisha madai ya siku nyingi kuwa CUF ni chama cha kidini?
 
sijazungumzia wa kuua nini wala kufufua nini

Nimesema kafu na cdm wamalize vita yao.............

I hope my statement is clearer now

nilikuelewa mkuu, nami nilimaanisha "kuua vita"nadhani ndio "kuua" uliyomanisha.
 
Nginja nginja hadi mtoni, naikumbuka miaka ileeee. Siku hizi wanaimba chai ngumu zaidi ya zege, mie sasa siwaelewi kabisaa.
 
Ritz said:
Kawaulize CUF mie sio
CUF...wewe si Chadema
nijibu kwa nini nyie
Chadema ampatani na
Waislam.


Kuchukua+chakula.JPG


Ulikuwa unamaana Gani kwani RITZ?
 
quote_icon.png
By njiwa

nithibitishe mara ngapi.. hebu tafuta thread aliyo anzisha mzee mtei maoni yake kuhusu tume ya kukusanya maoni ya katiba mpya
sasa mkuu mzee mteh ndio umejeneralise kuwa cdm indaendesha vita juu ya uisiamu sio vyema vizazi vijavyo vitatucheka mkuu tuangalie wapi tumejikwaa na kujipukuta kwa mikono misafi mkuu, angalia redia furani inachokitangaza sitaki kuitaja. Tujisahishe mkuu

Kama viongozi wako (sorry kama we si CDM) walikaa kimya na hawakukemea kauli ya Mtei ,unadhani tafsiri yake ni nini,na haswa ukizingatia position ya Mtei katika chama. Lazima tuamini kuwa huo ndio msimamo wa chama. Na kama ndio,utakitenganishaje chama hiki (CDM) na mrengo wa dini moja(ukristo). Kuna mtu humu kasema Mtei hana cheo katika chama,labda ni mgeni tu au haijui Chadema vizuri.
Na hii ndio advantage CCM watakayoichukua kuendelea kubaki madakani, mageuzi ama mabadiliko yatabakia kuwa ndoto za Alinacha.
 



kama viongozi wako (sorry kama we si cdm) walikaa kimya na hawakukemea kauli ya mtei ,unadhani tafsiri yake ni nini,na haswa ukizingatia position ya mtei katika chama. Lazima tuamini kuwa huo ndio msimamo wa chama. Na kama ndio,utakitenganishaje chama hiki (cdm) na mrengo wa dini moja(ukristo). Kuna mtu humu kasema mtei hana cheo katika chama,labda ni mgeni tu au haijui chadema vizuri.
Na hii ndio advantage ccm watakayoichukua kuendelea kubaki madakani, mageuzi ama mabadiliko yatabakia kuwa ndoto za alinacha.

watch us
 
chadema na caf unganeni kuikomboa watanzania
 
Cuf mkitaka kuichafua cdm jichafue kwanza nyinyi M4C NI MOTO MWINGINE!
 
MChumi anangurumisha
Facts,Huwezi sikia facts kama hizi wa wacheza Disco na wakware wa wake
za watu. Msaidieni kucopy points Padri zitamsaidia akiwa kaskazin kwenye
mkutano yake
Hautaki ukweli ukiwaambia bosi wao dj inakuwa nongwa watanuuna unaweza hata kupigwa ban!
 
Back
Top Bottom