Mkutano wa CUF katika viwanja vya Jangwani

Mkutano wa CUF katika viwanja vya Jangwani

@Ritz, ni kweli ulikuwa umesimama nyuma ya mtatiro ndio maana ukawa hujibu kitu hadi sasa mkutano umeisha ndio umeibuka? pole kwa mkutano mkuu

hah ha ha ha ha mbavu zangu.
 


hehehe!!! hivi wewe ..Prof! ! sio slaa mwenye certificate za dini .. tena mtu kama wewe ndio huwezi kabisa kusimama naye


Kweli unafikiria kwa masaburi......huyo prof na wewe mkapime akili.Hata bibi yangu hakuwahi amini kuwa serikali inaweza hata kufikiri awapa watu hela bure, halafu ukategemea taifa lenye afya..huwezi mpatia mtu samaki ukategemea kuwa unamkomboa ,zaidi ya kumfanya mtu zaidi..Ndio maana hukuelewa kwanini wa Libya walimtoa nduki ghaddafi,,wabongo mlibaki mkilalala n aakili zetu za kuazima kwa wchambuzi wa TBC.Walifanya akina skofu kule arusha,kilichobaki ni kuomba hisani ya ccm.Uchaguzi wa Arumeru waliswekwa ndani kwa kuingia kambi tofauti.

Waswahili mnapenda sana kupewa hela bure, ndio mnaoharibu simba na yanga mkitaka mgao , ndio mnaopenda lima korosho na karafuu kwa vile hata mkiach kama magugu bado mtavuna.

Sasa hiyo CV is a pieace of s.h.i.t .Hiyo inawafaa nyinyi kwani ndio anaitumia kuwatawala.

BY THE WAY MCHUNGAJI FEKI MMEMPATA WAPI?MLIKUWA MNAMPA 5 KWA KUMALIZA KAZI KWA UFASAHA.HAMJUI JF KUNA WATU SMART SANA.KWA MWENDO HUU CUF ITAKUWA KICHEKSHO KWA MIAKA MINGI SANA.TUNAHITAHITAJI VITU HASILIA NA VINAVYOTEKELEEZEKA.
 


so mimi kusema nachukia cdm ! Nadhalilisha waislam! Wawapi..weye...??!

Kweli uwezo wako wa kufikiri ni mdogo.
Swala hapa siyo kuchukia CDM ila ni kauli yako kwamba CDM imetangaza "vita" dhidi ya Uislam, kitu ambacho umshindwa kuthibitisha.
 




mimi sina chama! ila nachukia sana chadema "from flesh of my flesh " sababu wametangaza vita na imani yangu "islam" waziwazi
Hiyo imani ya kuzimu na itakupeleka huko shauri zako
 
Haijawahi kutokea katika historia ya karibuni,umati huu.mwenye kuweza alete picha kutoka mjengwablog
 
Sasa hiyo CV is a pieace of s.h.i.t .Hiyo inawafaa nyinyi kwani ndio anaitumia kuwatawala.

BY THE WAY MCHUNGAJI FEKI MMEMPATA WAPI?MLIKUWA MNAMPA 5 KWA KUMALIZA KAZI KWA UFASAHA.HAMJUI JF KUNA WATU SMART SANA.KWA MWENDO HUU CUF ITAKUWA KICHEKSHO KWA MIAKA MINGI SANA.TUNAHITAHITAJI VITU HASILIA NA VINAVYOTEKELEEZEKA.

nishasema mimi sio CUF! au kwasababu ni muislam!... alafu hapo kwenye RED don't make your self look like a clown uwezo wa lipumba kwenye maswala ya uchumi ni wewe + mwenyekiti wako + katibu wako = at list mtafikia robo ya uwezo wake 1
 
huu udini ndio utakao angamiza taifa letu.
Kila siku unakua, tunajidanganya kwa kutoa majibu mepesi eti chama fulani ndio kina tumia udini kutugawa wakati wenyewe tunaupenda na kuukumbatia kwa nguvu zote.
Tusipo yabadilisha yaliyo ndani ya vifua vyetu tutaendelea kumtafuta mchawi mpaka kiama.
 
Kweli uwezo wako wa kufikiri ni mdogo.
Swala hapa siyo kuchukia CDM ila ni kauli yako kwamba CDM imetangaza "vita" dhidi ya Uislam, kitu ambacho umshindwa kuthibitisha.

nithibitishe mara ngapi.. hebu tafuta thread aliyo anzisha mzee mtei maoni yake kuhusu tume ya kukusanya maoni ya katiba mpya
 
Nimeona nimpongeze profesa Lipumba kwa hotuba yake japo mimi itikadi yangu si CUF lakini nimpe tahadhari kwa wasaidizi wake kuiponda CHADEMA hakutaisaidia CUF bali kuididimiza namshauri awakanye wasaidizi na wanachama wa CUF waendelee kunadi sera na si kuiponda CHADEMA. Kwani CUF bado hawajifunzi au kusoma alama za nyakati. Ukiifananisha CHADEMA na CCM ni hakika hakuna atakayekuelewa labda uwe na tatizo la kufikiri.

Nimemsifu Lipumba kwa kujikita katika sera na mipango ya CUF huku akikwepa kutoa vijembe dhidi ya CHADEMA na akielekeza mashambulizi kwa CCM waliotufikisha hapa.

Ombi langu kwa viongozi wa CHADEMA wasijibu mapigo kwa baadhi ya viongozi walioibeza CHADEMA ili kuonyesha ukomavu na uvumilivu wa kisiasa. Kuna wale wanaofikiri kuwa na elimu ya kati huwezi kuongoza nchi au chama wanakosea sana. Rais wa Afrika kusini licha ya kuongoza nchi kubwa lakini historia yake kuhusu elimu yake itafute popote kama utaipata.Hivyo kigezo cha uprofesa wanachofikiri angekuwa nacho Mbowe wanakosea sana.
 
hivi hao cuf hawana wahombea wengine? Au katiba yao inasema maalim seif na lipumba ndo wagombea wa kudumu wa urais? Yaani lipumba agombee tena urais 2015? Kwa lugha nyingine kwa mara ya 5, kwa miaka 20 mfululizo?

Loh hafai....

Nyinyi si mnampiga vita Zito asigombee ili Dr Slaa nae awe mgombea wa kudumu. Kama mnaubavu mwambieni dr asigombee tuone. Maana hii nayo itakuwa mara ya pili mfululizo na MIAKA 1O lol!
 
hivi ni kwanini kafu na waktristu hawapatani??

Kawaulize CUF mie sio CUF...wewe si Chadema nijibu kwa nini nyie Chadema ampatani na Waislam.

Samahani naomba tafiti zenu za kuthibitisha propaganda mnazozikuza humu jf kama si kwamba mmetumwa na mtu fulani, na tayari tumeshawashutukia kwani hata wachangiaji na washereheshaji wa chuki za kidini ni nyinyi tu walewale kila mahali. Lazima kuna malengo fulani ya mtu mnatekeleza, lakini kumbuka jambo moja kwamba watanzania tuko pamoja sana sana kuliko mnavyofikiria na sio wale wa wakati wa Kinjekitile (japo nao pia walikataa) tunawaangalia tu mnavyofanya kazi fulani mliotumwa na makaburu weusi. Lakini tambua kuwa kuwa kamwe hamtashinda, kwa sababu haki siku zote ushinda tena kwa haraka kwa hiyo anguko lenu litakuwa kubwa na mtajionea aibu sana bora mkabadilika mapema.
 
Hiyo defender isikutishe kwa vile polisi hawawezi kuvuruga mkutano wa CUF kutokana na CUF na CCM kuwa katika ndoa kwa muda sasa. Serikali imetuma defender kuwalinda washikaji wao na si kuwavuruga. Hiyo ni janja ya kawaida. Nani hajitaki aivamie nyumba ndogo kwa magumi imuumbue kwa mke wake? Hao tumeishawazoea. CUF na polisi ni watoto wa baba na mama mmoja aitwaye Chama Cha Mauaji.
 


nithibitishe mara ngapi.. hebu tafuta thread aliyo anzisha mzee mtei maoni yake kuhusu tume ya kukusanya maoni ya katiba mpya

Kweli umethibitisha kwamba uwezo wako wa kufikiri na kutafakari ni hafifu.
Mzee Mtei ana cheo gani cha kiuongozi kwa sasa ndani ya CDM?
 


so mimi kusema nachukia cdm ! Nadhalilisha waislam! Wawapi..weye...??!

Bado wewe ni mzembe sana kufikiri na ndio shida...wafuasi wa CDM waliokufa wengi ni waislam.Sasa wapi hujui kuwa unawadhalilisha? hii ndio kawaida ya CUF hata wao wamekufa in vain.Hata leo huyo prof wako wa ukweli hajawakumbuka.ndio maana sipendi sana waislam feki kama wewe kwani ndio janga kwa Uislam na wasio waislam.
 
Back
Top Bottom