Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Ya CCM hawakurusha?Acha kujitia upofu kisa chuki za kisiasa!!Wewe haujipendekezi kwa Jamiiforums kwasababu wanarusha unachokipenda?
Ya CCM hawakurusha?Acha kujitia upofu kisa chuki za kisiasa!!Wewe haujipendekezi kwa Jamiiforums kwasababu wanarusha unachokipenda?
Unamchukia bure wakati unajua ukweli halisi kuwa ulitumia CHETI cha dada yako kupata ajira. Shukuru hata ulipata hela ya kununua smartphone na kuingia JF.
Tukutane October ndugu. Nitakukumbusha hapo Magu wenu anaomba msaada wa vyombo vya ulinzi na usalama huku nguvu ya umma imeshasimama na Lissu alafu Mabeyo na Sirro wanachunguliwa tu na wanamaji wa kimarekani endapo wataingiliaMitaa gani ya Dar unazungumzia Ndugu yangu. Lissu akipata asilimia 10 ya kura nahama nchi, hata USA Marines wasimsmie uchaguzi na kuhesabu plus chadema huyo Lissu hawezi kupata asilimia 10 ya kura..mark my words..
Kwahiyo wewe kwa chuki yako juu yake ndo unalo la maana sana?Acha KUJIBARAGUZA unanifahamu. Kama huna la maana la kuandika kaa kimya badala ya KUJIBARAGUZA kwa kuandika UONGO.
Achana nao hawa. Yanayowatokea hawaamini na Baba yao. Walitegemea uchaguzi huu washindane na kina Augustino Mrema, Prof Lipumba na John Cheyo kumbe Mungu ana mapenzi na Tanzania. Sasa wako na Lissu hawaamini, wanatamani October isifike huku wazungu nao wameshaweka darubini kwa lolote watakalofanyaAcha KUJIBARAGUZA unanifahamu. Kama huna la maana la kuandika kaa kimya badala ya KUJIBARAGUZA kwa kuandika UONGO.
Nini huelewi wewe!Kwani chadema wamekatazwa kuvialika vyombo kuonesha live mkutano wao?
Kwahiyo wewe kwa chuki yako juu yake ndo unalo la maana sana ?
Umemaliza Mkuu. Ubarikiwe sana sana sana.Hivyo vyombo vinavyo ripoti mikutano ya CCM havifanyi hivyo kwa mapenzi yao, wanatangaza kwa sababu wanamuogopa yule jamaa, na vile vile hawatangazi mikutano ya Chadema sio kwa mapenzi yao, bali sababu ni ile ile wanamuogopa yule jamaa.
Kwa kifupi CCM wanalazimishwa kupendwa kwa sababu wanajua vizuri hawapendwi.
Mpuuzi kabisa, sijawahi ona mhaya mjinga Kama wewe. Itakuwa Mgogo wa jimboni kwa Ndugai!!Kwani chadema wamekatazwa kuvialika vyombo kuonesha live mkutano wao?
Achana nao hawa. Yanayowatokea hawaamini na Baba yao. Walitegemea uchaguzi huu washindane na kila Augustino Mrema, Prof Lipumba na John Cheyo kumbe Mungu ana mapenzi na Tanzania. Sasa wako na Lissu hawaamini, wanatamani October isifike huku wazungu waneshawekea darubini kwa lolote watakalofanya
Kwa hiyo wewe chombo cha habari unakipenda pale kitakapo rusha za ccm na chadema?Ya CCM hawakurusha?Acha kujitia upofu kisa chuki za kisiasa!!
Very stupid comment...you are thinking of wanamaji wa kimarekani kuja kusaidia..Mimi nilichombeza hiyo ya USA Marines Kama mtego....and it is true that is what you are thinking...sijui Kama unajua nguvu ya umma maana yake...do you think Chadema wanna nguvu ya umma?Tukutane October ndugu. Nitakukumbusha hapo Magu wenu anaomba msaada wa vyombo vya ulinzi na usalama huku nguvu ya umma imeshasimama na Lissu alafu Mabeyo na Sirro wanachunguliwa tu na wanamaji wa kimarekani endapo wataingilia
Tukutane October ndugu. Nitakukumbusha hapo Magu wenu anaomba msaada wa vyombo vya ulinzi na usalama huku nguvu ya umma imeshasimama na Lissu alafu Mabeyo na Sirro wanachunguliwa tu na wanamaji wa kimarekani endapo wataingilia
Yes! Ninajua na nina uhakika kuwa Chadema wana nguvu ya umma. Chadema wana support kubwa ya wananchi ambao wakiwaambia nendeni mkatupigie kura watapiga, wakiwaambia lindeni kura zenu watazilinda.Very stupid comment...you are thinking of wanamaji wa kimarekani kuja kusaidia..Mimi nilichombeza hiyo ya USA Marines Kama mtego....and it is true that is what you are thinking...sijui Kama unajua nguvu ya umma maana yake...do you think Chadema wanna nguvu ya umma?
Duh...Kila la heri..Yes! Ninajua na nina uhakika kuwa Chadema wana nguvu ya umma. Chadema wana support kubwa ya wananchi ambao wakiwaambia nendeni mkatupigie kura watapiga, wakiwaambia lindeni kura zenu watazilinda.
Najua mmepanga kufanya hujuma hapo October 2020 Ndo mana nawaambia sio tu nguvu ya umma itawatoa hata wafadhili wetu wamejiandaa kufuatilia hal ya kisiasa ya hapa Tanzania mwaka huu. Nadhani utakuwa umeona kitu kwenye matamko yao hasa kwenye kumpa travel ban huyo mjinga wenu makonda. Mengi yatafuata mkiendelea na ujinga wenu mwaka huu.
Tukutane October 2020. Kila kitu kimepangwa vizuri mwaka huu. Watu wametegwa kweli na watategeka. Njia ni nyeupe sana kwa Lissu mwaka huu.Duh...Kila la heri.
Kila mtu atavuna anachopanda.Hivi ITV na Azam wameogopa hata kulisogelea eneo la mkutano, kweli nchi hii inahitaji ukombozi.
Tumefika pabaya mno kama taifa, taifa la watu waoga.
Achana naye huyo homeboyz wa Jiwe! Nani asejua Pascal Njaa ni mkereketwa wa Chama cha NZI WA KIJANI?Hata Pascal Mayalla na Star tv hawajaripoti?