Faru Tobbi
Senior Member
- Oct 29, 2018
- 184
- 187
Imepita miaka kadhaa wakati wa awamu ya 5 ya JMT iliyoongozwa na Hatari Magufuli ambapo Hayati alikuwa amedhamiria kumuondosha kwenye nafasi Mkurugenzi wa Manispaa ya Kahama kwa matumizi mabaya ya mali za umma kwa kujinunulia gari kwa fedha ya umma nje ya utaratibu wa serikali.
Kwa mara nyingine Leo mbele ya katibu wa itikadi, na uenezi Taifa wa CCM ndg. Makonda alipokuwa akisikiliza kero za wananchi waishio manispaa ya Kahama, wamemlalamikia mkurugenzi wa manispaa ndg.
Anderson kuwa ni chanzo kikubwa cha migogoro wilayani humo na baada ya makonda kumsikiliza mkurugenzi huyo kahaidi kuchukua hatuna Kwa nafasi aliyokuwa nayo.
Kwa mara nyingine Leo mbele ya katibu wa itikadi, na uenezi Taifa wa CCM ndg. Makonda alipokuwa akisikiliza kero za wananchi waishio manispaa ya Kahama, wamemlalamikia mkurugenzi wa manispaa ndg.
Anderson kuwa ni chanzo kikubwa cha migogoro wilayani humo na baada ya makonda kumsikiliza mkurugenzi huyo kahaidi kuchukua hatuna Kwa nafasi aliyokuwa nayo.