Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,232
- 6,479
Kiburi cha shibe ya madaraka ni kibaya mno.
DED wa Halmashauri fulani mkoani Mara amemjibu hovyohovyo kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa Abdalah Shaibu.
Hakutaka kutoa taarifa sahihi za miradi na alimjibu hovyo hadi watu waliona aibu.
Bwana Shaibu amesema Mwenge ni wa Rais wa JMT na amefikisha taarifa za DED huyo kwa Rais.
DED mwenyewe ni wa Halmashauri ya wilaya ya Rorya, Abdul Mtaka.
DED wa Halmashauri fulani mkoani Mara amemjibu hovyohovyo kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa Abdalah Shaibu.
Hakutaka kutoa taarifa sahihi za miradi na alimjibu hovyo hadi watu waliona aibu.
Bwana Shaibu amesema Mwenge ni wa Rais wa JMT na amefikisha taarifa za DED huyo kwa Rais.
DED mwenyewe ni wa Halmashauri ya wilaya ya Rorya, Abdul Mtaka.