Hivi bado Mkuu wa wilaya ya Rorya yuko ofisini baada ya kuudharau Mwenge wa Uhuru?

saigilomagema

JF-Expert Member
Jun 5, 2015
4,173
6,158
SAMAHANINI SANA WANA JF HASA MKUU WA WILAYA YA RORYA, NILIMAANISHA MKURUGENZI MTENDAJI WA WILAYA YA RORYA MOKANI MARA NA SI MKUU WA WILAYA KM NILIVYOANDIKA AWALI, HATA HIVYO NIMESHINDWA KU-EDIT HEADING


Jana ktk taarifa ya habari ya jioni Channel Ten kiongozi wa mwenge wa uhuru kitaifa alilalamika kuwa mkurugenzi mtendaji wa wilaya ya Rorya alionesha dharau kwa mwenge wa uhuru, hakutaka kutoa ushirikiano wowote ikiwa ni pamoja na kukata kutoa documents kuhusu miradi mbalimbali iliyoko ktkt wilaya hiyo ya Rorya. Tangu nikiwa shule ya msingi miaka ya 80 mwanzoni sijawahi kusikia jambo km hili. Tulikuwa tunaamka alfajiri saa 11 km ndio muda mwenge unapita ktkt eneo letu. Navyojua mwenge wa uhuru ni kitu kinachoheshimiwa sana ktk nchi yangu ninayoifahamu.

Kiongozi wa mwenge wa uhuru ni mwakilishi wa Rais wa Nchi na mwaka huu mwenge alikabidhiwa na Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mkoani Mtwara. Hivi mkurugenzi wa wilaya ni nyau wa aina gani kuudharau? Kwa maana nyingine amemdharau Rais wa jamhuri ya muungano pamoja na waziri mkuu. Mwenge wa uhuru unatumika kuunganisha nchi yetu, unapelekea ujumbe wa kitaifa ktk maeneo yote ya nchi yetu, unamulika ufisadi wa aina yoyote ktkt miradi yetu, nyau km mkurugenzi wa wilaya amepata wapi ujasiri wa kuudharau? Bado hajakamatwa na kuwekwa ndani?, bila shaka huyu siyo raia wa nchi hii. Hivi siku hizi vetting zinafanyikaje, huyu bwana amepataje nafasi ya ukurugenzi wa wilaya? Huyu siyo aondolewe tu bali afanyiwe uchunguzi wa kutosha. Lazima tuwe wazalendo kwa nchi yetu
 
Jana ktk taarifa ya habari ya jioni Channel Ten kiongozi wa mwenge wa uhuru kitaifa alilalamika kuwa mkuu wa wilaya ya Rorya alionesha dharau kwa mwenge wa uhuru, hakutaka kutoa ushirikiano wowote ikiwa ni pamoja na kukata kutoa documents kuhusu miradi mbalimbali iliyoko ktkt wilaya hiyo ya Rorya. Tangu nikiwa shule ya msingi miaka ya 80 mwanzoni sijawahi kusikia jambo km hili. Tulikuwa tunaamka alfajiri saa 11 km ndio muda mwenge unapita ktkt eneo letu. Navyojua mwenge wa uhuru ni kitu kinachoheshimiwa sana ktk nchi yangu ninayoifahamu.

Kiongozi wa mwenge wa uhuru ni mwakilishi wa Rais wa Nchi na mwaka huu mwenge alikabidhiwa na Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mkoani Mtwara. Hivi mkuu wa wilaya ni nyau wa aina gani kuudharau? Kwa maana nyingine amemdharau Rais wa jamhuri ya muungano pamoja na waziri mkuu. Mwenge wa uhuru unatumika kuunganisha nchi yetu, unapelekea ujumbe wa kitaifa ktk maeneo yote ya nchi yetu, unamulika ufisadi wa aina yoyote ktkt miradi yetu, nyau km mkuu wa wilaya amepata wapi ujasiri wa kuudharau? Bado hajakamatwa na kuwekwa ndani?, bila shaka huyu siyo raia wa nchi hii. Hivi siku hizi vetting zinafanyikaje, huyu bwana amepataje nafasi ya ukuu wa wilaya? Huyu siyo aondolewe tu bali afanyiwe uchunguzi wa kutosha. Lazima tuwe wazalendo kwa nchi yetu
Punguza mihemko na ukurupukaji
 
Jana ktk taarifa ya habari ya jioni Channel Ten kiongozi wa mwenge wa uhuru kitaifa alilalamika kuwa mkuu wa wilaya ya Rorya alionesha dharau kwa mwenge wa uhuru, hakutaka kutoa ushirikiano wowote ikiwa ni pamoja na kukata kutoa documents kuhusu miradi mbalimbali iliyoko ktkt wilaya hiyo ya Rorya. Tangu nikiwa shule ya msingi miaka ya 80 mwanzoni sijawahi kusikia jambo km hili. Tulikuwa tunaamka alfajiri saa 11 km ndio muda mwenge unapita ktkt eneo letu. Navyojua mwenge wa uhuru ni kitu kinachoheshimiwa sana ktk nchi yangu ninayoifahamu.

Kiongozi wa mwenge wa uhuru ni mwakilishi wa Rais wa Nchi na mwaka huu mwenge alikabidhiwa na Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mkoani Mtwara. Hivi mkuu wa wilaya ni nyau wa aina gani kuudharau? Kwa maana nyingine amemdharau Rais wa jamhuri ya muungano pamoja na waziri mkuu. Mwenge wa uhuru unatumika kuunganisha nchi yetu, unapelekea ujumbe wa kitaifa ktk maeneo yote ya nchi yetu, unamulika ufisadi wa aina yoyote ktkt miradi yetu, nyau km mkuu wa wilaya amepata wapi ujasiri wa kuudharau? Bado hajakamatwa na kuwekwa ndani?, bila shaka huyu siyo raia wa nchi hii. Hivi siku hizi vetting zinafanyikaje, huyu bwana amepataje nafasi ya ukuu wa wilaya? Huyu siyo aondolewe tu bali afanyiwe uchunguzi wa kutosha. Lazima tuwe wazalendo kwa nchi yetu
Huna taarifa kamili
 
DED asikilizwe alipatwa na changamoto ipi?DED ni kiongozi katika Halmashauri.Si mtu mmoja pale halmashauri Ingawa anawajibika kubeba ya wenzake/wakuu wa idara na wengineo.Neno la kiongozi wa mbio za mwenge siyo amri ya Mungu.
 
Jana ktk taarifa ya habari ya jioni Channel Ten kiongozi wa mwenge wa uhuru kitaifa alilalamika kuwa mkuu wa wilaya ya Rorya alionesha dharau kwa mwenge wa uhuru, hakutaka kutoa ushirikiano wowote ikiwa ni pamoja na kukata kutoa documents kuhusu miradi mbalimbali iliyoko ktkt wilaya hiyo ya Rorya. Tangu nikiwa shule ya msingi miaka ya 80 mwanzoni sijawahi kusikia jambo km hili. Tulikuwa tunaamka alfajiri saa 11 km ndio muda mwenge unapita ktkt eneo letu. Navyojua mwenge wa uhuru ni kitu kinachoheshimiwa sana ktk nchi yangu ninayoifahamu.

Kiongozi wa mwenge wa uhuru ni mwakilishi wa Rais wa Nchi na mwaka huu mwenge alikabidhiwa na Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mkoani Mtwara. Hivi mkuu wa wilaya ni nyau wa aina gani kuudharau? Kwa maana nyingine amemdharau Rais wa jamhuri ya muungano pamoja na waziri mkuu. Mwenge wa uhuru unatumika kuunganisha nchi yetu, unapelekea ujumbe wa kitaifa ktk maeneo yote ya nchi yetu, unamulika ufisadi wa aina yoyote ktkt miradi yetu, nyau km mkuu wa wilaya amepata wapi ujasiri wa kuudharau? Bado hajakamatwa na kuwekwa ndani?, bila shaka huyu siyo raia wa nchi hii. Hivi siku hizi vetting zinafanyikaje, huyu bwana amepataje nafasi ya ukuu wa wilaya? Huyu siyo aondolewe tu bali afanyiwe uchunguzi wa kutosha. Lazima tuwe wazalendo kwa nchi yetu
Ingawa nilisikia kua sio mkuu wa wilaya, nadhan kitu muhimu unapaswa kufanya hapa toa elimu juu ya huo mwenge na faida zake!! Nn umuhim wake na faida zake kwa uhalisia!!!
 
Jana ktk taarifa ya habari ya jioni Channel Ten kiongozi wa mwenge wa uhuru kitaifa alilalamika kuwa mkuu wa wilaya ya Rorya alionesha dharau kwa mwenge wa uhuru, hakutaka kutoa ushirikiano wowote ikiwa ni pamoja na kukata kutoa documents kuhusu miradi mbalimbali iliyoko ktkt wilaya hiyo ya Rorya. Tangu nikiwa shule ya msingi miaka ya 80 mwanzoni sijawahi kusikia jambo km hili. Tulikuwa tunaamka alfajiri saa 11 km ndio muda mwenge unapita ktkt eneo letu. Navyojua mwenge wa uhuru ni kitu kinachoheshimiwa sana ktk nchi yangu ninayoifahamu.

Kiongozi wa mwenge wa uhuru ni mwakilishi wa Rais wa Nchi na mwaka huu mwenge alikabidhiwa na Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mkoani Mtwara. Hivi mkuu wa wilaya ni nyau wa aina gani kuudharau? Kwa maana nyingine amemdharau Rais wa jamhuri ya muungano pamoja na waziri mkuu. Mwenge wa uhuru unatumika kuunganisha nchi yetu, unapelekea ujumbe wa kitaifa ktk maeneo yote ya nchi yetu, unamulika ufisadi wa aina yoyote ktkt miradi yetu, nyau km mkuu wa wilaya amepata wapi ujasiri wa kuudharau? Bado hajakamatwa na kuwekwa ndani?, bila shaka huyu siyo raia wa nchi hii. Hivi siku hizi vetting zinafanyikaje, huyu bwana amepataje nafasi ya ukuu wa wilaya? Huyu siyo aondolewe tu bali afanyiwe uchunguzi wa kutosha. Lazima tuwe wazalendo kwa nchi yetu
Mkuu punguza Wenge! Ni DED siyo DC. Ila wakimbiza mwenge nao wamezidi kiherehere, tite hiyo ninkujiendekeza ili wapate uteyuzi! Watakuwa wamemletea mambo yao ya hovyo jamaa akakataa udhalilishaji! Namwunga mkono huyo DED kwa hicho alichokifanya. Huwezi kunitukana nikuangalie tu!
 
Hata kama mimi ndio DED kiongozi wa mwenge awezi kuja kuniropokea hovyo kwenye mambo ya ofisi yangu,aje ofisini kwangu atapata ufafanuzi.
Halafu anakutukana mbele ya surbodinates wako! Hiyo haikubaliki, Mh. Rais asimtumbue huyu mwamba afanye kumsikiliza!
 
Hao wakimbiza mwenge hawajui protocal za kiutumishi,wanataka wanyenyekewe na kupitiahiwa mlungula ndio zao hizo ,ni mabumbu tu
 
Back
Top Bottom