Kiongozi wa Mbio za Mwenge amemuomba Rais Samia kumchukulia hatua Mkurugenzi wa Wilaya ya Rorya

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,817
4,566
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Abdallah Shaibu, amemuomba Rais Samia kumchukulia hatua za kinidhamu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya kwa kushindwa kutoa ushirikiano wakati wa ukaguzi wa nyaraka za miradi waliyoihitaji huku akidaiwa kutoa lugha zisizo rafiki kwa wakimbiza Mwenge wa Uhuru

 
Binafsi mbio hizi za kukimbiza mioto huwa sizielewi na sizikubali. Nadhani ni moja ya mambo yanayotufanya tuwe masikini wakati tuna rasilimali nyiiingi. (maana inahusishwa na Imani za kishirikina alizokuwa nazo mwalimu Nyerere, na ushirikina ni satanic)

Angalia sasa tunashindwa hata kuendesha bandari zetu, kuchimba madini yetu au kusimamia mbuga zetu, yaaani ...

YESU NI KRISTO
 
Binafsi mbio hizi za kukimbiza mioto huwa sizielewi na sizikubali. Nadhani ni moja ya mambo yanayotufanya tuwe masikini wakati tuna rasilimali nyiiingi. Angalia sasa tunashindwa hata kuendesha bandari zetu, kuchimba madini yetu au kusimamia mbuga zetu, yaaani ...

YESU NI KRISTO
Mwenge ndo umesababisha tushindwe kuendesha bandari?
 
Huyo kiongozi wa mbio za mwenge anakagua nyaraka kwani yeye ni CAG?. Yote hayo ni matumizi mabaya ya pesa za umma. Akimaliza kukimbiza mwenge atasubiri uteuzi

Well, Kwenye issue hii iko hivi, Mwenge unapoenda kuzindua miradi hua inahusisha kukagua nyaraka mbalimbali zinazohusiana na mradi huo, tukimbuke kua mbio za mwenge zinakua na viongozi wenye utaalamu mbalimbali .

Sasa kwa case hiyo unaweza kuta mkurugenzi ameshindwa kuonyesha ushirikiano ikiwemo baadhi ya wataalamu wake kitokuwepo na pia kutoa majibu rahisi. Nimeona clip husika na maelezo hayo.


Hata kama mwenge una kasoro zake ila ni utaratibu wamejiwekea kwa Halmashauri kutoa taarifa kabla ya kuzindua mradi therefore kama DED amezingua kiongozi wa mwenge ana haki ya kusema mamlaka ya uteuzi i deal na mtu wao.
 
Well, Kwenye issue hii iko hivi, Mwenge unapoenda kuzindua miradi hua inahusisha kukagua nyaraka mbalimbali zinazohusiana na mradi huo, tukimbuke kua mbio za mwenge zinakua na viongozi wenye utaalamu mbalimbali .

Sasa kwa case hiyo unaweza kuta mkurugenzi ameshindwa kuonyesha ushirikiano ikiwemo baadhi ya wataalamu wake kitokuwepo na pia kutoa majibu rahisi. Nimeona clip husika na maelezo hayo.


Hata kama mwenge una kasoro zake ila ni utaratibu wamejiwekea kwa Halmashauri kutoa taarifa kabla ya kuzindua mradi therefore kama DED amezingua kiongozi wa mwenge ana haki ya kusema mamlaka ya uteuzi i deal na mtu wao.
kimginewanapelekewa baruamiezi mitatukabla na miradi wanayoenda kukaguliwa sasa wakisema awajajiaandaa huyu jamaa nipe aug 30 akiwa kazini nichape.....ingawa kuna wengine ndiomtaji wao sijui wasasawakifika wanawah kabla wanasomeshw wanawekwa sawa so wakionekana kwenye miradi kila kitndio sijui huyu kashindwa nn ngoja tusubiri upande wakee
 
Mkimbiza mwenge hajui kuwa Kupata kazi ya Ukurugenzi wa Halmshauri lazima uwe na connection kali kuliko ya kuwa Mkimbiza Mwenge

hadi unaona DED anakuwa na kiburi pengine Mkandarasi wa nyuma ya pazia wa hiyo Miradi ndio anaeidhinisha bajeti ya Mwenge kitaifa na kuchagua nani awemo kwny Mwenge marathon na nani asiwepo
 
Binafsi mbio hizi za kukimbiza mioto huwa sizielewi na sizikubali. Nadhani ni moja ya mambo yanayotufanya tuwe masikini wakati tuna rasilimali nyiiingi. Angalia sasa tunashindwa hata kuendesha bandari zetu, kuchimba madini yetu au kusimamia mbuga zetu, yaaani ...

YESU NI KRISTO
yaani mambo ya kipuuzi (kama kukimbiza mioto) uyaweze, ila mambo ya msingi uyashindwe! inaudhi!
 
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Abdallah Shaibu, amemuomba Rais Samia kumchukulia hatua za kinidhamu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya kwa kushindwa kutoa ushirikiano wakati wa ukaguzi wa nyaraka za miradi waliyoihitaji huku akidaiwa kutoa lugha zisizo rafiki kwa wakimbiza Mwenge wa Uhuru
Serikali haijapata Mwekezaji wa "Mwenge wa Uhuru"?
 
Mkimbiza mwenge hajui kuwa Kupata kazi ya Ukurugenzi wa Halmshauri lazima uwe na connection kali kuliko ya kuwa Mkimbiza Mwenge

hadi unaona DED anakuwa na kiburi pengine Mkandarasi wa nyuma ya pazia wa hiyo Miradi ndio anaeidhinisha bajeti ya Mwenge kitaifa na kuchagua nani awemo kwny Mwenge marathon na nani asiwepo

Uko sawa Mkuu.
Mimi sio muumini wa mwenge ila nimeeleza inavyokuwa ! So dizaini inaweza kumgharimu DED .
 
Uko sawa Mkuu.
Mimi sio muumini wa mwenge ila nimeeleza inavyokuwa ! So dizaini inaweza kumgharimu DED .
Hao wakimbiza wana taaluma ya kukagua wanachotaka kukagua mf.Taratibu za Manunuzi, fedha au za utaalam wa mradi husika ?

mnawachosha Wakurugenzi

hapo utakuta tayari CAG, Takukukuru, LAAC, Chama mkoa, Internal Audit ya Tamisemi, ofisi ya RAS, Baraza la Madiwani wote wameshapita kukagua na kumchomoa Pesa Mkurugenzi

We ushawahi kusikia bajeti au ukaguzi wa fedha zinazotumika kwny Mwenge?
 
Dogo unajua pesa za kukimbiza Mwenye wa Uhuru zinatoka wapi? Ungekuwa unajua usingeuliza kwanini CAG hazikagui!
 
Back
Top Bottom